WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ametoa maagizo sita muhimu ambayo yanatakiwa kuzingatiwa kikamilifu na viongozi na watendaji wote wa Serikali wakati...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga Sh.1 trilioni kwa ajili ya mikopo kwa mabenki na taasisi za fedha kwa...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...
By Regina MkondeNovember 12, 2021MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...
By Regina MkondeNovember 12, 2021ASKARI Mpelelezi (Detective Constable-DC), Ricardo Msemwa, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ndogo ya kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa tatu, Mohammed...
By Regina MkondeNovember 12, 2021WIZARA ya Mambo ya Ndani nchini Tanzania, imesema kuanzia Januari hadi Septemba 2021, takwimu ya vitendo vya ukatili kwa watoto vilivyoripotiwa vituo...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021WAZIRI wa Nishati nchini Tanzania, January Makamba amesema, mafuta ya dizeli yaliyopo kwenye matenki yanatosheleza kwa siku 24 huku petrol ikiwa ya...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021WAZIRI wa Fedha na Mipango Mwigulu Nchemba amesema serikali haiwezi kukwepa kukopa fedha kutoka nje ya nchi kwa kuwa bado inaendelea na...
By Danson KaijageNovember 11, 2021WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali haijafikiria kuanzisha mifuko ya kuwainua wanaume kiuchumi kwa kuwa wigo wa kupata mikopo upo lakini Serikali...
By Mwandishi WetuNovember 11, 2021MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wilayani Arumeru, Arusha, SP Jumanne Malangahe, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...
By Regina MkondeNovember 11, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea kitabu cha kumbumbuku za mahabusu,...
By Regina MkondeNovember 11, 2021KITABU cha mahabusu cha Kituo kikuu cha Polisi cha Dar es Salaam, kinachoonesha taarifa za Mohammed Abdillah Ling’wenya, kuwekwa katika mahabusu ya...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021WAZIRI wa Maji, Jumaa Awesso amesema licha ya kwamba wizara hiyo imepiga hatua kubwa tanguTanganyika ipate uhuru mwaka 1961, changamoto ya ukosefu...
By Danson KaijageNovember 10, 2021MBUNGE wa Viti Maalum, Halima Mdee ameitaka Serikali kutoa takwimu sahihi kuhusu Watanzania waliofariki kutokana na maambukizi ya homa ya mapafu COVID-...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameweka pingamizi dhidi ya kitabu cha...
By Regina MkondeNovember 10, 2021SIKU moja baada ya Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kuwafukuza wanachama wake nane kwa tuhuma mbalimbali, wahusika wamepanga...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021KESI ndogo ndani ya kesi ya msingi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeanza kusikilizwa, Mahakama Kuu, Divisheni...
By Regina MkondeNovember 10, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameondoka nchini humo kwenda Cairo, Misri kwa ajili ya ziara ya kiserikali ya siku tatu. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021MAPINGAMIZI yametawala katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, tangu ilipoanza kusikilizwa katika Mahakama Kuu, Divisheni...
By Regina MkondeNovember 9, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imeelezwa namna Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe,...
By Regina MkondeNovember 9, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imekubali kupokea hati ya ukamataji mali wa washtakiwa Adam Kasekwa na Mohammed...
By Regina MkondeNovember 9, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imeahirisha usililizwaji wa kesi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chadema,...
By Regina MkondeNovember 8, 2021SERIKALI imesema idadi ya Watanzania wapatao milioni 1.2 wanaoishi nje ya nchi kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita, wametuma nchini kupitia mifumo...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi kimeendelea kujisuka upya kiuongozi baada ya kupanga-pangua makatibu wa mikoa na wilaya nchi nzima. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ametoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021UPANDE wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameipinga hati ya kukamatwa watuhumiwa wawili...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021MAJUZI, Waziri wa Madini nchini Tanzania, Dotto Biteko ameainisha uwekezaji wa miradi mipya mikubwa mitatu inayoanza kufanyiwa uwekezaji nchini. Anaandika Zitto Kabwe,...
By Mwandishi MaalumNovember 8, 2021MVUTANO kati ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania na Chama cha NCCR-Mageuzi umeanza upya, hivyo ndivyo unaweza kusema....
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ameanza kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Regina MkondeNovember 8, 2021KAMATI kuu maalum ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekutana leo Jumapili, tarehe 7 Novemba 2021, Ikulu ya Chamwino...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemuapisha Pereira Ame Silima (62) kuwa Balozi wa Tanzania nchini Comoro. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma …...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2021RAIS mstaafu wa Zanzibar, Aman Abeid Karume amekumbushia kilichotokea katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015 kwamba matokeo ya uchaguzi huo yalifutwa pasina...
By Mwandishi WetuNovember 7, 2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema Serikali imeamua kuwalipa wananchi amana (fedha) walizoziweka kwenye...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2021KASI ya ukuaji uchumi wa Zanzibar, imeshuka kutoka asilimia 7.7 iliyokuwa 2019, hadi kufikia asilimia 1.3 mwaka jana. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2021RAIS wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema katika mwaka wa pili wa uongozi wake ataingiza Sh...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepiga simu kuzungumza na wageni kwenye kilele cha sherehe za mwaka mmoja wa Rais wa Zanzibar,...
By Mwandishi WetuNovember 6, 2021WAZIRI wa Madini Dotto Biteko amesema serikali imekuwa ikifanya jitihada za kubadilisha sheria ya madini ili kuliwezesha Taifa kunufaika na rasilimali hiyo...
By Danson KaijageNovember 5, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika kuenzi na kutumia busara aliyoiacha Aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad...
By Mwandishi WetuNovember 5, 2021RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Zanzibar, Dk. Husein Ali Mwinyi amesema aliyekuwa Makamu wake wa Kwanza, Maalimu Seif...
By Mwandishi WetuNovember 5, 2021KAIMU Mwenyekiti wa Kamati ya Muda ya Maalim Seif Foundation, Ismail Jussa amesema katika mkutano wa mwaka huu wameamua kuupa jina la...
By Mwandishi WetuNovember 5, 2021PETER Kibatala, Wakili wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake,...
By Regina MkondeNovember 5, 2021ALIYEKUWA Msaidizi wa Mkuu wa Upelelezi Makosa ya Jinai Wilaya ya Arusha, Inspekta Mahita Omari Mahita, ameanza kutoa ushahidi katika kesi ya...
By Regina MkondeNovember 5, 2021WAZIRI wa Fedha na Uchumi, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Tanzania ina jumla ya mabilionea 5,740 sawa na asilimia 4.2 ya utajiri katika...
By Mwandishi WetuNovember 4, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Alhamisi, tarehe 4 Novemba 2021, amerejea nchini mwake akitokea Glasgow, Scotland, alikokwenda kuhudhuria Mkutano wa...
By Mwandishi WetuNovember 4, 2021SAKATA la kuwaondoa wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ katika maeneo yasiyoruhusiwa nchi nzima, limetua bungeni kwa Mbunge wa Viti Maalum (asiye na chama), Halima...
By Mwandishi WetuNovember 4, 2021MRAJISI wa leseni za bunduki kutoka Jeshi la Polisi, Kamisheni ya Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Kitengo cha Udhibiti na Usajiliwa Silaha...
By Regina MkondeNovember 4, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imetupilia mbali pingamizi lililowasilishwa na upande wa utetezi,...
By Regina MkondeNovember 4, 2021MVUTANO umeibuka baina ya mawakili wa utetezi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake...
By Regina MkondeNovember 4, 2021ASKARI Polisi, SSP Sebastian Madembwe (46), ambaye ni Mrajisi wa leseni za bunduki wa Jeshi la Polisi anatoa ushahidi wake katika kesi...
By Regina MkondeNovember 4, 2021JANA Jumanne, tarehe 2 Novemba 2021, Dk. Hussein Ali Mwinyi alitimiza mwaka mmoja tangu alipoapishwa kuwa Rais wa nane wa Zanzibar. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 3, 2021