Sunday , 5 May 2024

Habari za Siasa

Habari za Siasa

Kina Mbowe wapinga hati ya ukamataji mali

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya ugaidi, inayomkabili Mwenyeketi wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa hati ya ukamataji...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Polisi aeleza vifaa za JWTZ, JKT vilivyokutwa kwa mstakiwa

  MKUU wa Upelelezi Wilayani Arumeru, mkoani Arusha, SP Jumanne Malangahe, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, vitu...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto amtwisha zigo la Mbowe Rais Samia

  KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan kufuata taratibu zote za kisheria na kumuachia Mwenyekiti wa...

Habari za Siasa

Kesi ya Mbowe: Chadema waomba vipaza sauti, mahakama yajibu

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano Dar es Salaam, imeombwa kuweka kipaza sauti (Spika), nje ya jengo...

Habari za Siasa

Bila barakoa huingii kesi kina Mbowe

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imepiga marufuku watu wanaohudhuria mahakamani hapo bila kuvaa barakoa....

Habari za Siasa

Samia kuongoza vikao vya CCM Dodoma

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), chini ya Mwenyekiti wake Taifa, Rais Samia Suluhu Hassan, kinatarajia kufanya vikao vyake vya kawaida jijini Dodoma, kuanzia...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wapata kigugumizi kumkataa Jaji

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo ( Chadema), kimedai Mwenyekiti wake, Freeman Mbowe na wenzake, wameshindwa kumuomba Jaji Joachim Tiganga,  ajiondoe katika kuisikiliza...

Habari za SiasaTangulizi

ACT Wazalendo yawageuka Chadema, NCCR Mageuzi

  LICHA ya baadhi ya vyama vikuu vya upinzani nchini kutangaza kususia kikao cha wadau wa tasnia ya siasa kupitia Baraza la Vyama...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi kina Mbowe leo, maombi yatawala

  KESI ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe na wenzake watatu, inaendelea leo Jumanne, tarehe 14...

Habari za Siasa

Rais Samia: Wabunge acheni ubabe migodini

  RAIS Samia amewaonya wabunge kuacha kufanya ubabe katika maeneo ya migodi ili wapewe pesa na kuzitumbua badala yake wasimamie pesa hizo za...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia amlipua diwani Kigamboni, alipinga operesheni machinga

  RAIS Samia Suluhu Hassan ameeleza kukerwa na diwani wa Kigamboni ambaye awali alipinga operesheni ya kuwahamisha wafanyabiashara ndogondogo ‘machinga’ na sasa ameanzisha...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole adai kuvamiwa na wasiojulikana, wabeba TV

  MBUNGE wa Kuteuliwa (CCM) nchini Tanzania, Humphrey Polepole amedai, kuvamiwa nyumbani kwake jijini Dodoma na watu wasiojulikana kisha kuiba televisheni. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Chadema yatoa msimamo ushiriki kikao cha msajili

CHAMA kikuu cha upinzani nchini Tanzania- Chadema kimesema, hakitashiriki kikao kilichoitishgwa na ofisi ya msajili wa vyama vingi vya siasa na wadau mbalimbali...

Habari za SiasaTangulizi

Bulembo amshukia Polepole, ataka CCM amshughulikie

MWENYEKITI Mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi wa Chama Cha Mapinduzi, Abdallah Bulembo amemmshukia mbunge wa kuteuliwa, Humphrey Polepole akimtaka kumwacha, mwenyekiti wa chama...

Habari za Siasa

Rais Samia ateta na kigogo AU

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, leo Jumamosi, tarehe 11 Desemba 2021, amefanya mazungumzo na Mwenyekiti wa Kamisheni ya Umoja wa Afrika...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua M/kiti NSSF, awapangia vituo mabalozi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amemteua Balozi Ali Idd Siwa, kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Mfuko wa Taifa wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Dk. Mwinyi ang’aka upotoshaji kuuza Visiwa, kugawa tenda bila utaratibu

  RAIS wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema si kweli kwamba ameuza ardhi ya Visiwa vya Zanzibar badala yake...

Habari za SiasaTangulizi

Polepole awaanika ‘wahuni’ 

  ALIYEKUWA Katibu wa NEC- Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi (CCM), amesema watu aliowataja kuwa wahuni ambao hawajashughulikiwa, ni wale wanaohangaika...

Habari za Siasa

Jenerali Ulimwengu: Uhuru wetu umekamilika?

  MWANDISHI wa habari mkongwe nchini Tanzania, Jenerali Ulimwengu, anewataka Watanzania wajiulize kama wana uhuru wa kweli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Askofu Mwamakula awapa mbinu Chadema

  KIONGOZI wa Kanisa la Uamsho la Moravian, Askofu Emmaus Mwamakula, amewataka wanachama na wafuasi wa Chama cha Chadema, kuendelea kupasa sauti zao...

Habari za SiasaTangulizi

Miaka 60 ya Uhuru, Zitto Kabwe ataja mambo manne kurejesha umoja

  WAKATI Tanzania Bara ikiadhimisha miaka 60 ya Uhuru, Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe ameishauri Serikali kutekeleza mambo manne muhimu ili kurudisha...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu adai misingi ya uhuru imesalitiwa

  MAKAMU Mwemyekiti wa Chama cha Chadema Bara, Tundu Lissu, amedai malengo ya wapigania uhuru Tanzania Bara, imesalitiwa katika kipindi cha miaka 60....

Habari za Siasa

Viongozi, wafuasi 53 Chadema Kakonko mbaroni kisa sherehe za Uhuru

  VIONGOZI wa Chama cha Chadema wilayani Kakonko, Kigoma takribani 18 na wanachama wao 35, wanadaiwa kushikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani humo,...

Habari za SiasaTangulizi

Madai katiba mpya: Bavicha watuma salamu kwa IGP Sirro

  BARAZA la Vijana la Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Bavicha) nchini Tanzania, limemuomba Inspekta Jenerali wa Polisi nchini humo (IGP), Simon Sirro...

Habari za Siasa

Marais wanne, wastaafu watinga kushuhudia sherehe za Uhuru

  JUMLA ya Marais wa nchi nne pamoja na marais wastaafu watatu wamehudhuria sherehe za maadhimisho ya miaka 60 ya Uhuru wa Tanzania...

Habari za Siasa

Rais Samia: miaka 60 ya uhuru, tulipofika si haba

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema  mafanikio yaliyofikiwa na Taifa katika kipindi cha miaka 60 ya Uhuru, si haba japo kilele...

Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Miaka 60 ya Uhuru, marais Afrika wajitokeza

  HAPPY Birth Tanganyika. Ndiyo Tanganyika ama kwa sasa Tanzania Bara, leo Alhamisi, tarehe 9 Desemba 2021, inaadhimisha miaka 60 ya Uhuru. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Watanzania wengi hawafahamu makucha ya wakoloni

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema Watanzania wengi hawayajui makucha ya wakoloni kwa kuwa walizaliwa baada ya uhuru wa Tanzania Bara...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kuhutubia taifa leo

  LEO Jumatano tarehe 8 Desemba 2021, saa 3:00 usiku, Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, atalihutubia taifa kupitia vyombo mbalimbali vya habari....

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia azidi kumpigania Mbowe

  MWENYEKITI wa chama cha upinzani nchini Tanzania cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali imfutie mashtaka ya ugaidi kiongozi mwenzake wa kisiasa wa...

Habari za Siasa

CCM yajivunia mafanikio makubwa miaka 60 ya uhuru

  CHAMA tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimejinasibu katika kipindi cha miaka 60 ya uhuru wa Tanzania Bara, kimefanikiwa kuenzi mfumo...

Habari za SiasaTangulizi

Kauli ya Polepole yamponza, CCM yamjadili

  KATIBU Mkuu wa chama tawala nchini Tanzania- Chama Cha Mapinduzi (CCM), Daniel Chongolo amesema, kauli iliyotolewa na mbunge wake, Humphrey Polepole inajadiliwa...

Habari za Siasa

Sheikh Ponda: Wananchi hawana maamuzi ya kisiasa

KATIBU Mkuu wa Shuraa ya Maimamu Tanzania, Sheikh Ponda Issa Ponda, amesema tatizo la wananchi kutokuwa na uhuru wa kufanya maamuzi ya kisiasa...

Habari za SiasaTangulizi

Ulimwengu: Anayezuia mjadala wa katiba mpya ni mfu kimawazo

  MWANDISHI wa habari mkongwe nchini Tanzania, Jenerali Ulimwengu, amesema, mtu anayedhani marekebisho ya katiba yaliyofanyika 1977, yanakidhi matakwa ya uendeshaji wa nchi...

Habari za Siasa

Tanzania yang’ang’aniwa utekelezaji mapendekezo ya UN

  MASHIRIKA Yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), yanayoshughulika na masuala ya utetezi wa haki za binadamu, yameiomba Tanzania, ibadilishe msimamo wake wa kutoyafanyia kazi...

Habari za Siasa

Balozi Mndolwa: Msiwachukie wapinzani

  BALOZI Fransic Mndolwa, ameshauri wanasiasa wa vyama vya upinzani wasichukiwe bali wapendwe, akisema wana msaada katika Taifa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aonya wanaofungulia chemba za vyoo barabarani, ataka Dar wabadilike

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa Watanzania na wananchi wa mkoa wa Dar es Salaam kuacha tabia kufungulia chemba za vyoo...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Majaliwa atoa maagizo kwa sekta binafsi Tanzania

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa ameitaka sekta binafsi iweke kipaumbele na kuzingatia usawa wa kijinsia katika utoaji wa ajira hasa wanawake...

HabariHabari za Siasa

Baraza Vyama vya Siasa: Tanzania ina katiba nzuri, bunge huru

  BARAZA la Vyama vya Siasa, limezungumzia miaka 60 ya uhuru wa Tanzania Bara, likisema nchi ina Katiba nzuri, pamoja na mihimili iliyo...

HabariHabari za Siasa

Rais Samia kuunguruma katika mkutano wa vyama vya siasa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano wa wadau wa demokrasia ya vyama vingi vya siasa nchini Tanzania,...

Habari za Siasa

CUF yamtega Rais Samia kuhusu Mbowe, yaanza mikakati uchaguzi 2025

CHAMA cha Wananchi (CUF), kimeiomba Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, ifute kesi zinazowakabili wanasiasa, ikiwemo ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema,...

Habari za Siasa

Msajili ailima CUF barua, yatimua wengine

  MSAJILI wa Vyama vya Siasa nchini Tanzania, Jaji Francis Mutungi, amekiandikia barua Chama cha Wananchi (CUF), akikitaka kijieleze dhidi malalamiko ya wanachama...

Habari za SiasaTangulizi

Ndani ya saa 24 Makonda, kutinga mahakamani

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kutinga mahakamani, kesho Ijumaa, tarehe 3 Desemba 2021, ili kujibu...

Habari za Siasa

Rais Samia awatembelea Jaji Warioba, Msuya

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amewatembelea mawaziri wakuu wastaafu, Cleopa Msuya na Jaji Joseph Warioba. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa azindua sherehe za uhuru, atoa maagizo mazito

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezindua rasmi maadhimisho ya sherehe za uhuru wa miaka 60 Tanzania Bara na kuwataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia aonyesha njia sakata la sukari

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema ili nchi iondokane na upungufu wa sukari, inahitajika uongozi madhubuti katika kusimamia uzalishaji wake....

Habari za Siasa

Mbatia ahimiza ushirikiano vita dhidi ya UVIKO-19

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amewaomba Watanzania washirikiane katika mapambano dhidi ya Ugonjwa wa Virusi vya Korona (UVIKO-19). Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wafunga ushahidi, uamuzi Desemba 14

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga...

Habari za Siasa

Komandoo wa JWTZ aeleza alivyohojiwa kuhusu Mbowe

  ALIYEKUWA Komandoo wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ), Gabriel Samheta Mhina, akitoa ushahidi wake katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya...

Habari za Siasa

Waziri wa zamani Zanzibar ajitosa kumrithi Maalim Seif ACT-Wazalendo, ataja ahadi 10

  MJUMBE wa Kamati Kuu, ya Chama cha ACT-Wazalendo, Hamad Masoud Hamad, ametangaza nia ya kugombea uenyekiti wa chama hicho, iliyoachwa wazi na...

error: Content is protected !!