Wednesday , 1 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za Siasa

Rais Samia kufuata nyayo za Mkapa ushirikishaji sekta binafsi

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameitaka jamii ibadili mtizamo wa kwamba Serikali inaweza kufanya kila kitu peke yake, bila ya ushirikishwaji...

Tangulizi

Heche awashangaa Januari, Nape kufanya ziara zisizo za lazima

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chadema, John Heche, ameonesha kushangazwa na matumizi ya Serikali yasiyo na tija huku ikiwaeleza wananchi kuwa hali...

Habari za Siasa

Washauri uchaguzi, mikutano ya siasa ifanyike kidigitali

  SERIKALI imeshauriwa kutumia teknolojia katika chaguzi na mikutano ya vyama vya siasa ili kupunguza gharama za uendeshaji wa shuguli hizo. Anaripoti Selemani...

Habari za SiasaTangulizi

Heche: Serikali imeshindwa, iwaachie wanaoweza

  MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Tanzania, John Heche amesema Serikali iiliyopo madarakani imeshindwa kutatua changamoto za...

HabariMichezo

24 waitwa kambini Stars, kujiandaa dhidi ya Somalia

  KOCHA wa Timu ya Taifa ya Tanzania Kim Poulsen amita wachezaji 24, wa timu ya Taifa ya Tanzania watakaoingia kambini kwa ajili...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

TANTRADE yatakiwa kujiwekea malengo, kutoa elimu masoko

  MAMLAKA ya Biashara Tanzania (TANTRADE) imetakiwa kujiwekea malengo kwa kila maonyesho na baadae kufanya tathimini ya kufanikiwa au tutofanikiwa. Anaripoti Jonas Mushi...

Habari za Siasa

Watakao kiuka taratibu uchaguzi CCM kufyekwa

  KATIBU mkuu wa Chama cha Mapinduzi(CCM),Daniel Chongolo ametangaza kuwafyeka wagombea nafasi za uongozi ndani ya chama hicho endapo watakiuka misingi na utaratibu...

HabariMichezo

Simba kumekucha, Okrah kuungana na Chama, Sakho safarini Misri kesho

  KLABU ya Simba imeendelea kushika kasi kwenye usajili wa wachezaji mbalimbali, kufuatia hii leo tarehe 13 Julai 2022, kutmabulisha kiungop mshambuliaji Agustine...

AfyaTangulizi

Ugonjwa wa ajabu waua watatu Lindi, wawili wapona

  WIZARA ya afya kupitia Mganga Mkuu wa serikali, Dk. Alfello Sichalwe imesema jumla ya watu watatu wamefariki dunia kutokana na ugonjwa wa...

KimataifaTangulizi

Kisa ugumu wa maisha, Uganda waandamana

Polisi Uganda imewakamata waandamanaji 12 waliokuwa wakipinga kupanda kwa gharama ya maisha katika eneo la Jinja, lililopo kusini-mashariki mwa nchi hiyo. Inaripoti Mitandao...

Habari

Wito wazazi, walezi kulea watoto kwa misingi ya kidini

  WAZAZI na walezi wametakiwa kuwalea watoto wao katika misingi ya dini ili kuepukana na kizazi chenye ukatili na unyanyasaji hapo baadaye. Anaripoti...

HabariMichezo

Simba kutimkia Misri, kuweka kambi ya wiki nne

  KLABU ya soka ya Simba inatarajia kuondoka nchini kwenda nchini Miosri kwa ajili ya kufanya maandalizi ya msimu mpya ujao wa mashindano...

Habari za SiasaTangulizi

NEC, ZEC: Tupo tayari kwa mabadiliko

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) na Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), zimesema changamoto zinazotokea wakati uchaguzi asilimia kubwa zinachangiwa na wasimamizi wa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mbaroni akituhumiwa kumuua ‘house girl’, kuficha mwili stoo

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia Selemani Haruna (24),  kwa tuhuma za kumuuwa mfanyakazi za ndani, Editha Charles, kisha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mmoja wa pacha waliotenganishwa Muhimbili afariki

SIMANZI. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya mmoja wa pacha waliotenganishwa Muhimbili, Neema kufariki dunia Jumapili tarehe 10 Julai, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Neema...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia athibitisha uwepo ugonjwa wa kuvuja damu puani na kuanguka

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema katika mikoa ya kusini mwa Tanzania kumeibuka ugonjwa wa ajabu ambapo watu wengi mfululizo wanavuja damu puani na...

Tangulizi

HKMU watoa ushauri na elimu tatizo la afya ya akili Mlimani City

  IDARA ya Ustawi wa Jamii ya Chuo Kikuu cha Kumbukumbu ya Hubert Kairuki (HKMU) kwa kushirikiana na Hospitali ya Kairuki wameandaa kambi...

KimataifaTangulizi

Kagame: Nipo tayari kuendelea kuongoza kwa miaka 20 zaidi

RAIS wa Rwanda, Paul Kagame amesema kwamba haoni shida yoyote akiendelea kuongoza Rwanda kwa miaka mingine 20, na kuashiria kwamba atagombea muhula mwingine...

Habari MchanganyikoTangulizi

ATCL yarejesha safari za Dar es Salaam-Guangzhou

SHIRIKA la Ndege Tanzania (ATCL) imerejesha safari za kutoka Dar es Salaam kwenda Guangzhou China kuanzia tarehe 17 Julai, 2022. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea)....

Habari za Siasa

ACT Wazalendo waitaka Serikali kushughulikia migogoro ya wakulima, wafugaji

CHAMA cha ACT Wazalendo kimeitaka Serikali kuchukua hatua za dharura kushughulikia migogoro ya wakulima na wafugaji ili kuzuia maafa yanayoweza kutokea. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

HabariMichezoTangulizi

Yanga yamtambulisha rasmi Bigirimana

  IKIWA katikati ya mkutano mkuu wa mwaka wa klabu hiyo, ambao umebeba ajenda kubwa ya Uchaguzi, Rais mteule wa klabu hiyo Mhandisi...

Habari za Siasa

Polisi yaeleza sababu kumkamata kigogo BAVICHA

  JESHI la Polisi nchini Tanzania limetoa sababu ya kumshikilia Mratibu wa Uhamasishaji wa Baraza la Vijana Chadema (Bavicha), Twaha Mwaipaya. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Tutaendelea kuhoji – Jussa

  KAIMU Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Ismail Jussa Ladhu amesema mjadala kuhusu kasoro za kiutendaji katika utekelezaji miradi ya maendeleo hautasimama...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mdee waibwaga Chadema mahakamani

  WABUNGE Viti Maalum 19 wakiongozwa na Halima Mdee, wamekibwaga Chama cha Chadema mahakamani baada ya Mahakama Kuu, Masjala Kuu ya Dar es...

Habari MchanganyikoTangulizi

Uamuzi kesi ya kina Mdee leo

MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa...

HabariMichezo

Yanga yatawala tuzo za TFF

  Klabu ya soka ya Yanga Mabigwa wa Ligi ya NBC usiku wa jana 7 julai 2022 wameibuka vinara baada ya kutwaa tuzo...

HabariMichezo

Mahakama yawakosa na hatia Sepp Blatter, Michel Platini

RAIS wa zamani wa Fifa Sepp Blatter na makamu wa rais Michel Platini wote wamepatikana bila hatia kufuatia kesi yao ya ulaghai. Anaripoti...

HabariMichezo

Mchengerwa ataka vilabu viwe na viwanja vyao

  Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohamed Mchengerwa amezitaka klabu nchini kuhakikisha wanamili viwanja vyao ili kukuza ustawi wa soka nchini, ambapo...

Habari MchanganyikoTangulizi

BREAKING NEWS – Waziri mkuu wa zamani Japan apigwa risasi, afariki

WAZIRI Mkuu wa zamani wa Japan Shinzo Abe (67) amefariki dunia, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa. Anaripoti Mwandishi Wetu kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Hoseah awakabidhi mawakili wapya zigo la migogoro ya wananchi

RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah, amewataka mawakili wapya, kuwasaidia wananchi katika kutatua migogoro inayowakabili.Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

KimataifaTangulizi

Kashfa ya ngono yamng’oa waziri mkuu

UINGEREZA leo tarehe 7 Julai, imeandika historia nyingine baada ya Waziri Mkuu wa taifa hilo, Boris Johnson ambaye pia ni kiongozi wa chama...

KimataifaTangulizi

Waziri Mkuu: Ninasikitika kuacha kazi nzuri zaidi duniani

  “Ninasikitika kuacha kazi nzuri zaidi duniani lakini ndiyo hali halisi”, hayo ni maneno ya Waziri Mkuu wa Uingerea, Boris Johnson ambaye leo...

KimataifaTangulizi

Waziri mkuu akubali yaishe, kujiuzulu leo

  WAZIIRI Mkuu wa Uingereza, Boris Johnson anatarajiwa kujiuzulu kama kiongozi wa chama tawala cha Conservative baadaye leo, lakini ataendelea kuhudumu kama waziri...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yasema bei ya vyakula imepaa, yatoa mapendekezo

  CHAMA cha ACT-Wazalendo, kimedai gharama za maisha zimezidi kupanda huku hali ya uchumi wa wananchi ikiwa ngumu, hususan katika bei ya vyakula...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

CCM yataka viingilio Sabasaba vipunguzwe

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimeitaka Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade) wametakiwa kuangalia upya...

Tangulizi

Maandalizi Sensa yafikia asilimia 87 zikiwa zimebaki siku 48

  MAANDALIZI Sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika tarehe 23 Agosti mwaka huu, yamefikia asilimia 87 ikiwa zimebaki siku 48 kufika siku...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yasema uamuzi kesi ya kina Mdee haujakamilika

  MAHAKAMA Kuu, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, imeahirisha kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19, wakiongozwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Mbivu, mbichi kesi ya kina Mdee kujulikana leo

  MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masjala Kuu ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa uamuzi dhidi ya maombi yaliyofunguliwa na wabunge viti maalum 19,...

Habari za Siasa

Tunafuatilia miradi hatufanyi mikutano ya hadhara:CCM

  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimekanusha madai ya kwamba chenyewe kinafanya mikutano ya hadhara huku vyama vya upinzani vikizuiwa, kikisema mkutano inayofanya na...

Habari za SiasaTangulizi

Shaka: CCM hakuna mpasuko

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Shaka Hamdu Shaka, amesema ndani ya chama hicho hakuna mpasuko, kama inavyovumishwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya petroli yapaa, dizeli yashuka

  MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) imetangaza bei mpya za mafuta kwa mwezi Julai ambapo bei ya petroli...

Habari MchanganyikoTangulizi

Shaka atembelea MwanaHALISI, Raia Mwema

  KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), ametembelea ofisi za magazeti ya Raia Mwema na MwanaHALISI, ikiwa ni muendelezo...

HabariMichezo

Injinia Hersi kuanza na uwanja Yanga

  Mgombea wa nafasi ya Urais katika klabu ya soka ya Yanga ya Jijini Dar es salaam Injinia Hersi Saidi leo 5 julai,...

ElimuTangulizi

Shule za Serikali, wasichana wang’ara matokeo kidato cha sita

  SHULE za Sekondari za Serikali, pamoja na watahiniwa wasichana, wameng’ara katika matokeo ya mtihani wa kidato cha sita. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri yakwamisha kesi ya Chadema dhidi ya Jeshi la Polisi

  MAHAKAMA Kuu, Masjala ya Dodoma, imeahirisha usikilizwaji wa kesi ya Chadema dhidi ya Jeshi la Polisi baada ya Mawakili wa Jamhuri kutofika...

AfyaTangulizi

Jengo la mama na mtoto CCBRT kuhudumia wajawazito 12,000 kwa mwaka

  RAIS Samia Suluhu Hassan amezindua jengo la mama na mtoto katika Hospitali ya CCBRT ambalo lina uwezo wa kuhudumia wajawazito 12,000 kwa...

Habari za Siasa

Sh54 Bil. kugharamia mradi wa maji Chiuwe

  WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa Sh54 bilioni kwa ajili ya kugharamia mradi wa maji wa Chiuwe utakaohudumia wilaya za Ruangwa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yapewa neno ununuzi treni zilizotumika

  SERIKALI ya Tanzania imeshauriwa kufikiria upya mpango wake wa kununua vifaa vya treni ya umeme vilivyotumika, maarufu kama mitumba, ili kujua kama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia amtumbua Mkurugenzi bandari

  RAIS Samia Suluhu Hassan leo tarehe 4 Julai, 2022 ametengua uteuzi wa mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Eric...

Makala & Uchambuzi

Ni bajeti yenye neema kwa Watanzania

NI Bajeti ya viwango inayokwenda kulainisha na kupunguza makali ya maisha kwa wananchi wote. Hii inatokana na vipengele kadhaa vilivyoanishwa na serikali kupitia...

error: Content is protected !!