Friday , 19 April 2024
Home Kitengo Michezo Simba yatolewa kimataifa kwa aibu, kuhamia Kombe la Shirikisho
MichezoTangulizi

Simba yatolewa kimataifa kwa aibu, kuhamia Kombe la Shirikisho

Spread the love

 

SIMBA ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania imetolewa katika michuano ya Klabu Bingwa Afrika kwa kipigo cha 3-1, katika Uwanja wake wa nyumbani, Benjamin Mkapa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam … (endelea).

Simba imepokea kipigo hicho kutoka kwa Jwaneng Galaxy ya Botswana leo Jumapili, tarehe 24 Oktoba 2021.

Katika mchezo wa awali uliochezwa wiki moja iliyopita nchini Botswana, Simba iliibuka na ushindi wa 2-0. Kwa kipigo cha 3-1 ilichopokea leo, Simba inakuwa imetoka kwa magoli ya ugenini.

Safari ya mwisho kwenye michuano hiyo ya Simba, imehitimishwa na 85.

Bada ya kutolewa, Simba inakwenda kushiriki michuano ya Kombe la Shirikisho kwa kucheza mchozo mmoja na iwapo itavuta hatua hiyo, itaingia makundi ya michuano hiyo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Michezo

Piga pesa na mechi za EUROPA leo hii

Spread the love Hatimaye Alhamisi ya EUROPA imefika ambapo leo hii mechi...

error: Content is protected !!