Tuesday , 30 April 2024
Home upendo
1871 Articles238 Comments
Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amtaja Mwalimu Nyerere mahakamani

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kiongozi wa mwisho wa Taifa hilo ni Hayati Baba...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mwamakula aendesha maombi mahakamani kesi ya Mbowe

  ASKOFU wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake kortini kesho, Jaji anayesikiliza kesi hiyo kitendawili

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumatano, tarehe 20 Oktoba 2021, inatarajia kutoa uamuzi wa...

Habari za Siasa

Rais Samia awageuzia kibao watumishi wa umma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu, amewaagiza viongozi wa mikoa, wilaya na halmashauri, kutowafumbia macho watumishi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya wizi,...

Habari za Siasa

Mabilioni yamwaga ujenzi wa miradi ya maji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amesema katika kipindi cha miezi sita cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, Serikali yake imetoa mabilioni...

Habari za Siasa

Gambo amtwisha mizigo ya Arusha Rais Samia

  MBUNGE wa Arusha Mjini nchini Tanzania kupitia chama tawala- (CCM), Mrisho Gambo, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, atatue changamoto zinazoukabili Mkoa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kada Chadema arudi CCM mbele ya Rais Samia, aomba kazi

  ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha Mapinduzi (CCM),...

Habari Mchanganyiko

Watanzania 940,000 wapata chanjo ya korona, zingine laki 5…

  SERIKALI ya Tanzania imesema, hadi kufikia juzi Ijumaa tarehe 15 Oktoba 2021, takiribani wananchi 940,000 walikuwa wamepata chanjo ya ugonjwa unaosababishwa na...

AfyaHabari za Siasa

Bilioni 6 kuiboresha Hospitali ya Mawenzi

  RAIS Samia Suluhu Hassan, amesema Serikali imetenga Sh. bilioni sita kwa ajili ya kuiboresha Hospitali ya Rufaa ya Mawenzi, mkoani Kilimanjaro. Anaripoti...

Habari Mchanganyiko

THRDC watoa neno mauaji mtendaji Serikali za Mtaa

  MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), wameishauri Serikali iimarishe usalama wa viongozi wa Serikali za Mitaa, ili kudhibiti matukio...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba akemea ubaguzi wa kivyama, ataka amani isiingiliwe 

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Jaji Joseph Sinde Warioba, amekemea watu wanaotaka kuleta ubaguzi katika ukabila, udini, ukanda na uvyama, akisema wanahatarisha amani...

Habari za SiasaTangulizi

Nape: Tumuongezee muda Rais Samia hadi 2030

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amempigia chapuo Rais Samia Suluhu Hassan, akitaka aongezewe muda wa kuiongoza Tanzania...

Habari za Siasa

Rais Samia awaapisha RC Shinyanga, Jaji kiongozi, Jaji Mahakama ya rufani

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaapisha viongozi watatu aliowateua tarehe 8 Oktoba 2021. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea)....

Habari za Siasa

Waliotemwa uwaziri, wapangiwa kamati za Bunge, Polepole ‘avuliwa’ uongozi

  SPIKA wa Bunge la Tanzania, Job Ndugai amefanya mabadiliko madogo ya wajumbe wa kamati za kudumu za Bunge huku akiwapangia kamati waliokuwa...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia atangaza neema watumiaji wa mafuta Tanzania

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameagiza kupunguzwa tozo zinazotozwa na taasisi mbalimbali katika bidhaa za mafuta nchini humo zenye thamani ya...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia ateta na muwekezaji mradi wa gesi asilia

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amefanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Royal Dutch Shell, Ben Van Beurden, kuhusu...

Habari za Siasa

Majaliwa aziagiza wizara, halmashauri ziimarishe mazingira uchumi shirikishi

  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameziagiza wizara, halmashauri na taasisi za Serikali na binafsi, ziimarishe mazingira ya uchumi shirikishi ili kukuza kipato cha...

Habari Mchanganyiko

TRA: Ukusanyaji kodi umeongezeka kwa 17.4%

  MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA), imesema ukusanyaji kodi katika kipindi cha robo ya kwanza ya 2021/2021, umeongezeka kwa asilimia 17.4, ikilinganishwa na...

Habari za Siasa

Wazee ACT-Wazalendo waomba kuonana na Rais Samia

  NGOME ya Wazee wa Chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, imeomba kuonana na Rais wa nchi hiyo, Samia Suluhu Hassan, ili kuzungumza changamoto...

Habari Mchanganyiko

Rais Samia aitembelea LSF

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametembelea banda la Shirika Lisilo la Kiserikali, linaloshughulika na masuala ya msaada wa kisheria, Legal Service...

Habari Mchanganyiko

Wadau wanolewa matumizi sahihi ya mitandao

  SHIRIKA lisilo la kiserikali, linaloshughulika na masuala ya utetezi wa haki za kidigitali, Zaina Foundation, likishirikiana na Shirika la Haki Maendeleo, limewanoa...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa asimulia Ole Nasha alivyofikwa na mauti

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kifo cha aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, William Tate Ole Nasha, kilichotokea...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri ilivyomhoji mke wa mshtakiwa kuhusu Mbowe

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi ndogo Mbowe, wenzake 19 Oktoba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwa wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake; Mke wa mshtakiwa aanza kutoa ushahidi, walivunja mlango!

  MKE wa mshtakiwa Adam Kasekwa ambaye ni shahidi wa tatu wa utetezi, Lilian Kibona, ameanza kutoa ushahidi wake katika Mahakama ya Uhujumu...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe: Mshtakiwa adai hakupewa chakula kwa siku 10

  MOHAMMED Ling’wenya, mshtakiwa wa tatu katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Mshtakiwa alivyomaliza kujitetea kesi ya Mbowe, wenzake

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi kina Mbowe: Mshtakiwa apata kigugumizi

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ndogo ya kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, amepata...

Habari za Siasa

UVCCM: Tunakwenda na Rais Samia 2025

  UMOJA wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umesema vijana wa chama hicho wamekubaliana kumuunga mkono Rais Samia Suluhu Hassan hadi 2030....

Habari Mchanganyiko

Asasi za kiraia Tanzania zazindua mwongozo wa ulipaji kodi

  ASASI za Kiraia nchini Tanzania (AZAKI), zimezindua mwongozi wa ulipaji kodi. Anaripoti Regina Mkonde, Dar ea Salaam … (endelea). Mwongozo huo umezinduliwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi adai alipigwa kwa dk45 akiwa kichwa chini, miguu juu

  MSHITAKIWA wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kupanda njama za ugaidi, Adam Kasekwa amedai mara baada ya kukamatwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi asimulia alivyoteswa akiwa amevuliwa nguo zote

  ADAM Kasekwa, mshtakiwa wa pili katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi amieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Jamhuri yaondoa mashahidi 4, mshtakiwa aanza kujitetea

  UPANDE wa Jamhuri kwenye kesi ndogo ndani ya kesi kubwa ya uhujumu uchumi, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wenzake: Jamhuri kuleta shahidi wa nne 

  KESI ndogo katika kesi ya uhujumi uchumi, yenye mashtaka ya kula njama za kufanya vitendo vya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia:  Tanzania imefanikiwa kudumisha utulivu wa kisiasa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewaeleza wajumbe wa mkutano wa 76 wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa (UNGA), kwamba Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yafutwa mahakam kuu, jaji asema…

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imeifuta kesi ya kikatiba Na.21/2021, iliyofunguliwa na kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini humo cha Chadema, Freeman...

Habari MchanganyikoTangulizi

DPP afuta kesi ya Lissu na wenzake

  KESI ya jinai Namb. 208/2016 iliyohusu mashitaka ya uchochezi dhidi ya Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Bara, Tundu...

Habari za SiasaTangulizi

Wanasiasa, msajili na IGP Sirro kukutana Oktoba 21

  MKUTANO wa wadau wa vyama nchini Tanzania, unatarajiwa kufanyika tarehe 21 Oktoba 2021, jijini Dodoma. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam …...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi adai kushtushwa wenzake Mbowe kutuhumiwa kwa ugaidi

  SHAHIDI namba tatu wa Jamhuri, katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, Askari Polisi H4323 Msemwa,...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha kesi ya Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha kusikiliza kesi ndogo ya kesi ya uhujumu uchumi,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi wa pili amaliza kutoa ushahidi

  SHAHIDI wa pili katika shauri dogo la kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, kwenye Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake kiguu na njia mahakama ya mafisadi

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, leo Jumatatu, tarehe 20 Septemba 2021, watafikishwa tena...

Habari za Siasa

Rais Samia apaisha uwekezaji nchini, ajira 29,709 kuzalishwa

  UWEKEZAJI nchini Tanzania kwa mwaka 2020/2021, umeongezeka tofauti na ilivyokuwa 2019/2020. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam … (endelea). Taarifa hiyo imetolewa...

AfyaHabari Mchanganyiko

Vituo chanjo ya Corona vyaongezwa, Msigwa awapa neno wasiochanjwa

  SERIKALI ya Tanzania imeongeza vituo vya utoaji huduma ya chanjo ya ugonjwa wa Corona (UVIKO-19), kutoka 550 hadi 6,784 nchi nzima. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Uchaguzi Konde: CUF wakinzana na NEC

  WAKATI Tume ya Taifa ya Uchaguzi Tanzania (NEC), ikisema Chama upinzani cha Wananchi (CUF), kitashiriki uchaguzi mdogo wa Jimbo la Konde, Zanzibar,...

Habari za SiasaTangulizi

Vyama 16 vyajitosa uchaguzi mdogo Ushetu, kampeni kesho

  VYAMA vya siasa 16, vimejitokeza kushiriki uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ushetu mkoani Shinyanga, huku Jimbo la Konde, visiwani Zanzibar, vikijitokeza vyama...

Habari za SiasaTangulizi

Mambo matatu yajirudia kesi ya Mbowe, wenzake

  MAMBO matatu yamejirudia kwenye kesi ya uhujumu uchumi namba 16/2021, inayomkabili kiongozi wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe, wenzake wajigawa 

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imekubali ombi la mawakili wa utetezi katika   kesi inayomkabili...

error: Content is protected !!