Sunday , 28 April 2024

Habari za Siasa

Habari za SiasaTangulizi

Mwenge warejesha Bil. 2.2/- za mfuko wa maendeleo ya vijana

MWENGE wa Uhuru wa mwaka 2022 imefanikiwa kurejesha Sh 2.2 bilioni za mfuko wa maendeleo ya vijana ambazo zilikuwa zimekusanywa na Halmashauri na...

Habari za Siasa

Halmashauri 43 zenye miradi yenye kasoro zaanikwa

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Vijana, Ajira na Watu Wenye Ulemavu, Prof. Joyce Ndalichako, ameziweka hadharani Halmashauri 43 ambazo zimekutwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto atajwa kesi ya Mdee, wenzake

JINA la Kiongozi wa Chama Cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, limetajwa katika kesi iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, katika Mahakama Kuu, Masjala Kuu,...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda apewa siku 14 kujitetea shitaka la kukwapua Range Rover

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imetoa siku 14 kwa aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kuwasilisha majibu yake dhidi...

Habari za Siasa

Tendega adai hakupewa nafasi ya kujitetea Chadema

MBUNGE Viti Maalum, Grace Tendega, amedai hakuomba msamaha mbele ya Baraza Kuu la Chadema, dhidi ya tuhuma zilizokuwa zinamkabili za kukiuka katiba ya...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzia; Mbunge CCM afariki dunia

MBUNGE wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Mussa Hassan Mussa Silima wa Jimbo la Amani Zanzibar (CCM) amefariki dunia leo...

Habari za SiasaTangulizi

Mwenzake Mdee amtaja kigogo Chadema aliyeshiriki uteuzi wabunge viti maalum

MBUNGE Viti Maalum, Grace Tendega, amedai Katibu Mkuu wa Chama cha Chadema, John Mnyika, alishiriki kikao cha Sekretarieti ya Baraza  la Wanawake la...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake waendelea kuhojiwa, Kibatala ambana Tendega

  KESI namba 36/2022 ya kupinga kuvuliwa uanachama wa Chama Cha Chadema, iliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, inaendelea...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

NBC yagawa madawati, saruji kuboresha elimu Mwanza

BENKI ya Taifa ya Biashara (NBC) tawi la Mwanza imetoa msaada wa mifuko ya saruji 200 kwa ajili ya ujenzi wa madarasa katika...

Habari za Siasa

Kinana awafunda viongozi “ongoza kwa ushawishi, sio amri”

  MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)-Bara, Abdulrahman Kinana amewataka viongozi wa Serikali kutumia njia ya ushawishi badala ya amri, katika kuwaongoza...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Samia, Ruto wakubaliana mambo 7, biashara yazidi kupaa

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema wamekubaliana mambo saba kati yake na Rais wa Kenya, Dk. William Ruto na kusisitiza kuwa ziara kiongozi wa...

Habari za SiasaKimataifaTangulizi

Ruto awasili Tanzania, aanza ziara ya siku mbili

RAIS wa Kenya, Dk. William Ruto jana jioni tarehe 9 Oktoba, 2022 amewasili Tanzania kuanza ziara rasmi ya siku mbili. Ruto atakutana na...

Habari za SiasaTangulizi

ACT: Hatutaacha kuikosa Serikali

WAZIRI Mkuu Kivuli kutoka ACT-Wazalendo, Dorothy Semu amesema viongozi na wanachama wa chama hicho, hawataacha kuikosoa na kuishauri Serikali kwa kuhofia kukosa nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waanza kuhojiwa, Tendega aomba mahakama imlinde akitoa siri

  MAWAKILI wa Chama cha Chadema, wameanza kuwahoji maswali ya dodoso wabunge  viti maalum nane kati ya 19, dhidi ya malalamiko waliyoweka katika...

Habari za Siasa

Mtutura: Wabunge wa CCM wameonewa

KATIBU wa chama cha ACT-Wazalendo mkoa wa kichama Selou, Abdallah Mtutura amesema kitendo cha CCM kupeleka wabunge wasioweza kuwasema wananchi wao ni kuwaonea...

Habari za SiasaTangulizi

Ndumbaro ataja mambo nane yakufanywa na asasi za kiraia

  JUKWAA la Asasi za Kiraia (RCSF) za Ukanda wa Nchi za Maziwa Makuu Afrika (ICGLR) limetakiwa kusimamia mambo nane ambayo yatagusa jamii...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo kuibana Serikali majimboni

  KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, amesema chama chake kitaanza kuisimamia Serikali katika majimbo yote nchini, ili kuhakikisha kero za...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yalaani mauji operesheni za jeshi la polisi

CHAMA cha ACT-Wazalendo kimeelaani  vikali kile kilichodai ni ukiukwaji wa haki za binadamu unaofanywa na Jeshi la Polisi nchini Tanzania katika operesheni zake...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yalia na uvamizi wa tembo, migogoro ya wakulima

CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimeomba Serikali ichukue hatua za haraka kutatua changamoto za uvamizi wa wanyama katika makazi  na mashamba ya wananchi wanaoishi karibu...

Habari za Siasa

Tanzania, Czech kuimarisha utalii, biashara na uwekezaji

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania pamoja na Jamhuri ya Czech zimekubaliana kuongeza maeneo mapya ya ushirikiano hususan utalii, biashara na uwekezaji...

Habari za Siasa

Dk. Tax awasili wizarani

WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dk. Stergomena Tax amewasili katika Ofisi Ndogo za Wizara Jijini Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Ndaruke achanguliwa Mwenyekiti mpya CCM Kibiti

  Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Kibiti mkoani Pwani kimepata viogozi wapya baada ya kufanyika uchanguzi wa ndani wa chama hicho hapo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Linaloamuliwa na Serikali ni lako Waziri

RAIS Samia Suluhu Hassan amewapa maelekezo mawaziri ikiwemo kutunza siri na kubeba jambo lolote linaloamuliwa na Serikali. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Samia afanyia mabadiliko Baraza la Mawaziri

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanyia mabadiliko madogo, baraza lake la mawaziri. Katika mabadiliko hayo, mwanadiplomasia mashuhuri nchini, Balozi Liberata Mulamula, ameachwa kwenye baraza...

Habari za Siasa

Rais Samia ashinda tuzo mbili za kimataifa

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo mbili za kimataifa na Jumuiya ya Kimataifa ya Watetezi na Amani. Anaripoti...

Habari za Siasa

Ado Shaibu: Tandahimba imesahaulika japo…

SERIKALI imekumbushwa wajibu wa kikatiba wa kurahisisha na kuharakisha maendeleo ya wananchi kwa kuwajengea miundombinu imara bila ya kuchelewa. Anaripoti Jabir Idrissa, Tandahimba …...

Habari za Siasa

Marufuku kuingia mkataba bila kumshirikisha Mwanasheria Mkuu wa Serikali

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amepiga marufuku mamalaka yeyote ya Serikali kuingia mkataba bila kuishirikisha Ofisi ya Mwanasheria...

Habari za Siasa

Zanzibar tuko tayari njooni kuwekeza-Rais Mwinyi

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema Serikali itaendelea kufungua milango kuwakaribisha wawekezaji kutoka nje, ili...

Habari za Siasa

Vijana watakiwa kuwa mstari wa mbele kupinga sheria zinazominya uhuru wa kujieleza

UHURU wa Wananchi kujieleza katika masuala mbalimbali sambamba  na kupewa taarifa juu ya masuala muhimu  yanayolihusu Taifa,  yanatajwa kuwa miongoni mwa masuala muhimu ...

Habari za Siasa

Wasafiri Tanzania kwenda Hong Kong hawatalazimika kukaa karantini

MAMLAKA ya Hong Kong, imewaondolea sharti la kukaa karantini wasafiri kutoka nchini Tanzania wanaofanya safari zao mbalimbali nchini humo. Anaripoti Felister Mwaipeta TUDARCo...

Habari za Siasa

Uchaguzi wenyeviti wa CCM wilaya kuanza Oktoba mosi

KATIBU wa itikadi na uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM),  Shaka Hamdu Shaka amewasisitiza wanachama wa chama hicho kujitokeza kwenye uchaguzi wa ngazi...

Habari za SiasaTangulizi

CCM yafuta chaguzi tano za UVCCM, tatu za UWT zasimamishwa

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimefuta chaguzi tano za umoja wa vijana (UVCCM), pamoja na kusimamisha chaguzi tatu za Jumuiya ya Wanawake ya...

Habari za SiasaTangulizi

Jinsi Mbatia alivyozuiwa kufanya mkutano na waandishi wa habari

IKIWA ni siku moja tangu kupinduliwa kwa Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, leo amekutana na zengwe jingine baada ya kuzuiwa kufanya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia atimuliwa, Selasini Makamu Mwenyekiti mpya NCCR Mageuzi

MKUTANO Mkuu wa dharura wa Chama cha NCCR -Mageuzi uliofanyika leo tarehe 24 Septemba, 2022 umemtimua aliyekuwa mwenyekiti wa Chama hicho, James Mbatia...

Habari za SiasaTangulizi

Othman, ujenzi wa Chama imara silaha kuu ya kushinda uchaguzi 2025

  MAKAMU Mwenyekiti Chama cha ACT-Wazalendo, Othman Massoud Othman amewataka wanachama kuimarisha chama chao ili kuwa imara zaidi hatimae kuibuka na ushindi katika...

Habari za SiasaTangulizi

Selasini, wenzie wakaidi amri ya Mahakama, wafanya mkutano

  LICHA ya Mahakama Kuu Masjala ya Dar es Salaam kuweka amri ya zuio la muda la kutofanyika kwa mikutano ya Chama cha...

Habari za Siasa

NCCR-Mageuzi yamwomba Rais Samia kuingilia kati mgogoro wao

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametakiwa kuingilia kati mgogoro wa kiongozi uliobuka ndani ya Chama cha NCCR-Mageuzi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Tulia ataka kibano waajiri wasiopeleka michango mifuko hifadhi jamii

SPIKA wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, ameitaka Serikali iweke utaratibu mzuri wa kusimamia mifuko ya hifadhi ya jamii, ili iwabane waajiri wasiowasilisha michango...

Habari za Siasa

Majaliwa aahirisha Bunge, miswada minne na maazimio mawili yapitishwa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, ameahirisha shughuli za Bunge hadi tarehe 1 Novemba 2022,zitakaporejea. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Majaliwa ameahirisha...

Habari za Siasa

Tanzania yaijibu UN kuhusu mradi bomba la mafuta

SERIKALI ya Tanzania, imeendelea kusisitiza kuwa, ujenzi wa bomba la mafuta ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), litakalosafirisha nishati hiyo kutoka Hoima nchini Uganda,...

Habari za Siasa

Miswada sheria bima afya kwa wote, ulinzi taarifa binafsi yatinga bungeni

SERIKALI ya Tanzania imewasilisha na kusoma mara ya kwanza miswada ya sheria mbalimbali, ikiwemo Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote na Sheria...

Habari za Siasa

Sheria ya Uwekezaji ya 1997 kufutwa

SERIKALI ya Tanzania imewasilisha Muswada wa Sheria ya Uwekezaji, uliosomwa kwa mara ya kwanza Bungeni wenye malengo mbalimbali ikiwemo kufuta Sheria ya Uwekezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu:Mashauri ya kodi ya Trilioni 360/- yalifutwa

WAZIRI wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba amesema mashauri ya kikodi ya Sh 360 trilioni yalifutwa kufuatia makubaliano ya Serikali na kampuni...

Habari za Siasa

Bunge lapitisha muswada sheria za fedha

BUNGE la Tanzania limepitisha muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali za fedha wa 2022, wenye lengo la kurekebisha sheria zinazosimamia kodi na mrabaha,...

Habari za SiasaTangulizi

Hawa hapa wabunge Afrika Mashariki, Spika Tulia awapa maagizo

SPIKA wa Bunge la Tanzania, Dk. Tulia Ackson, amewataka wabunge tisa wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), kusimamia maslahi ya Tanzania pamoja na...

Habari za SiasaTangulizi

Msukuma awavunja mbavu wabunge akiuliza swali kwa kimombo

MBUNGE wa Geita Mjini, Joseph Kasheku ‘Msukuma’, ameibua vicheko bungeni, huku baadhi ya wabunge wakimtunza fedha, kufuatia hatua yake ya kumuuliza swali Mhandisi...

Habari za Siasa

Ado Shaibu ‘ateka’ Bunge uchaguzi EALA

KATIBU Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo, Ado Shaibu, ‘ameteka’ uchaguzi wa wabunge wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki, kufuatia hotuba yake na...

Habari za Siasa

Dk. Mkumbo aibana Serikali kulipa fidia wanaopisha mradi wa mwendokasi

MBUNGE wa Ubungo, Profesa Kitila Mkumbo, ameitaka Serikali iwaruhusu wananchi 90 wa Ubungo Kiswani, waendelee na shughuli zao kama kawaida, baada ya kuchelewa...

Habari za Siasa

Mbunge: Polisi Liwale hawana jengo kwa miaka 47

MBUNGE wa Liwale, Zubeir Kuchauka (CCM), amesema Wilaya ya Liwale mkoani Lindi, haina jengo la Kituo cha Polisi kwa muda miaka 47, badala...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina aibana Serikali bungeni fedha za makinikia, Spika atoa agizo

MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, ameibana Serikali bungeni, kuhusu hatma ya kesi 1,097 za malimbikizo ya kodi yenye thamani ya Sh. 360 trilioni...

error: Content is protected !!