Tuesday , 30 April 2024
Home upendo
1871 Articles239 Comments
Habari Mchanganyiko

Chanjo ya Covid-19 mbioni kuingia Tanzania, wananchi kuchanjwa bure

  SERIKALI ya Tanzania imesema imekamilisha muongozo wa kuingiza na kutoa chanjo ya ugonjwa wa homa kali ya mapafu, inayosababishwa na Virusi vya...

Habari Mchanganyiko

THRDC yaomba kamati ya kitaifa ya NGO’s

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iunde kamati ya kitaifa, kwa ajili ya kuratibu na kutangaza shughuli ...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu aeleza kitakachomrejesha Tanzania

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, amesema chama hicho kikitengeneza utaratibu wa kufanya mikutano ya hadhara kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdude ajitosa madai katiba mpya, atoa ahadi nzito

  KADA wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Mdude Nyagali amekula kiapo cha kusaka katiba mpya, kabla ya Uchaguzi Mkuu wa 2025....

Habari za Siasa

Askofu Mwamakula aitahadharisha CCM

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Moravian la Uamsho Tanzania na Afrika Mashariki, Emmaus Mwamakula, amekishauri Chama Cha Mapinduzi (CCM), kisikatae marekebisho ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamgomea Rais Samia, wamtaka aunde tume kusaka katiba mpya

  CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimekataa ombi la Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan la kutaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

THRDC yalia na changamoto za kodi, TRA yajibu

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), umeiomba Serikali iondoe changamoto za kikodi zinazokabili Asasi za Kiraia nchini (Azaki). Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yataja sekta sita kinara utoaji ajira

  SERIKALI ya Tanzania imetaja sekta sita zilizo kipaumbele katika kutoa nafasi za ajira nchini. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Tangulizi

Mpango wa tatu wa maendeleo wazinduliwa, kutumia Trilioni 114.8

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amezindua Mpango wa Tatu wa Maendeleo wa Taifa wa Miaka Mitano 2021/22 hadi 2025/26, utakaogharimu Sh....

Habari Mchanganyiko

THRDC yawanoa wanachama wake, yawapa masharti

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu nchini Tanzania (THRDC), umefanya semina ya kuwajengea uwezo wanachama wake wapya 70. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za Siasa

Mdee ataka sensa ibaini maeneo yasiyokuwa na maji

  MBUNGE Viti Maalumu (asiye na chama bungeni), Halima Mdee, ameishauri Serikali itumie sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika 2022, kubaini hali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mamia wamuaga Padri Karugendo

  MAMIA ya watu wameuaga mwili wa aliyekuwa mwandishi na mchambuzi wa masuala ya kisiasa nchini Tanzania, Padri Privatus Karugendo (65). Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Siku 100 za Rais Samia: Machozi, kicheko CCM

  KATIKA siku 100 za uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), wapo wanachama wa chama hicho waliomwaga...

MichezoTangulizi

Diamond ashindwa BET na Burna Boy, atoa ujumbe

  MSANII wa Nigeria, Burna Boy ameibuka mshindi wa tuzo ya BET 2021 kama msanii bora wa kimataifa na kuwaangusha wasanii wengine akiwemo,...

Habari za Siasa

CUF kumkabidhi Rais Samia ilani zake

  CHAMA cha Wananchi (CUF), kimesema kitamkabidhi ilani za chama hicho kuanzia Uchaguzi Mkuu wa 1995 hadi 2020 pindi ombo lao la kukutana...

Habari za SiasaTangulizi

Siku 100 za Rais Samia: Fatma Karume “katika hili, ametuangusha”

  FATMA Karume, wakili na aliyekuwa Rais wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), amesema siku 100 za uongozi wa Rais Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Siku 100 za uhuru mahakamani

  TAREHE 27 Juni 2021, Rais Samia Suluhu Hassan atatimiza miaka 100 akiwa madarakani. Aliapishwa 19 Machi 2021, baada ya mtangulizi wake Rais...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia atoa tahadhari wimbi la tatu la Covid-19

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi ya mlipuko wa tatu wa ugonjwa wa homa kali ya mapafu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yafuta hukumu ya Mbowe, kurejeshewa mamilioni

  HUKUMU ya kesi ya Jinai Na. 112/2018 iliyotolewa na Mahakama ya Hakim Mkazi Kisutu, Dar es Salaam iliyomuhusu Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa...

Habari Mchanganyiko

Muarobaini wizi wa dawa za Serikali waja

SERIKALI iko katika hatua za mwisho za maandalizi ya mfumo wa kielektroniki,  wa kufuatilia usambazaji wa dawa katika hospitali, vituo vya afya na...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yateua mrithi wa Khatib

  MOHAMMED Said Issa, ameteuliwa na Chama cha ACT-Wazalendo, kugombea Jimbo la Konde, visiwani Zanzibar, katika uchaguzi mdogo unaotarajiwa kufanyika tarehe 18 Julai...

Habari za SiasaTangulizi

UVCCM yaanza kusukwa upya

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kusuka upya uongozi wa umoja wake wa vijana (UVCCM). Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari Mchanganyiko

THRDC kuzindua mpango mkakati wa maendeleo

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), unatarajia kuzindua mpango mkakati wa Asasi za Kiraia (Azaki), wa utekelezaji Mpango wa...

Habari Mchanganyiko

LHRC yalaani mauaji ya kinyama Tabora

  KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu Tanzania (LHRC), kimeiomba Serikali ya Tanzania, kuwachukulia hatua watu waliohusika katika tukio la mauaji ya...

Habari Mchanganyiko

Mahakama Kuu yamrejeshea Fatma Karume uwakili

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Kanda ya Dar es Salaam, imefuta uamuzi wa Kamati ya Maadili ya Mawakili Tanganyika, wa kumfuta uwakili, Mwanaharakati...

Habari Mchanganyiko

Mauaji ya kinyama Tabora: Polisi ‘wagomea’ tuhuma

  JESHI la Polisi mkoani Tabora, limedai mauaji ya mtoto Nyanzobhe Mwandu (4), yaliyotokea tarehe 16 Juni 2021, yalipangwa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Ma-DC wapya Dar wapewa majukumu matano

  MKUU wa Mkoa wa Dar es Salaam, Amos Makalla amewakabidhi majukumu matano wakuu wa wilaya za mkoa huo, walioteuliwa na Rais Samia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kherry James atoa ahidi nzito

  SIKU mbili baada ya kuteuliwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Ubungo, Dar es Salaam, Kherry James amesema ‘sintokuwa mtawala bali mtumishi wa...

Habari za Siasa

Mrithi wa Maalim Seif ACT-Wazalendo kupatikana Novemba 27

  KAMATI Kuu ya Chama cha ACT-Wazalendo, imeagiza mkutano wa dharura wa chama hicho uitishwe tarehe 27 Novemba 2021, kwa ajili ya kujaza...

Habari za Siasa

Wabunge waibana Serikali kodi laini za simu, miamala

  BAADHI ya wabunge kutoka katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) na vyama vya upinzani, wameishauri Serikali ifungue akaunti maalumu ya benki, kwa ajili...

ElimuTangulizi

Mambo tisa yaibuka kwenye mjadala mabadiliko mifumo ya elimu

  TAKRIBANI mambo tisa, yameibuka katika mkutano wa wadau, wa kujadili namna ya uboreshaji mitaala ya elimu nchini Tanzania. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Elimu

Mitaala ya Elimu Tanzania kufumuliwa tena

  SERIKALI ya Tanzania iko mbioni kufanya maboresho ya mitaala ya elimu ya msingi, vyuo vya kati na ufundi stadi pamoja na vyuo...

Habari MchanganyikoKimataifa

Kifo cha Kaunda: Tanzania yatangaza siku 7 za maombolezi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangaza siku saba za maombolezo ya kitaifa kufuatia kifo cha Rais wa kwanza wa Zambia, Kenneth...

Habari MchanganyikoTangulizi

Masheikh Uamsho wafutiwa mashtaka, DPP afunguka

  MKURUGENZI wa Mashtaka nchini (DPP), Sylvester Mwakitalu, amewafutia mashtaka viongozi 18 kati ya 36, wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sethi amalizana na DPP, kutoka leo

  MFANYABIASHARA Harbinder Sethi, anayesota rumande kwa takribani miaka minne, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi, anatarajiwa kutoka baada ya kumalizana na Mkurugenzi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Masheikh wa Uamsho waachiwa

  MASHEIKH wawili kati ya 51, wa Jumuiya ya Uamsho na Mihadhara ya Kiislamu Zanzibar, waliokuwa wanakabiliwa na makosa ya ugaidi kwenye Kesi...

Habari Mchanganyiko

LSF yazindua mfumo wa kidigitali kutoa msaada kisheria

SHIRIKA linalofanya kazi ya kukuza upatikanaji haki nchini Tanzania, kupitia uwezeshaji wa kisheria, Legal Services Facility (LSF), limezindua mfumo wa kidigitali wa kusaidia...

AfyaHabari za Siasa

Tanzania kuajiri wataalamu bingwa wa moyo 12 kutoka nje

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu hassan, amesema atalifanyia kazi ombi la Taasisi ya Moyo ya jakaya Kikwete (JKCI), la kuajiri watalaam 12...

Habari Mchanganyiko

Serikali kusamehe kodi simu janja

  SERIKALI ya Tanzania, imepanga kutoa msamaha wa kodi ya ongezeko la thamani (VAT), kwenye simu janja za mkononi, vishikwambi (Tablets) na modemu,...

Habari za SiasaTangulizi

Wanawake wamkabidhi changamoto sita Rais Samia

  WANAWAKE wa Mkoa wa Dodoma, wamemkabidhi changamoto sita Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, wakimuomba azitatue ili kuleta ustawi wa kundi hilo...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yasaka mwarobaini ukataji holela misitu

  SERIKALI ya Tanzania, imetoa wito kwa wasomi, watafiti pamoja na wafanyabiashara wa nishati mbadala, kutafuta njia zitakazowawezesha wananchi kuachana na matumizi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo matano yatikisa bajeti maliasili na utalii

  MAMBO matano yameteka mjadala wa Bajeti ya Wizara ya Maliasili na Utalii, kwa mwaka wa fedha wa 2021/2022, uliotokea Ijumaa, tarehe 4...

Habari Mchanganyiko

Mauaji mwanafunzi Chuo Kikuu Iringa yaibuka bungeni

  MBUNGE wa Nkasi Kaskazini mkoani Rukwa (Chadema), Aida Khenani, amelifikisha bungeni tukio la mauaji ya aliyekuwa Mwanafunzi wa Uandishi wa Habari, katika...

Habari Mchanganyiko

Ukame janga jipya Afrika

  KUONGEZEKA kwa shughuli za kibinadamu zisizo rafiki kwa mfumo wa ikolojia katika Bara la Afrika na nchi nyingine zinazoendelea duniani, kumetajwa kuwa...

Habari za Siasa

Mbowe awazungumzia kina Lowassa, Sumaye

  FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, ametaka wafuasi wa chama hicho waliokimbilia Chama Cha Mapinduzi (CCM), wasidharauliwe....

Habari Mchanganyiko

IGP Sirro ateua kamanda mpya Dar

  INSPEKTA Jenerali wa Polisi nchini Tanzania, IGP Simon Sirro, amefanya mabadiliko madogo ya Makamanda wa Polisi, ikiwemo kumhamisha aliyekuwa Kamanda wa Jeshi...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua ‘Boss’ mpya FCC, WCF

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewateua watendaji wakuu katika Tume ya Ushindani wa Biashara (FCC) na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Zuio NGOs kuishtaki Serikali Afrika: Samia aonesha matumaini

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema atalifanyia kazi ombi la kuitaka Tanzania ibadili msimamo wake, wa kujitoa kwenye azimio linaloruhusu Mashirika Yasiyo ya...

Habari za Siasa

Mabadiliko tabia ya nchi tishio EAC

  WATAALAM wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), wamekutana jijini Dar es Salaam, kwa ajili ya kutafuta ufumbuzi wa athari za mabadiliko ya...

Habari za Siasa

Tanzania, Saudi Arabia kukuza ushirikiano wa kibiashara, utalii

  NCHI ya Tanzania na Saudi Arabia, zimeahidi kukuza ushirikiano katika biashara ya mazao ya kilimo pamoja na utalii. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

error: Content is protected !!