Thursday , 25 April 2024

Michezo

Michezo

Michezo

Mvua ya magoli dabi ya Mbeya, sare zatawala

KIPUTE cha Ligi Kuu Bara kimeendelea tena leo tarehe 3 Oktoba 2021 kwa mechi tatu kupigwa katika viwanja vitatu tofauti na kushuhudia timu...

Michezo

Luis Suarez apeleka kilio Barcelona

  Nyota wa Atletico Madrid, Luis Suarez amezidi kumfungulia mlango wa kutokea Kocha Mkuu wa Barcelona, Ronald Koeman baada ya kuiongoza timu yake...

MichezoTangulizi

Tanzania yampa uraia Denis Kibu, rasmi Simba

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji...

MichezoTangulizi

Kagere arejesha furaha msimbazi

BAO pekee lililofungwa dakika ya 69 na mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagera dhidi ya Dodoma Jiji limerejesha furaha kwa mabingwa hao watetezi wa...

Michezo

Dewji awapa ujumbe wachezaji Simba

  SAA chache kabla ya Simba ya Dar es Salaam, kushuka dimbani kuumana na Dodoma Jiji, aliyekuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa...

Michezo

Fahyvanny aanika mazito kuhusu Rayvanny

  MWANAMITINDO na mzazi mwenza wa Staa wa Bongofleva, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’, Faima Msenga ‘Fahyma au Fahyvanny’ ameweka wazi kuwa hana matatizo na...

Michezo

Fei Toto apeleka shangwe jangwani, kilio Kagera

  BAO pekee lililofungwa dakika ya 24 na kiungo hodari wa Yanga, Feisal Salum ‘Fei Toto’ limetosha kupeleka shangwe kwa mashabiki wao ndani...

Michezo

Alikiba: Mfalme ni mmoja tu, albam wiki ijayo

  HATIMAYE Staa wa Bongofleva nchini, Ali Salehe Kiba maarufu kama Alikiba ametangaza kuachia albam yake ya tatu inayokwenda kwa jina la ‘The...

Michezo

Messi afungua akauti ya mabao PSG

  Mshambuliaji wa mpya wa klabu ya PSG Raia wa Argentina Lionel Messi amefungua rasmi akauti ya mabao katika klabu yake hiyo, mara...

MichezoTangulizi

Yanga kuwa vaa Kagera Sugar bila Mwamnyeto

  Klabu ya soka ya Yanga leo 29 Septemba 2021, itanza kutupa karata yake ya kwanza katika Ligi Kuu Tanzania Bara ugenini dhidi...

MichezoTangulizi

Mo Dewji ang’oka Simba, ateua mrithi

  MOHAMED Dewji, Mkurugenzi wa Bodi ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ametangaza kuachia nafasi hiyo na kumteua...

MichezoTangulizi

Simba yaanza kwa sare, Bocco akosa penati

  MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya Dar es Salaam, imeanza msimu mpya wa ligi kuu 2021/22 kwa droo dhidi...

Michezo

Onyango, Kanoute ‘out’ dhdi ya Biashara Leo

  Beki wa kati wa klabu ya Simba Josh Onyango pamoja na kiungo wa mkabaji Sadio Kanoute wataukosa mchezo wa leo wa Ligi...

Michezo

Azam FC yabanwa mbavu Mkwakwani, Mtibwa mambo magumu

  Pazia la Ligi Kuu Tanzania Bara limefunguliwa rasmi hii leo Septemba 27, 2021 kwa kupigwa jumla ya michezo mitatu kwa kuchezwa michezo...

MichezoTangulizi

Kamwaga kuachana na Simba

  EZEKIEL Kamwanga, amehitimisha safari ya mkataba wake wa miezi miwili ndani ya mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini...

Michezo

Poulsen aita 25, Bocco na Mkude ndani

  KOCHA Mkuu wa timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Satrs’ Kim Poulsen amewaitaka kambini wachezaji 25 wawiwemo Jonas Mkude na John Bocco....

Michezo

Kipa wa Yanga atua Polisi Tanzania

  ALIYEKUWA golikipa namba moja wa mabingwa wa kihistoria Yanga ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, Metacha Mnata amesajiliwa na maafande wa...

Michezo

Wafanyakazi Benki ya Exim washiriki NMB Marathon kusaidia matibabu ya fistula

  KATIKA kuunga mkono agenda ya kusaidia matibabu ya Fistula kwa kina mama wasio na uwezo, wafanyakazi wa Benki ya Exim Tanzania hii...

Michezo

Anthony Joshua apigwa, Usyk bingwa wa dunia

  ANTHONY Joshua (31), raia wa Uingereza amepoteza ubingwa wa dunia uzani wa juu kwa kutwanga na Oleksandr Usyk wa Ukraine. Anaripoti Damas...

MichezoTangulizi

Yanga mabingwa Ngao ya Jamii

  KLABU ya Soka ya Yanga wameibuka kidedea kwa ushindi wa bao 1-0 dhidi ya watani wao Simba Sc na kubeba Ngao ya...

Michezo

Rosa Ree avishwa pete, amwaga chozi

  MSANII wa Bongo Fleva, Rosary Robert maarufu ‘Rosa Ree’ amevishwa pete ya uchumba na mpenzi wake, King Petrousse ambaye alimtambulisha kwa mashabiki...

Michezo

Simba walamba dili la milioni 800, mabasi matatu

  KLABU ya Simba ya Dar es Salaam imesaini mkataba wa miaka minne na Kampuni ya Africarrier Group inayohusika na usambazaji wa magari...

Michezo

Kocha wa zamani Simba, Azam atua Mtibwa

  TIMU ya Mtibwa Sugar ya Morogoro nchini Tanzania, imemtambulisha Omog Joseph Marious (49), raia wa Cameroon kuwa kocha mkuu wa timu hiyo....

Michezo

Rayvanny atibua party Harmonize

  KITENDO cha msanii wa Bongofleva kutoka lebo Wasafi Classic Baby (WCB) na mwanzilishi wa lebo Next Level Music, Raymond Mwakyusa ‘Rayvanny’ kutangaza...

Michezo

Nabi: Yanga itakuwa tishio Afrika, kesho tunachukua kombe

  KOCHA Mkuu wa Yanga, Nasreddine Nabi ametamba kuwa Yanga itakuwa tishio ndani ya Tanzania na Afrika kwa ujumla kutokana na wachezaji wazuri...

Michezo

La Liga yanoga, Benzema aweka rekodi Madrid

  LIGI kuu ya Hispania maarufu kama ‘La liga Santander’ jana tarehe 22 Septemba imeendelea kutimua vumbi katika viwanja mbalimbali huku mshambuliaji wa...

Michezo

Carabao Cup mguu mmoja mbele, Man U wamelala yooo!

  MICHUANO ya Carabao Cup inayoshirikisha timu za ligi kuu England na ligi za chini za nchini humo imezidi kupamba moto na kufikia...

Michezo

Diamond, Harmonize, Alikiba wachomoza tuzo Afrimma

  WAANDAAJI wa tuzo za Afrimma (Afrian Music Magazine Awards) wametoa orodha mpya ya wasanii watakaowania tuzo hizo kwa mwaka 2021 huku Tanzania...

MichezoTangulizi

Yanga yaipiga bao Simba

  MABINGWA wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam imeipiga bao Simba kwa kuingiza mashabiki wengi viwanjani pamoja...

Michezo

Corona yatibua dili la Harmonize Ulaya

  MSANII wa Bongofleva, Rajabu Abdul maarufu kama Harmonize au Kondeboy amewaomba radhi mashabiki wake baada ya kubadili ratiba ya ‘tour’ (ziara) yake...

Michezo

Simba yaingia mkataba mnono, yavuta milioni 300

  KLABU ya soka ya Simba imeingia mkataba na kampuni ya Emirates Aluminium leo 21 septemba 2021 katika makao makuu ya Emirates Aluminium...

Michezo

Dk. Tulia: Mashindano ya ngoma kufanyika Mbeya

  MASHINDANO ya Ngoma za Jadi ‘Tulia Traditional Dances Festival’ yanayohusisha tamaduni kutoka mikoa mbalimbali yataanza Alhamisi hii tarehe 23 hadi 25 Septemba...

MichezoTangulizi

Kuziona Simba, Yanga buku 10

  JOTO la miamba ya soka nchini Tanzania maarufu Kariakoo Derby limeanza kushika kasi kwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) kutangaza viingilio ambavyo...

Michezo

Yanga warejea kimyakimya

  KLABU ya Yanga imerejea nchini usiku wa kuamkia leo ikitokea Nigeria ilikokwenda kupepetana na River United ikiwa ni mchezo wa marudiano wa...

Michezo

Kaze afunguka kurejea Yanga

  WAKATI fununu za aliyekuwa Kocha mkuu wa Yanga, Cedric Kaze kwamba anarejea jangwani zikiendelea kushika kasi, kocha huyo amefunguka ujumbe mzito unaoashiria...

Michezo

Kocha Simba: Tutacheza kwa heshima kubwa

  KUELELEKEA kwenye tamasha la Simba maarufu kama ‘Simba Day’ kocha mkuu wa klabu hiyo, Didier Gomes amesema atacheza kwa heshima kubwa dhidi...

Michezo

Simba Day: TP Mazembe kuwasilia leo

  KIKOSI cha wachezaji 23 wa timu ya TP Mazembe ya Congo kinawasili nchini Tanzania leo Jumamosi, tarehe 18 Septemba 2021. Anaripoti Hunda...

Michezo

Simba kuwavaa Wabotswana klabu bigwa

  TIMU ya soka ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, itacheza na Jwaneng Galaxy FC ya Botswana katika michuano ya...

Michezo

Yanga kama Simba, sasa kutangaza utalii Zanzibar na kilimanjaro

  KLABU ya soka ya Yanga leo imeingia makubaliano maalumu ya kutangaza vivutio vya utalii kwa viwani Zanzibar na Mlima wa Kilimanjoro kupitia...

Michezo

Simba wasaini mkataba na ATCL

  UONGOZI wa Klabu ya Simba SC na Shirika la Ndege nchini Tanzania (ATCL) wameingia mkataba wa ushirikiano wa kibiashara ambao utakuwa na...

Michezo

Kocha wa Simba aomba radhi

  KOCHA msaidizi wa Simba, Thiery Hitimana ameiomba radhi klabu ya Mtibwa sugar kwa kile kilichotokea baina yake na viongozi wa timu hiyo....

Michezo

Rais Samia kuzindua tamasha la michezo la wanawake

  RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuzindua Tamasha la Kwanza la Michezo la Wanawake la Tanzanite litakalofanyika katika viwanja vya Uhuru na Benjamin...

Michezo

Biriani Ulaya; Messi, Ronaldo chaliii!

  PAZIA la michuano ya Klabu Bingwa Ulaya limefunguliwa rasmi tarehe 14, 15 Septemba mwaka huu na kushuhudia mastaa namba moja duniani, Lionel...

Michezo

Diamond atoa ujumbe wa sensa, awapagawisha wananchi

  MSANII wa muziki nchini Tanzania, Diamond Platinum ametumia jukwaa la burudani kuwasisitiza wananchi wa Taifa hilo, kujiandaa kuandikishwa katika sensa ya watu...

Michezo

Dakika 3 za Ali Kiba mbele ya Rais Samia

  ALI Kiba, msanii wa muziki nchini Tanzania, ametumia takribani dakika tatu kutumbuiza mbele ya mamia ya wananchi wakiongozwa na Rais wa Taifa...

MichezoTangulizi

Rais Samia awapambanisha Kiba, Diamond

  RAIS Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwapambanisha manguli wa Bongofleva nchini, Diamond Platnumz na Alikiba ambao imekuwa nadra kukutana kuperfome katika jukwaa moja....

Michezo

Manara: Nitailinda heshima ya Hans Pope

  HAJI Sunday Manara, Msemaji wa Mabingwa wa Kihistori wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam amesema, wema aliooneshwa na...

Michezo

Real Madrid yashusha mvua ya mabao

TIMU ya Real Madrid imeitandika Celta Virgo mabao 5-2, jana tarehe 12 Septemba, 2021 kwenye Uwanja wa Santiago Bernabeu liliopo jijini Madrid Hispania....

MichezoTangulizi

Magori asimulia siri ya Hans Pope kumpindua Mwalimu Nyerere

  CRESCENTIUS Magori, mshauri wa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa timu ya Simba ya jijini Dar es Salaam, Mohamed Dewji amesema, kifo...

MichezoTangulizi

Yanga yaanza kimataifa kwa kipigo

  MABINGWA wa kihistoria wa soka nchini Tanzania, Yanga ya jijini Dar es Salaam wameanza vibaya safari ya michuano ya klabu bingwa Afrika...

error: Content is protected !!