Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua ‘Boss’ mpya FCC, WCF
Habari za Siasa

Rais Samia ateua ‘Boss’ mpya FCC, WCF

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewateua watendaji wakuu katika Tume ya Ushindani wa Biashara (FCC) na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Uteuzi huo umetangazwa jana tarehe 29 Mei 2021 na Mkurugenzi wa Mwasiliano ya Rais-Ikulu, Gerson Msigwa.

Taarifa ya Msigwa imesema, Rais Samia memteua  William Erio, kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa FCC.

Kabla ya uteuzi huo,  Erio alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Pia, Rais Samia amemteua alikuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa FCC,  Dk. John Kedi Mduma, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WCF.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!