Thursday , 28 March 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Jezi za Yanga zampagawisha Jokate… ampa neno Vunjabei

  MKUU wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo amesema licha ya kwamba jezi za Simba ni nzuri ila za Yanga ni kiboko. Anaripoti...

MichezoNgumi

Ujumbe wa Mwanyiko kwa mashabiki

  HASSAN Mwakinyo, Bondia wa wa Tanzania, ametoa shukuran kwa watu mbalimbali kwa ushirikiano ambao wamemuonesha katika maandalizi ya pambano lake na Julius...

Michezo

Simba yaahirisha kuzindua jezi

  MABINGWA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, Simba ya jijini Dar es Salaam, imetangaza kuahirisha shughuli ya uzinduzi rasmi wa jezi...

MichezoTangulizi

Ndemla atua Mtibwa, Shikalo akitambulishwa KMC

  MABINGWA wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara 2020/21, Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imemtoa kwa mkopo wa mwaka mmoja...

Michezo

Simba wazindua jezi zao mpya

  KLABU ya soka ya Simba imetangaza kuwa leo tarehe 3 Septemba 2021 jezi zake zitakazotumika katika msimu ujao wa mwaka 2021/2022 zitaanza...

Michezo

Harmonize, Ibraah kuwasha moto Marekani

  MKURUGENZI wa lebo ya Konde Gang, Rajabu Abdul ‘Harmonize’ hivi karibuni aliweka ratiba ya shoo zake nyingi za nchini Marekani, Bara la...

MichezoTangulizi

Stars yatoshana nguvu na Congo

  SARE ya bao 1-1, ilitosha kuifanya timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kuondoka na pointi moja kwenye mchezo wa kusaka tiketi...

Michezo

Mtifuano kufuzu fainali kombe la Dunia

  Kuelekea hufuzu kwa fainali la kombe la dunia litakalofanyika nchini Qatar 2022, michezo mbalimbali jana ilipigwa ulimwenguni kote kwa mataifa mbali mbali...

Michezo

Mshindi Miss East Africa kujinyakulia gari la milioni 110

  MSHINDI wa mashindano ya Miss East Africa 2021, anatarajia kujinyakulia gari jipya aina ya Nissan x Trail, toleo la mwaka 2021 lenye...

Michezo

Taifa Star dimbani leo kumenyana na DRC

  TIMU ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ leo tarehe 2, Septemba inashuka dimbani katika Uwanja wa TP Mazembe mjini Lubumbashi katika Jamhuri...

Michezo

Lil Baby kumsaidia Jack Boy ujenzi wa hospitali Haiti

  RAPA kutoka Marekani, Dominique Jones ‘Lil Baby’ amejitolea kumsaidia Msanii Pierre Delince (Jack Boy) katika ujenzi wa hospitali huko nchini Haiti. Anaripoti...

Michezo

Samatta arudi tena Ubelgiji, aitosa Genk

  MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa Tanzania, Mbwana Samatta amerejea tena katika Ligi kuu ya Ubelgiji baada ya jana tarehe 31 Agosti, 2021 kusajiliwa...

Michezo

Neno la Senzo baada ya kupewa cheo kipya Yanga

  KAMATI ya utendaji ya klabu ya Yanga, imemteuwa aliyekuwa mshauli Mkuu wa klabu hiyo kwenye masuala ya mabadiliko Senzo Mbatha kuwa mtendaji...

Michezo

Coastal Union yashusha kocha Mmarekani

  KLABU ya soka ya Coastal Union imemtambulisha Kocha wake mpya, Melis Medo kwa mkataba wa miaka miwili, leo tarehe 30 Agosti, 2021...

Michezo

Kilele Wiki ya Mwananchi yahitimishwa kwa majonzi

  KILELE cha Wiki ya Mwananchi cha mabingwa wa kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam, kimehitimishwa kwa majonzi baada ya...

MichezoTangulizi

Yanga yafurika kwa Mkapa, burudani kama zote

YES ni siku kubwa. Kilele cha Wiki ya Wananchi. Hakuna ubishi hii ndiyo Yanga Afrika. Mabingwa wa Kihistoria nchini Tanzania. Anaripoti Wiston Josia,...

Michezo

Cristiano Ronaldo arejea Man U

  BAADA ya kuondoka ndani ya Manchester United ya Uingereza miaka 12 iliyopita, Cristiano Ronaldo (36) ametangazwa kurejea tena ndani ya timu akitokea...

Michezo

Wizkid aachia Deluxe Edition ya albamu ya Made in Lagos

  MSANII wa muziki kutoka Nigeria, Ayodeji Ibrahim Balogum ‘Wizkid’, leo ameachia Deluxe Edition ya albamu yake ya ‘’Made in Lagos.’’ Anaripoti Glory...

Michezo

Nandy, Koffie kupagawisha wanayanga Jumapili

NGULI wa muziki barani Afrika kutoka Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo, Koffie Olomide pamoja na msanii mashuhuri kutoka nchini Tanzania Nandy wanatarajia kutoa...

Michezo

Simba kupaa Marekani

  KLABU ya Simba inatarajia kuweka kambi ya maandalizi ya Ligi Kuu mwaka 2021/2022 nchini Marekani kwa ushirikiano wa klabu ya DC United...

Michezo

Twiga Stars wamshukuru Rais Samia

  TIMU ya Taifa ya wanawake nchini ‘Twiga Stars’ imemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan kwa kukubali kudhamini...

Michezo

Bayern yapiga 12 bila Lewandowsik

  KLABU ya Bayern Munich imeibuka na ushindi wa mabao 12 -0 dhidi ya Bremer SV katika mchezo wa raundi ya kwanza ndani...

Michezo

Aubameyang azinduka Arsenal ikishusha mvua ya magoli

  STAA wa Arsenal aliyekuwa na ukame wa magoli, Pierre-Emerick Aubameyang jana tarehe 25 Agosti, 2021 amezinduka na kuifungia timu yake magoli matatu...

Michezo

Serikali kurudisha tuzo za wasanii, kujenga arena Dar, Dodoma

  KATIBU Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Hassan Abbas amesema serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa sanaa...

MichezoTangulizi

Haji Manara aibukia Yanga, atambulishwa rasmi

  ALIYEKUWA msemaji wa klabu ya Simba Haji Manara ametambulishwa rasmi ndani ya klabu ya Yanga, mara baada ya kuachana na wajiri wake...

Michezo

Stars kuingia kambi leo, wachezaji Simba, Yanga warejea

  TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) inaingia kambini hii leo Agosti 24, 2021 kujiandaa na michezo miwili ya kufuzu fainali za...

Michezo

Azam FC yaanza kujinoa Zambia

  KLABU ya Azam imeanza mazoezi yake ya maandalizi ya msimu ujao 2021/22 katika kambi iliopo mji wa Ndola nchini  Zambia. Anaripoti Wiston...

Michezo

Chelsea wamweka kikaangoni Arteta

  KIPIGO cha bao 2-0 kutoka kwa mabingwa wa Ulaya, Chelsea, kimemuweka kikaangoni Kocha Mkuu wa Arsenal, Mikel Arteta baada ya mashabiki kuutaka...

Michezo

Yanga yavunja kambi Morocco

KLABU ya Yanga imevunja kambi ya maandalizi ya michuano mbalimbali ya msimu ujao baada ya wachezaji wake wengi kuitwa kwenye timu zao za...

Michezo

Manny Pacquiao adundwa, ahamishia nguvu urais

Bondia mkongwe Manny Pacquiao (42) mapema alfajiri ya leo, amekutana na wakati mgumu baada ya kupoteza pambano lake la kuwania ubingwa wa dunia...

Michezo

Soufiane Rahimin abeba ndoo, aaga rasmi

  Mshambuliaji nyota wa Klabu ya Raja Club Athletic kutoka nchini Morocco, Soufiane Rahimi jana tarehe 21 Agosti, 2021 ameisaidia timu yake kutwaa...

Michezo

Ndayiragije aibukia Geita Gold

  KLABU ya Geita Gold imemtangza rasmi aliyekuwa kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) Etienne Ndayilagije kuwa kocha mkuu...

Michezo

Rais Samia apokea kombe la CECAFA, ataka bursa itumike michuano kombe la Dunia

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amewataka wafanya biashara nchini pamoja na sekta binafsi nchini, kuchangamkia fursa kwenye...

MichezoTangulizi

Babu Tale aweka V8: Twaha Kiduku Vs Mwakinyo

  SHAUKU ya Watanzania kuwashuhudia mabondi wenye viwango vya juu kwa sasa nchini humo, Twaha Rubaha maarufu ‘Twaha Kiduku’ na Hassan Mwakinyo wakipanda...

Michezo

Yanga kutambulisha Benchi jipya la ufundi

  KLABU ya Soka ya Yanga itaweka wazi benchi lake la ufundi kwenye kilele cha siku ya Mwananchi, mara baada ya kuwepo kwa...

Michezo

Yanga kuzindua Wiki ya Mwananchi Z’bar

  MABINGWA wa Kihistoria nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam itazindua ‘Wiki ya Mwananchi’ Jumapili hii tarehe 22 Agosti 2021, katika...

MichezoTangulizi

Majaliwa awaonya waamuzi mpira wa Miguu

WAZIRI Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka waamuzi watakaochezesha mashindano ya mpira wa miguu ya jimbo la Ruangwa wawe...

Michezo

‘R. Kelly alinitoa usichana wangu’

KESI ya mwimbaji wa R&B nchini Marekani R. Kelly mapema wiki hii imeanza kuunguruma katika mahakama huko Brooklyn, New York. Inaripoti Mitandao ya...

Michezo

Kipa Simba afiwa na Mama Yake

Mlinda mlango namba mbili wa klabu ya Simba Beno Kakolanya, amepata pigo la kufiwa na Mama yake mzazi Eva Mwankusye leo asubuhi Jijini...

MichezoTangulizi

Poulsen aita 28 Stars, Kabwili ndani

  Kocha wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa stars) Kim poulsen ametangaza majina ya wachezaji 28 watakaoingia kambini kujiandaa na mashinadano ya...

Michezo

Giggy Money amaliza kifungo ‘Zanzibar nakuja kivingine’

  MSANII wa muziki wa bongo fleva nchini Tanzania, Gift Stanford maarufu Giggy Money ameahidi mashabiki zake kwamba hatofanya makosa tena kamak kama...

Michezo

Yanga kushusha chuma kingine

  Klabu ya Yanga ipo mbioni hivi karibuni kumtambulisha mchezaji mwengine mpya atakayejiunga na timu hiyo kwa ajili ya msimu ujao wa mashindano....

Michezo

Simba yashusha chuma kingine

  KLABU ya soka ya Simba imefanikiwa kunyaka saini ya kiungo mshambuliaji Jimmyson Mwanuke (18) kutoka klabu ya Gwambina FC yenye maskani yake...

Michezo

Yanga kuanzia Zanzibar, Tamasha wiki ya Mwananchi

  Klabu ya soka ya Yanga itazindua rasmi wiki ya Mwananchi visiwani Zanzibar Agost 22, mwaka huu, kwa kufanya shughuli mbalimbali za kijamii,...

Michezo

Simba yatambulisha mwingine

  KLABU ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya kiungo mshambuliaji wa klabu ya Kagera Sugar, Abdulsamad Kassim mwenye umri wa miaka 24. Anaripoti...

Michezo

NMB yazindua Marathon, mapato kutibu wagonjwa Fistula

BENKI ya NMB imezindua mbio ndefu (Marathon) ambazo zitakuwa na kauli mbiu ya ‘Mwendo wa Upendo’ zikiwa na lengo ya kuchangia matibabu kwa...

Michezo

Simba yang’oa beki KMC

Klabu ya simba imekamilisha usajili wa beki wa pembeni kutoka klabu ya KMC Israel Patrick Mwenda mwenye umri wa miaka 21. Anaripoti Mintanga...

Michezo

Kiongozi Yanga, aibukia Azam FC

  KLABU ya Soka ya Azam Fc imemtambulisha katibu Mkuu wa zamani wa klabu ya Yanga, Dk. Jonas Tiboroha kuwa mkurugenzi Mkuu wa...

Michezo

Majaliwa mashindano ya SHIMIWI yarejeshwe

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameziagiza wizara zote zinazohusika na uratibu na uandaaji wa Michezo ya Wizara na Idara za Serikali...

Michezo

Simba yashusha kifaa kingine kutoka Senegal

  KLABU ya Soka ya Simba imefanikiwa kunasa saini ya mchezaji wa kimataifa wa Senegal Pape Ousmane Sakho (24), kuuelekea msimu mpya wa...

error: Content is protected !!