Friday , 3 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Mbunge Nditiye azikwa, ujumbe watolewa

WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema, sifa na maneno mazuri ambayo yamesemwa kuhusu aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe (CCM), Mhandisi Atashasta Nditiye yatakuwa...

AfyaTangulizi

Madaktari: Kuna ongezeko la wagonjwa, watahadharisha

  CHAMA cha Madaktari nchini (MAT), kimewataka wananchi kuwa makini kutokana na ongezeko la wagonjwa wenye matatizo ya kupumua. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Z’bar ‘yawabana’ watalii kulinda utamaduni

  SERIKIALI ya Mapinduzi Zanzibar imewataka watalii kuzingatia miiko na maadaili ya Mzanzibari hasa katika mavazi. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Taarifa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baba wa Profesa Mwandosya afariki dunia

  PROFESA Mark Mwandosya, waziri wa zamani katika utawala wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete, ameeleza kuumizwa na kifo cha baba yake mdogo,...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo CCM, Mzee Seif Khatibu afariki

  DAKTARI Mohmmed Seif Katibu, aliyewahi kuwa Mkuu wa Oganizesheni wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na waziri katika Serikali ya Jamhuri ya Muungano...

Habari MchanganyikoTangulizi

BAKWATA yatoa magizo kuikabili corona

  BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA), limeelekeza misikiti yote kufanya maombi maalumu (kusoma dua) kwa ajili ya kumuomba Munga kuliepusha taifa na...

Habari MchanganyikoTangulizi

COVID-19: Sheikh Ponda aungana na KKKT, Katoliki

SHEIKH Ponda Issa Ponda, Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini, amepongeza miongozo iliyotolewa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjiki la...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mil 5 zamtesa Joyce Kiria

JOYCE Kiria, Mwanaharakati wa masuala ya wanawake, anasaka Sh. 5 Mil ili kulipa faini baada ya kuweka maudhui mtandaoni bila kufuata sheria. Anaripoti...

Habari za Siasa

Mwili wa Nditiye waagwa bungeni

  MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhandisi Atashasta Nditiye (52), umeagwa bungeni jijini Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)...

Habari MchanganyikoTangulizi

Majaliwa awanyooshea kidole wanufaika mikopo elimu ya juu

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amewataka wanufaika wote wa mikopo ya elimu ya juu nchini humo, ambao bado hawajajitokeza na kuanza...

Tangulizi

Mahakama ya ICC yapata mwendesha mashtaka mpya

  NCHI wanachama wa mkataba wa Roma ulioanzisha Mahakama ya Kimataifa ya uhalifu dhidi ya binadamu (ICC), umemchagua mwanasheria kutoka Uingereza, Karim Khan...

MichezoTangulizi

Kushikiliwa kwa Namungo Angola, Majaliwa atoa neno

  SAA chache mara baada ya msafara wa Namungo kuzuiliwa kwenye Uwanja wa ndege wa Luanda Angola, Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano...

Habari za Siasa

Magufuli amlilia mbunge Nditiye

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge, Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa Muhambwe (CCM), mkoani...

MichezoTangulizi

Simba yaigeuzia kibao AS Vita, yachukua pointi tatu

  PENALTI ya dakika 60 ya mchezo iliwekwa kambani na Chriss Mugalu ilitosha kuipatia Simba pointi tatu kwenye mchezo wa ugenini dhidi ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia

  HARITH Bakari Mwapachu (81), waziri mwandamizi wa zamani amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa tarehe 12 Februari 2021, Hospitali ya Taifa...

HabariTangulizi

Serikali ya Tanzania: Hatujasema hatuna corona

  SERIKALI ya Tanzania imeeleza, haijawahi kusema haina maambukizi ya virusi vya corona (Covid-19). Anaripoti Regina Mkonde …(endelea). “Hatujawahi kusema, hatuna virusi vya...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli amsulubu hadharani mbunge Abood

  RAIS wa Tanzania, John Magufuli ameeleza kutamani mfanyabiashara Rostam Azizi kugombea Jimbo la Morogoro Mjini, ili kumng’oa Abdul-Aziz Abood, mbunge wa jimbo...

Habari za Siasa

Mbunge CCM aliyenusurika kifo kwa ajali, afariki kwa ajali

  MBUNGE wa Muhambwe kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Kigoma, Mhandisi Atashasta Nditiye, amefariki dunia leo asubuhi Ijumaa tarehe 12 Februari...

Habari za Siasa

Rais Mwinyi ang’oa vigogo ZRB, PBZ

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi ametengua uteuzi wa Kamishna wa Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB), Joseph Meza na Mkurugenzi Mwendeshaji wa...

Habari

Majaliwa azungumzia nyongeza ya mishahara

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa umma, wasikate tamaa kwa vile mishahara mipya haijatangazwa na badala yake amewasihi waendelee...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee ‘apindua’ kauli ya Rais Magufuli

  WAKATI Rais wa Tanzania, John Magufuli akisisitiza kwa wananchi ataendelea kutoa elimu bure, Halim Mdee ambaye ni mbunge asiye na chama baada...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu CCM asimamishwa kwa rushwa, Magufuli asema…

  KATIBU wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mkoa wa Morogoro, Shaka Hamidu Shaka, amesimamishwa kazi na chama hicho, kupisha uchunguzi wa tuhuma za...

Habari za Siasa

Spika Ndugai: CCM ilitaabika uchaguzi mkuu 2020

  JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania, amelieleza Bunge, katika uchaguzi mkuu uliofanyika tarehe 28 Oktoba 2020, Chama Cha Mapinduzi (CCM), ‘kilitoka...

Habari za SiasaTangulizi

Kisasi cha TRA: Gambo ahoji hatma St. Jude, Spika ataka majibu

  SAKATA la Shule ya St. Jude, iliyoko jijini Arusha, kukabiliwa na ukata uliosababishwa na fedha zake kuzuiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania...

MichezoTangulizi

Kim Poulsen atua Bongo kuchukua mikoba ya Etienne, sababu za kufukuzwa zaelezwa

  INAELEZWA tayari Kim Poulsen kocha raia wa Denmark yupo nchini kwa ajili ya kukaimu kwa muda nafasi ya aliyekuwa kocha wa Timu...

Habari za Siasa

Mbunge ataka elimu bure kidato tano na sita, serikali yamjibu

  BONIFACE Mwita Getere, Bunda Vijijini (CCM), ameitaka serikali kueleza, kwamba ina mpango gani wa kukamilisha dhana ya elimu bure. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

MichezoTangulizi

Mtifuano Ligi Kuu raundi ya pili

  MZUNGUKO wa pili wa Ligi Kuu Tanzania Bara utaanza kesho tarehe 11 Februari 2021, huku kukiwa na kitendawili kikubwa kwenye kumpata bingwa...

ElimuHabari za Siasa

Waraka wa corona wamponza Prof. Bisanda wa Chuo Kikuu

WARAKA kuhusu tahadhari ya maambukizi ya virusi vya corona (COVID-19), uliotolewa na Profesa Elifas Bisanda, Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo ‘wamtesti’ Dk. Mwinyi

  CHAMA cha ACT- Wazalendo, kimemshauri Rais wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi kuunda “tume ya maridhiano” ili kutibu vidonda vya uchaguzi mkuu uliyopita,...

Habari za SiasaTangulizi

Wapinzani washangaa wabunge CCM kujipendekeza kwa Magufuli

KASI ya “kujipendekeza” ya baadhi ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), kwa Rais wa Tanzania, John Magufuli, imeshangaza waengi, wakiwamo viongozi wa...

Makala & Uchambuzi

Ukomo wa urais uheshimiwe

MJADALA juu ya nyongeza ya muda wa Rais John Magufuli, kuendelea kubaki madarakani, baada ya kipindi chake cha urais kumalizika, umepamba moto. Ndani...

Habari za SiasaTangulizi

Simulizi ya mwanasiasa mkongwe wa upinzani, Anthony Komu

  ANTHONY Calist Komu, mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania amesema, ndoto zake zilikuwa awe padre, lakini akajikuta anakuwa mwanasiasa. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es...

Habari za Siasa

Ahadi ya Kikwete abebeshwa Rais Magufuli

  MBUNGE wa Same Magharibi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), David Mathayo David, amehoji ni lini Serikali ya awamu ya tano inayongozwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Arcado Ntangazwa afariki dunia

  WAZIRI wa zamani katika serikali za awamu ya Kwanza, Pili na Tatu, Arcado Ntagazwa (75) na Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya...

Habari za Siasa

Dk. Mwinyi akwepa kumzungumzia Maalim Seif

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amekwepa kuzungumzia hali ya makamu wake wa kwanza, Maalim Seif Sharif Hamad. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...

Habari za Siasa

Kifo cha Loya, Zitto amlilia

  MTENDAJI Mkuu wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Daniel Loya amefariki dunia asubuhi ya leo Jumatano, katika Hospitali ya Lugalo alikokuwa anapatiwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee aivuruga serikali, waziri amvaa

  HALIMA Mdee, mbunge asiye na chama bungeni, amekosoa Mpango wa Maendeleo wa Serikali, kwamba ‘hakuna kitu.’ Anaripoti Mwandshi Wetu, Dodoma…(endelea). Akichangia mpango huo...

Habari za Siasa

Siku 100 za Dk. Mwinyi madarakani

  RAIS wa Zanzibar, Dk. Hussein Mwinyi amesema katika siku 100 za uongozi wake, amefanikiwa kuimarisha umoja wa Wazanzibari na kuongeza ukusanyaji mapato....

Habari za Siasa

Nape: Biashara zinafungwa, kodi kubwa

  KIWANGO kikubwa cha kodi kwa wafanyabiashara, kimesababisha biasharanyingi kufungwa. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Kauli hiyo imetolewa na Nape Nnauye, Mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Moto Katiba Mpya wachipuka upinzani

  KASI ya kutaka Katiba Mpya kabla ya uchaguzi mkuu 2025, imevisukuma vyama vya upinzani kutaka kuungana. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam...

Habari za SiasaTangulizi

Ajenda 5 zimewapeleka ACT-Wazalendo bungeni

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kimesema, kimewapeleka wanachama wake wanne bungeni ili wakasimamie ajenda tano za chama hicho. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea)....

Habari za Siasa

Polepole: JPM hatoongeza muda, itabaki hivyo

HUMPHREY Polepole, mbunge wa kuteuliwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), amesema mwenyekiti wake Rais John Magufuli hatoongeza...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Mdee, wenzake: Prof. Safari, Lissu watofautiana

  WAKATI Tundu Lissu, Makamu mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), akieleza chama hicho ‘kujivuwa’ kuwapeleka mahakamani Halima Mdee na wenzake,...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwinyi atumia mbinu ya JPM kuwabana mafisadi Z’bar

  HATUA iliyochukuliwa na Rais John Magufuli kuanzisha Mahakama ya Mafisadi mwaka 2016, mahakama hiyo sasa inaanzishwa visiwani Zanzibar. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar...

MichezoTangulizi

Mwenyekiti Mpya Simba aanza na AS Vita, kutangulia DR Congo kesho

  MWENYEKITI mpya wa klabu ya Simba, Murtaza Mangungu ameanza kazi kwa kasi katika kuhakisha timu hiyo inafanya vizuri kwenye michuano kimataifa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM ‘aichana’ serikali

JOSEPH Msukuma, Mbunge wa Shinyanga Vijijini amesema, serikali imekuwa ikiwekeza mabilioni ya fedha katika miradi ambayo haina faida kwa Taifa. Anaripoti Mwamdishi Wetu,...

Habari za Siasa

Mbunge CCM akumbushia ahadi ya Magufuli bungeni

AHADI aliyoitoa Rais wa Tanzania, John Magufuli wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2020, Itigi mkoani Singida, kwamba atajenga barabara za...

Habari za Siasa

Mrithi wa Umbulla aapishwa bungeni

YUSTINA Rahhi, Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), ameapishwa leo Jumatatu tarehe 8 Februari 2021, kuchukuna nafasi ya Martha Jecha Umbulla aliyefariki dunia tarehe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ebola yaibuka tena Congo

MLIPUKO wa Virusi vya Ebola, umeibuka tena Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC). Inaripoti Mitandao ya Kimataifa…(endelea). Taarifa ya mlipuko huo, imetolewa na...

MichezoTangulizi

Nkamia aanguka uchaguzi Simba

  ALIYEKUWA Mbunge wa Chemba, Juma Nkamia ameangukia pua kwenye uchaguzi wa klabu ya Simba baada ya kushindwa na Murtaza Mangungu kwa tofauti...

error: Content is protected !!