Sunday , 5 May 2024
Home upendo
1878 Articles240 Comments
Habari za SiasaTangulizi

CCM yaonya gazeti lake Uhuru kisa uchaguzi 2025

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema, kitachukua hatua kali dhidi ya watumishi wa gazeti la Uhuru kwa kuandika habari...

Habari Mchanganyiko

RITA yatahadharisha wananchi dhidi ya vishoka

  WAKALA wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA), umewahimiza wananchi kutumia mfumo wa kielektroniki wa utoaji vyeti, badala ya kuwatumia vishoka ambao wanasababisha...

Tangulizi

Wadau wataja muarobaini ukatili wa kingono vyumba vya habari

  VYOMBO vya Habari nchini Tanzania, vimetakiwa kufuata miongozo na sera zilizowekwa na Serikali na taasisi binafsi, kwa ajili ya kudhibiti vitendo vya...

Habari za Siasa

Rais Samia asema hataki siasa za fujo, awapa masharti wapinzani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka wanasiasa nchini humo kufanya siasa za maendeleo, badala ya kufanya siasa za fujo na vurugu....

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ajitosa sakata la Mbowe ‘mahakama itaamua’

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaomba Watanzania na ulimwengu kwa ujumla, kusubiri maamuzi ya mahakama dhidi ya mashtaka yanayomkabili kiongozi wa...

Afya

Hizi hapa sababu za watoto kutoathirika na Korona

  MKURUGENZI wa Idara ya Menejimenti ya Maafa, katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Kanali Jimmy Said, amesema watoto wadogo hawaathiriki sana na Ugonjwa...

Habari Mchanganyiko

Mauaji wivu wa mapenzi yatisha wanaharakati “ni janga la kitaifa”

  SERIKALI ya Tanzania, imeombwa itangaze matukio ya ukatili katika ndoa hasa mauaji yanayosababishwa na wivu wa mapenzi, kuwa ni janga la kitaifa....

Habari Mchanganyiko

THRDC yataka sheria, sera za maafa zifumuliwe

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali ifanye marekebisho katika Sheria na sera zinazosimamia masuala ya majanga ili...

Habari MchanganyikoTangulizi

Wananchi watakiwa kujiandaa wimbi la nne Korona, wasisahau tiba asili

  WATANZANIA wametakiwa kuendelea kuchukua hatua za kujikinga na mlipuko wa Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), ili kudhibiti athari zake. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Hakimu amkunjulia makucha DPP

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imeitaka Ofisi ya Mkurugenzi wa Mashtaka nchini (DPP), kuharakisha taratibu za...

Habari za Siasa

Walinzi wa Mbowe wasomewa mashtaka kumiliki silaha, sare za jeshi

  HALFAN Bwire Hassan, mlinzi wa Mwenyekiti wa Chama cha Chadema, Freeman Mbowe, amesomewa shtaka la kumiliki sare na jeshi kinyume cha sheria....

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yajitosa kesi ya Mbowe, kutuma mawakili 5

  CHAMA cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, kimesema kitatuma mawakili wake watano waandamizi wakiongozwa na Boniface Mwambukusi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wasomewa mashtaka upya, DPP hajakamilisha taratibu

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamesomewa upya mashtaka katika kesi ya ugaidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe afikishwa Kisutu, ulinzi waimalishwa

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamefikishwa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini...

Habari za Siasa

NEC : Jimbo la Konde liko wazi

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza Jimbo la Konde visiwani Zanzibar, liko wazi baada ya mbunge wake mteule kupitia Chama Cha...

Habari za SiasaTangulizi

Madeni yaitesa ATCL

  SHIRIKA la Ndege la Tanzania (ATCL), limesema changamoto ya mrundikano wa madeni inaathiri utendaji wake na kusababisha lijiendeshe kwa hasraa. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua mrithi wa Mfugale Tanroads

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amemteua Rogatus Hussein Mativila, kuwa Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), akichukua mikoba ya Mhandisi Patrick...

AfyaTangulizi

Chanjo ya Korona kuanza Agosti 3, vituo 550 kutumika

  WIZARA ya Afya nchini Tanzania, imesema huduma ya chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), itaanza kutolewa kwa wananchi kuanzia Jumanne, tarehe 3...

Habari za Siasa

Samia aendelea kupanga safu ya uongozi CCM

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameendelea kupanga safu ya uongozi wa chama hicho, tangu alipokabidhiwa wadhifa huo, mwishoni...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ateua makatibu wakuu wannne

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi, ameteua makatibu wakuu wanne, wa wizara na taasisi mbalimbali visiwani humo. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

LHRC yaomba viwango vya mishahara sekta binafsi viongezwe

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu nchini Tanzania (LHRC), kimeiomba Serikali iongeze viwango vya mishahara ya wafanyakazi wa sekta binafsi, ili...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia afungua dimba chanjo ya Korona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua zoezi la utoaji chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), kwa kuchanjwa aina ya Johnson &...

AfyaHabari za SiasaTangulizi

Rais Samia awapa ujumbe wapinga chanjo ya Korona

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka watu wanaopinga chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), wakajifunze katika mikoa iliyoathirika na janga hilo....

AfyaTangulizi

Tanzania kuingiza aina tano chanjo za Korona

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kuingiza aina tano za chanjo ya Ugonjwa wa Korona (UVIKO-19), ili kukabiliana na maambukizi ya ugonjwa huo kwa...

Habari za Siasa

Samia kukata mzizi wa fitna tozo miamala ya simu

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema majibu ya kilio cha wananchi juu ya tozo ya miamala ya simu, yatapatikana tarehe 29...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Mabalozi msikae kimya Tanzania ikichafuliwa

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amewataka mabalozi wasikae kimya taswira ya Tanzania inapochafuliwa kimataifa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Rais...

AfyaTangulizi

Tanzania kupigwa jeki upimaji Korona, kujenga viwanda vya chanjo

  SERIKALI ya Tanzania, inatarajia kujenga viwanda vya kuzalisha chanjo za magonjwa ya mlipuko. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa...

AfyaTangulizi

Tanzania yakaza masharti kukabili ugonjwa wa Korona

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa mwongozo mpya wa kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam, … (endelea)....

Habari Mchanganyiko

Mbowe apate pigo jingine, baba yake mdogo afariki dunia

  MANASE Alphayo Mbowe, baba mdogo wa Kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania, Freeman Mbowe, amefariki dunia asubuhi ya leo Ijumaa,...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo: Mghwira ameacha historia

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimemlilia aliyekuwa mwenyekiti wake wa kwanza, Anna Mghwira, kikisema kwamba kifo chake kimeacha pigo katika medani za kisiasa nchini...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kukutana kwa dharura kumtafuta Mbowe, yamwomba Rais Samia…

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania-Chadema, kimeitisha kikao cha dharura cha kamati kuu, kwa ajili ya kumtafuta mwenyekiti wao, Freeman Mbowe, ambaye...

AfyaHabari Mchanganyiko

Chanjo Covid-19 yaingia rasmi Tanzania, wananchi waitwa

  SERIKALI ya Tanzania, imesema chanjo ya kujikinga dhidi ya maambukizi ya homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya Corona (Covid-19), imeshaingia...

Habari Mchanganyiko

Watu 275 wakamatwa tuhuma za mauaji

  JESHI la Polisi nchini Tanzania, linawashikilia watu 275 kwa tuhuma za mauaji, yaliyotokea nchi nzima kuanzia Mei hadi Julai 2021. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Malalamiko tozo miamala ya simu yamuibua Rais Samia, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango, itafute suluhu ya malalamiko ya wananchi kuhusu viwango vya tozo...

Habari Mchanganyiko

Kigogo PPRA afariki dunia

  AFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA), Mhandisi Leonard Kapongo, amefariki dunia jioni ya jana, tarehe 17...

Habari Mchanganyiko

Meneja asimulia A-Z tukio la mauaji Sinza “muuaji alikuwa na kinyongo”

  MENEJA WA Baa ya Lemax iliyopo Sinza kwa Remi mkoani Dar es Salaam, Godlisten Augustine, amesimulia tukio la mauaji ya watu wawili...

Habari za Siasa

CUF yaomba kodi mitandao ya simu ifutwe

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ifute kodi ya mitandao ya simu, kwa maelezo kwamba inaumiza wananchi, hasa wa kipato cha chini. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Kikwete ataja mfupa uliomshinda akiwa madarakani

  RAIS wa Awamu ya Nne wa Tanzania, Jakaya Kikwete, amesema changamoto kubwa aliyomsumbua wakati wa uongozi wake, ni watumishi wa afya kugoma...

Habari za SiasaTangulizi

Msajili ajitosa sakata la Mdee na wenzake, aitwanga barua Chadema

  OFISI ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, inadaiwa kuingilia kati maamuzi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ya kuwavua...

Habari MchanganyikoTangulizi

“Mkapa alidhibiti Ukimwi, aligusa maisha ya Watanzania Mil. 20”

ALIYEKUWA Rais wa Tanzania wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin Mkapa, ametajwa kuwa na mchango mkubwa katika kudhibiti maambukizi ya ugonjwa wa Upungufu...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Moto K/koo: Chadema wataka Majaliwa, Simbachawene wajiuzulu

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),  Kanda ya Pwani, kimemtaka Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, ajiuzulu kwa kushindwa kudhibiti maafa katika tukio la...

Habari za Siasa

Chadema wataka  wahanga tukio la moto Kariakoo walipwe fidia

  SERIKALI imeombwa iwalipe fidia wafanyabiashara waliopoteza mali zao katika tukio la moto uliounguza sehemu ya Soko Kuu la Kariakoo, jijini Dar es...

Habari Mchanganyiko

RC Dar asimulia A-Z tukio la moto Kariakoo “yangetokea maafa makubwa”

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Amos Makalla, amesema kama juhudi za kuudhibiti moto katika Soko Kuu la...

Habari Mchanganyiko

Moto K’koo: Masoko, sehemu za mikusanyiko kukaguliwa

  SERIKALI ya Tanzania, imeagiza wakuu wa mikoa (RC) kwa kushirikiana na Jeshi la Zima Moto na Uokoaji katika meneo yao, kufanya ukaguzi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Moto Kariakoo waliza wafanyabiashara 224

  SERIKALI ya Tanzania imesema, wafanyabiashara takribani 224, wameathirika na tukio la Soko Kuu la Kariakoo, jijini Dar es Salaam, kuungua moto. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Jaji Mkuu ataka mawakili wajiongeze, waache kulalamika

  JAJI Mkuu wa Tanzania, Prof. Ibrahim Juma, amewashauri mawakili na wanasheria, watafute nafasi za kujiajiri wenyewe, badala ya kulalamika kuna uhaba wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Walioporwa fedha kwenye mabenki kurejeshewa

  WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema fedha zilizochukuliwa kimakosa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), katika akaunti za benki,...

Habari Mchanganyiko

Serikali kuwatoa kifungoni wafanyabiashara fedha za kigeni

  SERIKALI ya Tanzania, imesema itarejesha leseni za wafanyabiashara wa maduka ya kubadili fedha za kigeni, ili waendelee na shughuli zao. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

Rais Samia, Mbatia wavutana ongezeko kodi ya mafuta

  WAKATI Rais Samia Suluhu Hassan, akisema Serikali imeongeza kodi ya Sh. 100 kwa kila lita moja ya mafuta, ili ipate fedha za...

Habari Mchanganyiko

Jumuiya ya Kikristo yamchambua Rais Samia

JUMUIYA YA Kikristo Tanzania (CCT), imezichambua siku 100 za uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, na kutaja mambo matano yaliyong’arisha siku hizo.Anaripoti Regina...

error: Content is protected !!