Wednesday , 6 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Mobhare Matinyi Msemaji mpya wa Serikali
Habari MchanganyikoTangulizi

Mobhare Matinyi Msemaji mpya wa Serikali

Mobhare Matinyi, Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali
Spread the love

 

RAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, amemteua aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mobhare Matinyi, kuwa Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo na Msemaji Mkuu wa Serikali. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Uteuzi huo unetangazwa tarehe 1 Oktoba 2023 na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais-Ikulu, Zuhurw Yunus.

“Uteuzi huu unaanza mara moja,” imeeleza taarifa ya Yunus.

Matinyi anachukua nafasi ya Gerson Msigwa, aliyeteuliwa kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Utamaduni, Sanaa na Michezo.

Msemaji huyo mpya wa Serikali, alishawahi kuwa mwandishi wa habari kwa miaka mingi katika vyombo mbalimbali vya habari, likiwemo Gazeti la kila siku la Majira.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Shura ya Maimamu kukata rufaa kupinga Sheikh kufungwa miaka 7

Spread the loveSHURA ya Maimamu Tanzania, inakusudia kukata rufaa dhidi ya hukumu...

BiasharaTangulizi

Bei ya Dizeli, Petroli yashuka

Spread the loveBEI ya mafuta kwa mwezi Disemba, imeshuka kutokana na kupungua...

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

Spread the love  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Spread the loveWaathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza...

error: Content is protected !!