Categorizing posts based on type of post
WAKILI Boniface Mwabukusi amedai Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limemhoji kuhusu tuhuma za kutumia wimbo wa chama kingine ambacho kinatajwa kuwa ni Chadema...
By Mwandishi WetuOctober 11, 2023HALI za wapalestina waishio ukanda wa Gaza, imezidi kuwa mbaya kufuatia mashambulizi ya anga na mabomu yanayoendelea kufanywa na Israel, ambayo yamesababisha...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ametunukiwa Shahada ya Heshima ya Udaktari wa Falsafa (Doctorate Honoris Causa) na Chuo Kikuu cha Jawaharlal Nehru,...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023JESHI la Polisi mkoani Mbeya, limemwachia Wakili Boniface Mwabukusi, baada ya kumshikilia kwa saa kadhaa tangu alivyoitikia wito wa kuripoti ili kuhojiwa...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitawabeba viongozi mizigo katika chaguzi zijazo, huku kikiwataka waliopewa dhamana wakati huu kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi...
By Mwandishi WetuOctober 10, 2023JESHI la Polisi jijini Mbeya, linawashikilia kwa mahojiano Dk. Wilbroad Slaa na Wakili Boniface Mwabukusi kufuatia kufanya mkutano wa hadahara ambao ulikuwa unadaiwa...
By Kelvin MwaipunguOctober 9, 2023MAPIGANO ya kijeshi kati ya Kundi la Hamas la Palestina na Jeshi la Israel, yaliyoanza Jumamosi iliyopita, yamepoteza maisha ya watu zaidi...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2023JUMLA ya Sh 16.2 bilioni zimetolewa na Serikali kwa ajili ya kulipa fidia kwa wananchi ambao watapisha ujenzi wa barabara mbalimbali nchini....
By Danson KaijageOctober 9, 2023NAIBU waziri, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amewataka watumishi wa umma, kutokimbia kufanya kazi pembezoni mwa nchi. Anaripoti...
By Mwandishi WetuOctober 9, 2023TAKRIBANI Waisraeli 900 wameripotiwa kuwawa na 100 wengine kutekwa nyara katika mashambulizi yaliyoendeshwa na vikosi vya wanamgambo wa Hamas ndani ya Israel....
By Mwandishi WetuOctober 8, 2023WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, amepiga marufuku watumishi wa kujitolea katika sekta ya ardhi, hususan kwenye eneo la upimaji viwanja, akisema wanachochea migogoro...
By Mwandishi WetuOctober 6, 2023KONGAMANO la kujadili mkataba wa bandari na upatikanaji katiba mpya, lililoandaliwa na wanaharakati akiwemo Dk. Wilbroad Slaa, kwa kushirikiana na taasisi ya Tanzania...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2023BEI ya mafuta ya petroli kwa mwezi Oktoba 2023, imepanda kwa Sh. 68, huku dizeli ikiongezeka kwa Sh. 189. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...
By Mwandishi WetuOctober 4, 2023Makamu mwenyekiti wa Umoja wa wanawake CCM, (UWT), Zainab Shomari amesema Serikali imeendelea kutekeleza miradi ya maendeleo ikiwemo ya ujenzi wa miundombinu ya...
By Mwandishi WetuOctober 3, 2023SERIKALI ya Tanzania, kesho tarehe 3 Oktoba 2023, inatarajia kupokea ndege mpya ya masafa ya kati aina ya Boeng 737-9, ya Kampuni...
By Regina MkondeOctober 2, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare Matinyi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na...
By Regina MkondeOctober 2, 2023Basi Jeshi la Magereza lenye namba MT 0040 limegonga treni ya abiria namba YD16 yenye injini namba 9015 iliyokuwa ikitokea mikoa ya Bara...
By Mwandishi WetuSeptember 29, 2023SERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani na umoja, ili kuleta maendeleo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Wito huo umetolewa na...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023CHANGAMOTO ya afya ya akili, imetajwa kuwa chanzo cha migogoro inayopelekea ndoa nyingi kuvunjika. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma…(endelea). Hayo yamebainishwa leo tarehe 28...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023MFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi wa fedha za umma, akisema kitendo cha kuwaacha huru kinawaibua wengine. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 28, 2023NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi Desemba mwaka huu, utekelezaji wa mradi wa kusambaza umeme vijijini wa awamu ya...
By Mwandishi WetuSeptember 27, 2023ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Maharage Chande, ameondolewa katika Shirika la Mawasiliano la Tanzania (TTCL) ndani ya muda...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amempa miezi sita Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Mhandisi Gissima Nyamo-Hanga, amalize changamoto ya...
By Mwandishi WetuSeptember 26, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Jacob Kingu, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA). Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Mawaasiliano Tanzania (TTCL), Maharagande Chande, kuwa Postamasta wa Shirika la Posta...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023MWENYEKITI wa Ngome ya Vijana ya Chama Cha ACT-Wazalendo Mkoa wa Dar es Salaam, Felix Kamugisha, amebabainisha masuala sita yaliyofanyiwa kazi kupitia mpango...
By Mwandishi WetuSeptember 25, 2023NGOME ya Vijana ya Chama cha ACT-Wazalendo, imetakiwa kuwanoa wafuasi wake ili wahakikishe chama hicho kinapata ushindi katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa...
By Mwandishi WetuSeptember 24, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amefanya teuzi na utenguzi wa viongozi mbalimbali, akiwemo aliyekuwa Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, ambaye amepelekwa kuwa...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amewahamisha waliokuwa vigogo wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), katika kipindi ambacho kuna changamoto ya ratiba ya...
By Mwandishi WetuSeptember 23, 2023MGOGORO kati ya wafugaji na wakulima katika Kijiji cha Lembapuli, Wilaya ya Kiteto mkoani Manyara umechukua sura mpya baada ya wakulima kudaiwa kuvamia...
By Mwandishi WetuSeptember 22, 2023Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Mohamed Mchengerwa amemsimamisha kazi Mkurugenzi wa Halmashauri ya Busega...
By Mwandishi WetuSeptember 22, 2023SERIKALI imerudisha viwango vya malipo ya uingizaji mizigo kupitia Bandari Kuu ya Malindi, mjini hapa, baada ya “kishindo kikubwa” cha malalamiko ya...
By Jabir IdrissaSeptember 21, 2023CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimeendelea kuvigaragaza vyama vya upinzani baada ya kutetea jimbo la Mbarali katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana Jumanne. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuSeptember 20, 2023OFISI ya Mbunge wa Musoma Vijijini, Prof. Sospster Muhongo, imeishukuru Serikali na wadau wa maendeleo kwa kufanikisha ujenzi wa miradi ya maendeleo...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2023CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimesema kinashiriki uchaguzi wa marudio wa ubunge katika Jimbo la Mbarali, ili kuipima Serikali ya Rais Dk. Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2023KIFO cha Prof Hadley Mpoki Mwafenga- Afisa Usimamizi wa Fedha Mkuu Daraja la kwanza wa kitengo cha ubia kati ya Sekta umma na...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan, amekataa ombi la wananchi lililotaka afute hati ya umiliki ardhi inayodaiwa kuporwa kinyume cha sheria na mwekezaji Kampuni ya...
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2023SERIKALI ina mpango wa kujenga bandari ya uvuvi wilayani Bagamoyo, ili kuimarisha shughuli za uchumi wa buluu. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea)....
By Mwandishi WetuSeptember 19, 2023Wapiga kura 216,282 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapiga Kura wanatarajiwa kupiga kura kesho tarehe 19 Septemba 2023 kwenye uchaguzi mdogo wa...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimehoji kwa nini Bunge limeshindwa kuisimamia Serikali katika kutatua changamoto ya kuadimika kwa Dola ya Marekani...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali yake lazima imuenzi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, kwa kutekeleza miradi ya maendeleo katika jimbo lake...
By Mwandishi WetuSeptember 18, 2023KITUO cha Upandikizaji Mimba cha Kairuki Hospital Green IVF (KHGIVF), kimeendesha mafunzo kwa madaktari wa hospitali mbalimbali kuhusu namna bora ya upandikizaji mimba....
By Mwandishi WetuSeptember 16, 2023CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekosoa msimamo wa Baraza la Vyama vya Siasa wa kuipa muda Serikali katika mchakato wa marekebisho ya...
By Mwandishi WetuSeptember 15, 2023CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimefanya uwekezaji mkubwa wa vifaa vya kisasa kwenye idara yake ya vipimo na viwango hususan kwenye upimaji...
By Gabriel MushiSeptember 15, 2023KILA zama na kitabu chake. Hizi ni zama za Rais Samia Suluhu Hassan na kitabu anachotumia ni tofauti na kilichotumiwa na mtangulizi wake...
By Gabriel MushiSeptember 12, 2023ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza amemtaka Rais Samia kuweka mfumo mzuri wa kidemokrasia...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023WAKATI joto la Uchaguzi mkuu likizidi kupanda, Chama cha ACT-Wazalendo kimesema kutokana na mikakati ya ushindi iliyowekwa, wana uhakika wa kushinda majimbo yote...
By Mwandishi WetuSeptember 12, 2023RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amesema kuna chama kikipewa madaraka baadhi ya viongozi wake wataunda chama kingine ili wawapinge wenzao walioko madarakani. Anaripoti...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023RAIS Samia Suluhu Hassan amevitaka vyama vya siasa kutohodhi mchakato wa marekebisho ya katiba, akisema suala hilo si mali yao bali ni mali...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Profesa Ibahimu Lipumba amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kutimiza ahadi yake ya kukamilisha mchakato wa katiba...
By Mwandishi WetuSeptember 11, 2023