MKUTANO wa Tano wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unatarajiwa kuanza kesho tarehe 2 Novemba, mwaka 2021 huku matumizi ya...
By Mwandishi WetuNovember 1, 2021MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazaendo – Zanzibar, Juma Duni Haji maarufu kama ‘Babu Duni’ amejiuzulu wadhifa wake ndani ya chama...
By Mwandishi WetuNovember 1, 2021USAHIHI wa saini ya shahidi wa nne wa Jamhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Regina MkondeNovember 1, 2021SHAHIDI wa nne wa Jumhuri, Anita Varelian Mtaro (45), mfanyabiashara wa kuuza mbege, Rau Madukani mkoani Kilimanjaro ameelezea jinsi Adam Kasekwa na...
By Regina MkondeNovember 1, 2021SERIKALI ya awamu ya sita imekuja na mbinu mpya ya maandalizi ya maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanganyika baadaye Tanzania....
By Danson KaijageNovember 1, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amekutana na kuzungumza na Mjumbe Maalum wa Boris Jonson, Waziri Mkuu wa Uingereza katika masuala ya...
By Mwandishi WetuNovember 1, 2021MSEMAJI Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa amesema Serikali haijarudi Dar es Salaam bali imehamia moja kwa moja Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Iringa...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amesema sheria zinazopitishwa na Bunge zimekuwa zikilidhalilisha Bunge na kusababisha watu...
By Danson KaijageOctober 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema bado kinaendelea kukaa mezani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais TAMISEMI, Ummy Mwalimu kujadili muafaka kuhusu...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitasita kuanzisha hoja au ajenda ya kuhakikisha wote (wakuu wa mikoa, wilaya) wanaokiuka maelekezo ya namna ya...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimeagiza marufuku ya waendesha bodaboda na bajaji kutofika au kufanya shughuli zao katikati jiji la Dar isitishwe mara...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021CHAMA cha siasa cha upinzani cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, kimewataka viongozi mbalimbali wa chama hicho kuwasemea na kuwapigania wafanyabiashara ndogondogo maarufu machinga...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021KIONGOZI wa chama cha ACT-Wazalendo nchini Tanzania, Zitto Kabwe amesema, kikao baina ya Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu Hassan na viongozi...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021KIONGOZI wa chama cha siasa cha upinzani cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amekumbushia machungu ya uchaguzi mkuu uliopita wa Oktoba 2020 akisema, chama...
By Mwandishi WetuOctober 31, 2021MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amevitaka vya siasa vya upinzani nchini kuungana pamoja kupigania madai ya katiba mpya...
By Mwandishi WetuOctober 30, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza mawaziri na naibu waziri wasimamie taasisi na idara zilizopo chini ya wizara zao ili zizingatie...
By Mwandishi WetuOctober 29, 2021SHAHIDI wa tatu wa Jamhuri, Koplo Hafidhi Abdllah Mohammed, katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili kiongozi wa chama...
By Regina MkondeOctober 29, 2021KOPLO Hafidh Abdallah Mohamed, mwenye namba F 5914 D ambaye ni shahidi wa tatu upande wa Jamhuri, ameanza kutoa ushahidi katika kesi...
By Regina MkondeOctober 29, 2021CHAMA kikuu cha siasa nchini Tanzania cha Chadema, kimeendelea kusisitiza umuhimu wa majadiliano baina yao na Rais wa Taifa hilo, Samia Suluhu...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, amewaangukia viongozi wa dini, kisiasa na Watanzania kwa ujumla, akiwaomba wapaze sauti zao ili mamlaka zimuache huru...
By Mwandishi WetuOctober 28, 2021SHAHIDI wa pili wa Jamhuri, Justine Elia Kaaya leo Alhamisi tarehe 28 Oktoba 2021, ameendelea kutoa shahidi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...
By Regina MkondeOctober 28, 2021MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, imemuamuru Mmiliki wa Gazeti la Tanzanite, Cyprian Musiba kumlipa aliyekuwa Waziri mambo ya nje, Bernard Membe kiasi cha...
By Masalu ErastoOctober 28, 2021HALMASHAURI Kuu ya Taifa ya Chama cha ACT Wazalendo inatarajiwa kuketi tarehe 31 Oktoba mwaka huu huku jambo kubwa likitarajiwa kumsaka mrithi...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021MAWAKILI wa utetezi, Jeremiah Mtobesya na John Mallya wamembana shahidi wa pili wa Jamhuri, Justin Elia Kaaya kuhusu maelezo aliyoyatoa kuhusu kesi...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021JUSTIN Elia Kaaya, shahidi wa pili wa Jamhuri ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam,...
By Regina MkondeOctober 27, 2021JUSTIN Elia Kaaya, aliyekuwa mfanyakazi wa Lengai Ole Sabaya, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Kilimanjaro, ameanza kutoa ushahidi wake katika kesi...
By Regina MkondeOctober 27, 2021KIONGOZI mwandamizi katika mhimili mmoja wa Dola nchini Tanzania, anaweza kuitwa mahakamani kuwa shahidi katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021KAMANDA wa Polisi Kinondoni, Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Ramadhan Kingai amehitimisha kutoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye...
By Mwandishi WetuOctober 27, 2021CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeielekeza Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB), kuendelea kutoa kipaumbele kwa kundi la watoto...
By Mwandishi WetuOctober 26, 2021MAHOJIANO aliyoyafanya Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan na Shirika la Utangazaji la Uingereza (BBC) na kugusia kesi inayomkabili kiongozi wa chama...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemtembelea nyumbani kwake Oysterbay jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa. Anaripoti Mwandishi...
By Kelvin MwaipunguOctober 26, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumanne tarehe 26 Oktoba 2021, itaendelea kusikiliza kesi inayomkabili kiongozi wa...
By Regina MkondeOctober 25, 2021MWENYEKITI wa chama cha siasa cha upinzani nchini Tanzania- Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemtaka InspektaJenerali wa Polisi (IGP), Simon...
By Mwandishi WetuOctober 24, 2021MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan, ameuagiza Umoja Wanawake ya chama hicho (UWT), umpatie ripoti inayoonesha maendeleo ya mwanamke...
By Regina MkondeOctober 23, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan, ameagiza watafiti na waandishi katika fani za sayansi ya jamii, kuibua mchango wa Bibi Titi Mohamed, katika ukombozi...
By Regina MkondeOctober 23, 2021UMOJA wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi (UWT), umemuomba Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atatue changamoto zinazoukabili, ikiwemo ukosefu wa mitaji...
By Mwandishi WetuOctober 23, 2021RAIS wa Burundi, Evariste Ndayishimiye, amesema Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anaendesha nchi kwa kufuata misingi ya utawala bora. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2021NCHI za Tanzania na Burundi, zimekubaliana kuongeza ushirikiano katika mambo 10 muhimu ili kuimarisha uchumi wa pande zote mbili. Anaripoti Regina Mkonde,...
By Regina MkondeOctober 22, 2021MIAKA ya hivi karibuni kumeibuka mtindo wa wanawake kujiita au hata kuitwa ‘mwanamke wa nguvu’ lakini wengi wamemsahau Bibi Titi Mohammed, ambaye...
By Mwandishi WetuOctober 22, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeibua hoja zaidi ya kumi, kuhusu kasoro zilizojitokeza kwenye uamuzi uliotolewa na Mahakama Kuu, Divisheni ya...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2021CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeomba kuzungumza na Rais Samia Suluhu Hassan, ili kupata suluhu ya sintofahamu zinazojitokeza nchini kwenye masuala...
By Mwandishi WetuOctober 21, 2021MRATIBU wa Kitaifa wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC), Onesmo Olengurumwa amesema hana mpango wa kugombea ubunge wa...
By Mwandishi WetuOctober 20, 2021CHAMA kikuu cha upinzania nchini Tanzania cha Chadema, kimesema hakijaridhishwa na uamuzi wa Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...
By Regina MkondeOctober 20, 2021MKUU wa Mkoa wa Dodoma, Anthony Mtaka amegoma kuidhinisha fedha kiasi cha Sh. milioni 47 zilizotakikana kutumiwa na Wakuu wa Idara na...
By Danson KaijageOctober 20, 2021JAJI Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mustapha Siyani amejitoa kusikiliza kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya kupanga njama za ugaidi...
By Regina MkondeOctober 20, 2021MAHAKAMA KUU, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, nchini Tanzania imeyatupa mapingamizi mawili ya upande wa utetezi katika kesi inayomkabili kiongozi wa...
By Regina MkondeOctober 20, 2021KIONGOZI wa chama kikuu cha upinzani nchini Tanzania cha Chadema, Freeman Mbowe amesema, kiongozi wa mwisho wa Taifa hilo ni Hayati Baba...
By Regina MkondeOctober 20, 2021ASKOFU wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Emmaus Mwamakula, ameendesha maombi maalum katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu...
By Regina MkondeOctober 20, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, kesho Jumatano, tarehe 20 Oktoba 2021, inatarajia kutoa uamuzi wa...
By Regina MkondeOctober 19, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amehitimisha ziara yake ya siku tano katika mikoa ya Kilimanjaro na Arusha na kurejea Ikulu ya...
By Mwandishi WetuOctober 18, 2021