SHIRIKA linaloshughulika na masuala ya utafiti nchini, linalofahamika kwa jina la TWAWEZA, lidai kutishwa na vyombo vya serikali. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea)....
By Regina MkondeAugust 3, 2018MAOFISA wa Uhamiaji wamemnyang’anya Hati ya Kusafiria (passport) Mkurugenzi wa taasisi ya utafiti isiyo ya kiserikali Twaweza Aidan Eyekuze. Anaandika Regina Kelvin … (endelea)....
By Regina MkondeAugust 3, 2018BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imesimamiasha shughuli za Bodi ya Wakurugenzi na Uongozi wa Bank M. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). BoT imechukua...
By Regina MkondeAugust 2, 2018Mfanyabiashara Prosper Peniel (26) mkazi wa Kwimba mkoani Mwanza anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo kwa kosa la kutoa taarifa ya uongo...
By Regina MkondeAugust 2, 2018SERIKALI imewatangazia vita watu wanaotorosha madini ya Tanzanite pamoja na wanaokwenda kinyume na matakwa ya sheria. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Akizungumza jana...
By Regina MkondeAugust 2, 2018SPIKA wa Bunge, Job Ndugai amepokea barua ya kujivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kujiuzulu nafasi ya ubunge kwa...
By Regina MkondeAugust 2, 2018WATU wawili, Judith Amoni Mwansansu (39) Mkazi wa Mwanjelwa na Aive Alex Swalo (17) Mkazi wa Mwanjelwa Mtaa wa Soko wanashikiliwa na Jeshi...
By Regina MkondeAugust 1, 2018CHAMA cha Wananchi (CUF) kumewaka baada ya aliyekuwa Naibu Meya wa Ilaya anayetokana na chama hicho, Omary Kumbilamoto leo Agosti mosi, 2018 kutimkia...
By Regina MkondeAugust 1, 2018MFANYABIASHARA Said Lugumi amesalimu amri kwa kukubali kukamilisha kufunga mfumo wa mashine za kielektroniki za kuchukua alama za vidole nchi nzima ndani ya...
By Regina MkondeJuly 31, 2018SERIKALI imesema itapanga bei elekezi ya madini ili kundoa urasimu wanaofanyiwa wachimbaji wadogo wakati wa uuzaji. Anaripoti Regina Kelvin … (endelea). Hayo yalisemwa...
By Regina MkondeJuly 31, 2018JESHI la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) limetangaza nafasi za kuandikishwa jeshini madaktari wa binadamu na fani nyingine za tiba. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 31, 2018MFANYABIASHARA Said Lugumi ametelekeza agizo la Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi. Kangi Lugola liliomtaka ajisalimishe ofisini kwake mara moja. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeJuly 31, 2018JINAMIZI la kukimbiwa na wabunge na madiwani linazidi kuitafuna Chadema, ambapo jana tarehe 30, 2018 Mbunge wa Monduli, Julius Kalanga kupitia chama hicho...
By Regina MkondeJuly 31, 2018MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema itaendelea kufanya ukaguzi wa matumizi za mashine za kutolea risiti za kielektroniki (EFD), ili kuhakikisha kila mfanyabiashara...
By Regina MkondeJuly 31, 2018TAASISI za serikali zinazohusika na masuala ya ukaguzi na udhibiti wa bidhaa, zimetakiwa kutokuwa kikwazo kwa maendeleo ya wajasiriamali na ujenzi wa viwanda...
By Regina MkondeJuly 30, 2018MAALIM Seif Sharif Hamad, Katibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) amesema kuwa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) sio chama cha kukimbilia. Anaripoti Regina Kelvin...
By Regina MkondeJuly 29, 2018UPUNGUFU wa Kinga Mwilini (Ukimwi) ndio unaoonekana kuwa tishio lakini Ugonjwa wa Homa ya Ini unatajwa kuuwa Ukimwi na hata Kifua Kikuu. Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 29, 2018RAIS John Magufuli amefanya uteuzi wa viongozi mbalimbali, ambapo amemteua Mwanamitindo, Jokate Mwegelo kuwa Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe huku aliyekuwa Mbunge wa...
By Regina MkondeJuly 28, 2018BAADA ya Mbunge wa Ukonga (Chadema) Mwita Waitara kutangaza kurudi CCM, Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe ametoa neno kuhusu hatua hiyo. Anaripoti...
By Regina MkondeJuly 28, 2018KINYANG’ANYIRO cha uchaguzi mkuu ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeanza kukimega chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Mbunge wa...
By Regina MkondeJuly 28, 2018MTU mmoja anayefahamika kwa jina la Mussa Faustine (19) mkazi wa Bugarika wilaya ya Nyamagana Mkoani Mwanza, ameuawa na wananchi wenye hasira kali...
By Regina MkondeJuly 28, 2018