Friday , 29 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa LIVE: Miaka 60 ya Uhuru, marais Afrika wajitokeza
Habari za SiasaTangulizi

LIVE: Miaka 60 ya Uhuru, marais Afrika wajitokeza

Spread the love

 

HAPPY Birth Tanganyika. Ndiyo Tanganyika ama kwa sasa Tanzania Bara, leo Alhamisi, tarehe 9 Desemba 2021, inaadhimisha miaka 60 ya Uhuru. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam…(endelea).

Ilipata Uhuru kutoka kwa Wakoloni wa Kiingereza, tarehe 9 Desemba 1961 chini ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere.

Sherehe za maadhimisho hayo zinafanyika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na wananchi na viongozi mbalimbali wa ndani na nje ya Tanzania.

Ni shehere ambazo kwa mara ya kwanza, imeshuhudia ushiriki kwa mara ya kwanza wa Jeshi la Uhamiaji.

Baadhi ya wakuu wa nchi ambazo wapo uwanjani; ni Uhuru Kenyatta (Kenya), Filipe Nyusi (Msumbiji), Paul Kagame (Rwanda), Azali Assoumani (Comoro), Dk. Hussein Ali Mwinyi (Zanzibar).

Pia, Rais mstaafu Jakaya Kikwete, Hafidhi Amri, mme wa Rais Samia.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI TV, MwanaHALISI Online na mitandao yetu ya kijamii kwa habari na taarifa mbalimbali.

1 Comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Chadema yamtaka Rais Samia aunde tume kuchunguza mauaji mgodi wa Barick

Spread the loveRAIS Dk. Samia Suluhu Hassan, ameombwa aunde tume huru kwa...

KimataifaTangulizi

Zuma akataliwa kugombea urais

Spread the love  TUME Huru ya Uchaguzi Afrika Kusini (IEC) imemwondoa rais...

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

error: Content is protected !!