Friday , 29 September 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia ateua ‘Boss’ mpya FCC, WCF
Habari za Siasa

Rais Samia ateua ‘Boss’ mpya FCC, WCF

Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewateua watendaji wakuu katika Tume ya Ushindani wa Biashara (FCC) na Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF). Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea).

Uteuzi huo umetangazwa jana tarehe 29 Mei 2021 na Mkurugenzi wa Mwasiliano ya Rais-Ikulu, Gerson Msigwa.

Taarifa ya Msigwa imesema, Rais Samia memteua  William Erio, kuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa FCC.

Kabla ya uteuzi huo,  Erio alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).

Pia, Rais Samia amemteua alikuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa FCC,  Dk. John Kedi Mduma, kuwa Mkurugenzi Mkuu wa WCF.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Serikali yawaangukia viongozi wa dini

Spread the loveSERIKALI imewaomba viongozi wa dini, waendelee kuelimisha wananchi kudumisha amani...

Habari za Siasa

Azzim Dewji aitaka Serikali iwanyooshe mafisadi

Spread the loveMFANYABIASHARA maarufu nchini, Azzim Dewji, ameitaka Serikali iwachukulie hatua wezi...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga: Usambazaji umeme vijijini mwisho Desemba 2023

Spread the love  NAIBU Waziri wa Nishati, Judith Kapinga, amesema ifikapo mwezi...

Habari za Siasa

Mgongano wa kimasilahi wamhamisha Chande TTCL

Spread the love  ALIYEKUWA Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO),...

error: Content is protected !!