Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kamati Kuu maalum CCM yakutaka Ikulu
Habari za Siasa

Kamati Kuu maalum CCM yakutaka Ikulu

Spread the love

 

KAMATI kuu maalum ya chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), imekutana leo Jumapili, tarehe 7 Novemba 2021, Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea).

Kikao hicho, kinaongozwa na Mwenyekiti wa CCM, Rais Samia Suluhu Hassan.

Picha mbalimbali za mnato, zinawaonesha wajumbe wa kikao hicho wakiwemo makamu wawili wa mwenyekiti, Philip Mangula-bara na Dk. Ali Mohamed Shein- Zanzibar ni miongoni waliohudhuria.

Pia, Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi naye amehudhuria kikao hicho maalum.

Haijafahamika agenda ya kikao hicho cha kamati kuu kinajadili nini.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Prof. Muhongo akomalia matumizi nishati jadidifu kuondoa uhaba wa umeme

Spread the love  MBUNGE wa Musoma Vijijini (CCM), Profesa Sospeter Muhongo, ameendelea...

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

error: Content is protected !!