Friday , 10 May 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Shahidi aeleza uchunguzi bastola ulivyofanyika

  SHAHIDI wa tatu wa Jamhuri, Koplo Hafidhi Abdllah Mohammed, katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa chama...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Fuatilia mtaalamu wa silaha akitoa ushahidi, milipuko  

  KOPLO Hafidh Abdallah Mohamed, mwenye namba F 5914 D ambaye ni shahidi wa tatu upande wa Jamhuri, ameanza kutoa ushahidi katika kesi...

Habari za Siasa

Mnyika awatumia ujumbe wasaidizi Rais Samia

  CHAMA kikuu cha siasa nchini Tanzania cha Chadema, kimeendelea kusisitiza umuhimu wa majadiliano baina yao na Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia ampigania Mbowe

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amewaangukia viongozi wa dini, kisiasa na Watanzania kwa ujumla, akiwaomba wapaze sauti zao ili mamlaka zimuache huru...

Habari za SiasaTangulizi

Msaidizi wa Sabaya aibua utata kesi ya Mbowe

  SHAHIDI wa pili wa Jamhuri, Justine Elia Kaaya leo Alhamisi tarehe 28 Oktoba 2021, ameendelea kutoa shahidi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Membe ambwaga Cyprian Musiba, kulipwa bilioni 6

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe kiasi cha...

Habari za Siasa

ACT kumsaka mrithi wa Maalim Seif ACT Oktoba 31

  HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo inatarajiwa kuketi tarehe 31 Oktoba mwaka huu huku jambo kubwa likitarajiwa kumsaka mrithi...

Habari za SiasaTangulizi

Mawakili wa Mbowe wambana shahidi

  MAWAKILI wa utetezi, Jeremiah Mtobesya na John Mallya wamembana shahidi wa pili wa Jamhuri, Justin Elia Kaaya kuhusu maelezo aliyoyatoa kuhusu kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi aeleza mikakati ya Mbowe kumdhuru Sabaya

  JUSTIN Elia Kaaya, shahidi wa pili wa Jamhuri ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Msaidizi wa Sabaya aanza kutoa ushahidi kesi ya Mbowe

  JUSTIN Elia Kaaya, aliyekuwa mfanyakazi wa Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Kilimanjaro, ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kigogo mzito kutinga kortini

  KIONGOZI mwandamizi katika mhimili mmoja wa Dola nchini Tanzania, anaweza kuitwa mahakamani kuwa shahidi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Fuatilia RPC Kingai alivyohitimisha ushahidi wake

  KAMANDA wa Polisi Kinondoni, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Ramadhan Kingai amehitimisha kutoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye...

Habari za Siasa

CCM yaitaka HESLB kutoa kipaumbele kwa watoto masikini

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeielekeza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuendelea kutoa kipaumbele kwa kundi la watoto...

Habari za SiasaTangulizi

Mahojiano Rais Samia, BBC yaibua mvutano kesi ya Mbowe

  MAHOJIANO aliyoyafanya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kugusia kesi inayomkabili kiongozi wa chama...

Habari za Siasa

Rais Samia amtembelea Lowassa

  Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtembelea nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji mwingine apangiwa kesi ya Mbowe, kuanza kusikiliza

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumanne tarehe 26 Oktoba 2021, itaendelea kusikiliza kesi inayomkabili kiongozi wa...

Habari za Siasa

Profesa Lipumba amkumbusha IGP Sirro saa yake

  MWENYEKITI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania- Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemtaka InspektaJenerali wa Polisi (IGP), Simon...

Habari za SiasaTangulizi

Samia awapa kibarua wanawake wa CCM

  MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameuagiza Umoja Wanawake ya chama hicho (UWT), umpatie ripoti inayoonesha maendeleo ya mwanamke...

Habari za Siasa

Rais Samia ataka mchango wa Bibi Titi uandikwe

  RAIS Samia Suluhu Hassan, ameagiza watafiti na waandishi katika fani za sayansi ya jamii, kuibua mchango wa Bibi Titi Mohamed, katika ukombozi...

Habari za Siasa

UWT wamwangukia Rais Samia

  UMOJA wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), umemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atatue changamoto zinazoukabili, ikiwemo ukosefu wa mitaji...

Habari za SiasaKimataifa

Rais Ndayishimiye: Rais Samia anaibadilisha Tanzania kwa utawala bora

  RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, amesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anaendesha nchi kwa kufuata misingi ya utawala bora. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Burundi zakubaliana mambo 10

  NCHI za Tanzania na Burundi, zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika mambo 10 muhimu ili kuimarisha uchumi wa pande zote mbili. Anaripoti Regina Mkonde,...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

BIBI TITI MOHAMMED; Mwanamke wa nguvu aliyedaiwa kutaka kumpindua Nyerere

  MIAKA ya hivi karibuni kumeibuka mtindo wa wanawake kujiita au hata kuitwa ‘mwanamke wa nguvu’ lakini wengi wamemsahau Bibi Titi Mohammed, ambaye...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yaibua kasoro 10 uamuzi kesi ya Mbowe, wenzake

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua hoja zaidi ya kumi, kuhusu kasoro zilizojitokeza kwenye uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu, Divisheni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema watuma salamu kwa Rais Samia, Jaji Mkuu, DPP 

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeomba kuzungumza na Rais Samia Suluhu Hassan, ili kupata suluhu ya sintofahamu zinazojitokeza nchini kwenye masuala...

Habari za Siasa

Kigogo THRDC autosa ubunge kisa uanaharakati

  MRATIBU wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa amesema hana mpango wa kugombea ubunge wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuja kivingine kesi ya Mbowe, wenzake

  CHAMA kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, kimesema hakijaridhishwa na uamuzi wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za Siasa

Madiwani Dodoma wamtibua Mtaka, wajiidhinishia milioni 47 za ziara, awagomea

  MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amegoma kuidhinisha fedha kiasi cha Sh. milioni 47 zilizotakikana kutumiwa na Wakuu wa Idara na...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji mwingine kesi ya kina Mbowe ajitoa, asema…

  JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani amejitoa kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kupanga njama za ugaidi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi Mbowe, wenzake: Mahakama yapangua pingamizi yao

  MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, nchini Tanzania imeyatupa mapingamizi mawili ya upande wa utetezi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe amtaja Mwalimu Nyerere mahakamani

  KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kiongozi wa mwisho wa Taifa hilo ni Hayati Baba...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mwamakula aendesha maombi mahakamani kesi ya Mbowe

  ASKOFU wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe na wenzake kortini kesho, Jaji anayesikiliza kesi hiyo kitendawili

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumatano, tarehe 20 Oktoba 2021, inatarajia kutoa uamuzi wa...

Habari za Siasa

Rais Samia amaliza ziara Arusha, arejea Dodoma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amehitimisha ziara yake ya siku tano katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha na kurejea Ikulu ya...

Habari za SiasaTangulizi

NCCR-Mageuzi wamgomea Jaji Mutungi

  CHAMA cha siasa cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi kimesema, hakitashiriki kikao kilichoitishwa na ofisi ya msajili wa vyama vya siasa na...

Habari za Siasa

NEC yatangaza uchaguzi mdogo Jimbo la Ngorongoro

  TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetangaza uchaguzi mdogo katika Jimbo la Ngorongoro, mkoani Arusha na Kata ya Naumbu mkoani Mtwara, ili...

Habari za Siasa

Rais Samia awageuzia kibao watumishi wa umma

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu, amewaagiza viongozi wa mikoa, wilaya na halmashauri, kutowafumbia macho watumishi wa umma wanaojihusisha na vitendo vya wizi,...

Habari za Siasa

Chongolo aeleza changamoto ya maji Longido ‘walifuata Kenya’

  KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo, amesema wananchi wa Longido mkoani Arusha, kwa muda mrefu walikuwa wanakabiliwa na changamoto...

Habari za SiasaTangulizi

Wenyeviti Chadema watoa ya moyoni kesi ya Mbowe, Sabaya

  WENYEVITI wa mikoa ya chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema wamesema, kilichomtokea Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai,...

Habari za Siasa

Mabilioni yamwaga ujenzi wa miradi ya maji

  WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, amesema katika kipindi cha miezi sita cha uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan, Serikali yake imetoa mabilioni...

Habari za SiasaTangulizi

Vick Kamata afichua mateso ubunge miaka mitano iliyopita

  ALIYEKUWA mbunge wa Viti Maalum, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Vick Kamata Servacius Likwelile, ameibuka na kueleza mambo mazito ambayo yeye na...

Habari za Siasa

Gambo amtwisha mizigo ya Arusha Rais Samia

  MBUNGE wa Arusha Mjini nchini Tanzania kupitia chama tawala- (CCM), Mrisho Gambo, amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan, atatue changamoto zinazoukabili Mkoa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kada Chadema arudi CCM mbele ya Rais Samia, aomba kazi

  ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za Siasa

Kilio cha kuunganishiwa umeme na NIDA chaibuka, serikali yajibu

SERIKALI ya Tanzania, imeombwa kuingilia kati changamoto zinazokwamisha huduma zinazotolewa na Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Mamalaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA)....

Habari za Siasa

Serikali ya Tanzania yabanwa zuio mikutano ya kisiasa, yajibu

  SERIKALI ya Tanzania, imesema haizuii mikutano ya vyama vya siasa bali mikutano inayozuiwa ni ile yenye viashiriavya kuhatarisha usalama wa nchi. Anaripoti...

Habari za Siasa

Profesa Kitila aahidi neema wenye viwanda Tanzania

  WAZIRI wa Viwanda na Biashara nchini Tanzania, Profesa Kitila Mkumbo amesema, Serikali inaendelea kuzifanyia kazi changamoto kwenye bidhaa za ndani hususan kodi...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania yazungumzia uchunguzi kupotea Azory Gwanda

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, amesema Jeshi la Polisi nchini humo, linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu tukio la kupotea kwa...

Habari za Siasa

DC Kahama atoboa siri kuibuka kinara usimamizi miradi ya maendeleo

  MKUU wa Wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo Kiswaga amesema siri ya Manispaa ya Kahama kuwa mshindi wa kwanza kitaifa katika kilele...

AfyaHabari za Siasa

Rais Samia: Asilimia 88.9 wamechanja chanjo ya Corona

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hadi kufikia jana tarehe 15 Oktoba, 2021 jumla ya Watanzania 940,507 walikuwa wamekwishachanja chanjo ya Covid –...

Habari za Siasa

Rais Samia aeleza sababu uhaba watumishi wa afya, ataja ‘wages bill’

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema sababu ya kuwapo kwa uhaba wa watumishi wa kada ya afya na elimu ni kutokana na mahesabu...

error: Content is protected !!