Saturday , 20 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia
Habari za SiasaTangulizi

Mwanasiasa mkongwe Bakari Mwapachu afariki dunia

Bakari Harith Mwapachu
Spread the love

 

HARITH Bakari Mwapachu (81), waziri mwandamizi wa zamani amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo Ijumaa tarehe 12 Februari 2021, Hospitali ya Taifa ya Muhimbili, Dar es Salaam. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)

Mwili Mwapachu, aliyezaliwa tarehe 25 Julai 1939, amewahi kuwa mbunge wa Tanga Mjini kuanzia mwaka 2000 hadi 2010.

Balozi Juma Mwapachu ambaye ni mdogo wake Bakari amesema, mwili wa kaka yake utasafirishwa kwenda jijini Tanga kwa mazishi yanayotarajia kufanyika kesho Jumamosi.

Endelea kufuatili mitandao yetu kwa habari na taarifa mbalimbali

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari za Siasa

Mavunde aagiza Perseus kuharakisha fidia Sengerema

Spread the loveWaziri wa Madini, Anthony Mavunde ameipongeza Kampuni ya Perseus kwa...

Habari za Siasa

Kigogo Chadema awanyooshea vidole vigogo serikalini kuhusu ripoti ya CAG

Spread the love  MWANACHAMA wa Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Boniface Jacob, amedai...

Habari za Siasa

Wabunge waikalia kooni TAKUKURU Bungeni

Spread the love  BAADHI ya wabunge wamelia na changamoto za utendaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Mpina ataka Waziri Majaliwa ajiuzulu, akosoa teuzi za mawaziri

Spread the love  MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, amemtaka Waziri Mkuu, Kassim...

error: Content is protected !!