Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Samia afanyia mabadiliko Baraza la Mawaziri
Habari za SiasaTangulizi

Samia afanyia mabadiliko Baraza la Mawaziri

Spread the love

RAIS Samia Suluhu Hassan, amefanyia mabadiliko madogo, baraza lake la mawaziri. Katika mabadiliko hayo, mwanadiplomasia mashuhuri nchini, Balozi Liberata Mulamula, ameachwa kwenye baraza hilo. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar es Salaam …(endelea).

Balozi Malamula, alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki. Nafasi yake, imechukuliwa na Dk. Stergomena Lawrance, aliyekuwa Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT).

Naye Inocent Bashungwa, aliyekuwa wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), amefanywa kuwa waziri wa Ulinzi.

Kwa upande wa Tamisemi, Rais Samia amempa wadhifa wa uwaziri, Angellah Kairuki; ili kukidhi takwa hilo la kikatiba, rais amemteuwa mwanasiasa huyo ambaye aliwahi kuhudumu katika utawala wa awamu ya kwanza wa Rais John Magufuli na Jakaya Kikwete, kuwa mbunge wa Bunge la Muungano.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Kilosa yawa mfano wa kuigwa miradi ya Mwenge nchini

Spread the love  KIONGOZI wa Mbio za Mwenge Kitaifa Godfrey Mzava amezitaka...

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

error: Content is protected !!