Friday , 29 March 2024
Home upendo
1837 Articles232 Comments
HabariHabari za Siasa

Rais Samia kuunguruma katika mkutano wa vyama vya siasa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Tanzania,...

Habari

Rais Samia aonya wawekezaji kuzungushwa

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa maagizo kwa wasaidizi wake, kutowabudhudhi wawekezaji hususan wazawa kwani kufanya hivyo kunachelewesha fursa za ajira....

Habari za Siasa

Mbatia ahimiza ushirikiano vita dhidi ya UVIKO-19

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amewaomba Watanzania washirikiane katika mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wafunga ushahidi, uamuzi Desemba 14

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga...

Habari za Siasa

Komandoo wa JWTZ aeleza alivyohojiwa kuhusu Mbowe

  ALIYEKUWA Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gabriel Samheta Mhina, akitoa ushahidi wake katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Mbowe: Pingamizi la Serikali latupwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhumuku Uchumi, jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imetupilia mbali pingamizi la jamhuri la...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe; Jamhuri yapinga nyaraka za utetezi zisipokelewe na mahakama

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi imayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wamepinga upokeaji wa nyaraka za upande wa...

Tangulizi

Kina Mbowe wakwaa kisiki tena

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea barua ya utetezi katika kesi ndogo...

Afya

Wataalamu watahadharisha wimbi la nne UVIKO-19, wahimiza chanjo

  WATAALAMU wa sekta ya afya nchini, wameitahadharisha jamii juu ya ujio wa wimbi la nne la Ugonjwa wa Korona (Uviko-19), huku wakihimiza...

Afya

Prof. Kakoko: Chanjo UVIKO-19 haisababishi ugumba, upungufu nguvu za kiume

  MHADHIRI wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi (MUHAS), Profesa Deodatus Kakoko, ametoa wito kwa wananchi kuchanjwa chanjo ya Ugonjwa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Hatima pingamizi la Serikali J3

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa pingamizi la Jamhuri...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wamtega Jaji Tiganga

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ba wenzake, wameiomba Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yazidi kuikomalia barua ya kina Mbowe

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umemaliza kuwasilisha hoja zao za kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mshtakiwa aeleza alivyokamatwa, kuteswa na kubadilishwa jina

  MOHAMED Abdillah Ling’wenya, ambaye ni mshtakiwa wa tatu katika kesi ya ugaidi inayomkabili yeye na wenzake watatu akiwemo, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri waweka pingamizi barua ya kina Mbowe isipokelewa

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umeweka pingamizi dhidi ya kupokelewa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri wafunga ushahidi, kina Mbowe waanza kujitetea

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ndogo ndani ya kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umefunga ushahidi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe watumia kalenda kumhoji shahidi

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Bosi kituo cha Polisi Tazara awakana kina Mbowe

  INSPEKTA Rugawa Issa Maulid (42), Kaimu Mkuu wa Kituo cha Polisi Tazara, amekata kufikishwa kituoni hapo kwa watuhumiwa wa kesi ya ugaidi...

Habari za Siasa

Cheo cha shahidi chahojiwa mahakamani kesi ya Mbowe

  ASKARI Mpelelezi wa Polisi nchini Tanzania, H4347 Goodluck, ambaye ni shahidi wa pili wa jamhuri katika kesi ndogo ndani ya kesi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe alivyowasalimia kortini, nao wamwombea

  KESI ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, inaendelea leo Jumanne, tarehe 23 Novemba 2021. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Shahidi abanwa vifupisho vya maneno kutofautiana 

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamembana shahidi wa Jamhuri, Ricardo Msemwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kitabu cha mahabusu chakutwa na kipisi cha pini

  KITABUcha kumbukumbu ya mahabusu (DR) cha Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam, kimeibua maswali baina ya shahidi wa Jamhuri na mawakili...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kitabu cha kumbukumbu mahabusu chaibua mjadala

  KITABU cha kumbukumbu za mahabusu (DR), cha Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam, kimeendelea kuibua mkanganyiko katika kesi ya uhujumu uchumi,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe kuendelea leo, uamuzi wa pingamizi wasubiriwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu tarehe 22 Novemba 2021, itatoa uamuzi mdogo katika...

HabariTangulizi

TEF yawasilisha serikalini maboresho sheria za habari

  JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limekabidhi serikalini mapendekezo ya marekebisho ya sheria mbalimbali zinazogusa tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe wamkataa shahidi, waweka pingamizi tena

  MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe wamkataa shahidi, waweka pingamizi tena

  MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Askari Msemwa aeleza alivyowapokea Kasekwa, Ling’wenya

  ASKARI Mpelelezi (Detective Constable-DC), Ricardo Msemwa, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ndogo ya kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa tatu, Mohammed...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yaelezwa sababu mwenzake Mbowe kuhamishiwa Kituo cha Polisi Mbweni

  MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wilayani Arumeru, Arusha, SP Jumanne Malangahe, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe washinda pingamizi la pili

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea kitabu cha kumbumbuku za mahabusu,...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, wenzake wapinga kitabu cha mahabusu

  MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameweka pingamizi dhidi ya kitabu cha...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ndogo ya Mbowe yaanza, Jamhuri kutumia mashahidi sita na vielelezo 4

  KESI ndogo ndani ya kesi ya msingi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeanza kusikilizwa, Mahakama Kuu, Divisheni...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe yaahirishwa, kesi ndogo kuunguruma kesho

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano mkoani Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwaji wa kesi ya uhujumu uchumi,...

Habari za Siasa

Mapingamizi yatawala kesi ya Mbowe, wenzake

  MAPINGAMIZI yametawala katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, tangu ilipoanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu, Divisheni...

Habari za Siasa

Mahakama yaelezwa Mbowe alivyogoma kuandika maelezo polisi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imeelezwa namna Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Mahakama yatupa pingamizi lingine la kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imekubali kupokea hati ya ukamataji mali wa washtakiwa Adam Kasekwa na Mohammed...

Habari za SiasaTangulizi

Hati ya ukamatiji yaibu mvutano kesi ya Mbowe, yaahirishwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imeahirisha usililizwaji wa kesi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mkuu wa upelelezi Arumeru anaeleza alichoshuhudia

  AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ameanza kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari Mchanganyiko

Vijana waitwa mapambano dhidi ya mimba za utotoni, UKIMWI

  TAASISI ya Young and Alive Initiative (YAI), imeanza kusaka Vijana, kwa ajili ya programu maalumu ya kuwajengea uwezo watu wa rika hilo...

Habari za SiasaTangulizi

Ujambazi wa Sabaya wahojiwa kesi ya Mbowe

  PETER Kibatala, Wakili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi wa 7 aelezea Bwire alivyokamatwa

  ALIYEKUWA Msaidizi wa Mkuu wa Upelelezi Makosa ya Jinai Wilaya ya Arusha, Inspekta Mahita Omari Mahita, ameanza kutoa ushahidi katika kesi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenzake Mbowe adaiwa kukutwa na silaha isiyosajiliwa

  MRAJISI wa leseni za bunduki kutoka Jeshi la Polisi, Kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Kitengo cha Udhibiti na Usajiliwa Silaha...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yatupilia mbali ombi la kina Mbowe kumkataa shahidi

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na upande wa utetezi,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mvutano waibuka kuhusu shahidi, Jaji aiahirisha

  MVUTANO umeibuka baina ya mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mrajisi leseni za bunduki aanza kutoa ushahidi

  ASKARI Polisi, SSP Sebastian Madembwe (46), ambaye ni Mrajisi wa leseni za bunduki wa Jeshi la Polisi anatoa ushahidi wake katika kesi...

HabariTangulizi

Shahidi augua, kesi ya Mbowe yaahirishwa

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Saini ya shahidi yaibua mvutano kesi ya Mbowe, yaahairishwa

  USAHIHI wa saini ya shahidi wa nne wa Jamhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi wa Jamhuri asimulia wenzie Mbowe walivyokamatwa 

  SHAHIDI wa nne wa Jumhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, Rau Madukani mkoani Kilimanjaro ameelezea jinsi Adam Kasekwa na...

Elimu

Watahiniwa 393 wafutiwa matokeo mtihani darasa la saba

  BARAZA la Mitihani Tanzania (NECTA), limefuta matokeo ya watahiniwa 393, waliobainika kufanya udanganyifu wakati wa kufanyika mitihani ya kumaliza elimu ya msingi....

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi aeleza uchunguzi bastola ulivyofanyika

  SHAHIDI wa tatu wa Jamhuri, Koplo Hafidhi Abdllah Mohammed, katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa chama...

error: Content is protected !!