Thursday , 2 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

KimataifaTangulizi

Kikwete: Asiyekubali matokeo Uchaguzi Kenya aende mahakamani

KIONGOZI wa waangalizi wa Uchaguzi Mkuu wa Kenya kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki, Rais mstaafu wa Tanzania, Jakaya Kikwete ametoa wito kwa wagombea...

ElimuHabari

Tume ya Ajira yataja sababu vijana kukosa ajira

  SECRETARIETI ya Ajira, imesema moja ya chngamoyo inayosababisha vijana wengi kukosa ajira ni kushindwa kujiandaa vizuri kabla ya kwenda kwenye usaili wa...

MichezoTangulizi

Sherehe zimekwisha sasa tukutane Agosti 13

MIONGONI mwa burudani zilizokuwa zinasubiriwa kwa hamu ni pamoja na kilele cha Siku ya Mwananchi na Siku ya Simba, sherehe ambazo huambatana na...

HabariMakala & UchambuziTangulizi

FUATILIA MOJA KWA MOJA MATOKEO UCHAGUZI MKUU KENYA HAPA

RAIA wa Kenya jana tarehe 9 Agosti, 2022 wamejitokeza kupiga kura kumchagua rais, gavana, seneta, mwakilishi wa wanawake, mbunge na mwakilishi wa wadi. Katika...

HabariMichezo

Serena Williams atangaza ‘kuondoka’ kwenye mchezo wa tenisi

  MCHEZAJi maarufu wa tenisi ulimwenguni, Serena Williams, amepanga kujiuzulu rasmi mchezo huo, akisema kuwa atakuwa “anaondoka ” katika mchezo huo baada ya...

HabariHabari za Siasa

Zitto: Kenya ipo mbele sana uwazi katika uchaguzi

KIONGOZI wa Chama cha ACT Wazalendo cha nchini Tanzania, Zitto Kabwe, amesema Taifa la Kenya lipo mbele katika uwazi kwenye uchaguzi mkuu. Anaripoti...

HabariTangulizi

Ruto, Raila wachuana vikali matokeo ya awali

  Matokeo ya mapema yanaonesha kwamba mgombea wa Muungano wa Azimio Raila Odinga amekuwa akitatizika kupata asilimia 20 ya kura zilizopigwa katika maeneo...

HabariMichezo

Simba wamponza Meneja Uwanja wa Mkapa, ang’olewa

WAZIRI wa Utamaduni, Sanaa na Michezho, Mohamed Mchengerwa leo tarehe 9, 2022 amemuagiza Katibu Mkuu wizara hiyo, Dk. Hassan Abbasi kumpangia majukumu mengine...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Kilaini alaani Klabu ya Simba kutumia msalaba kwa dhihaka

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Methodius Kilaini amelaani kitendo cha klabu ya Simba kutumia msalaba kufanya dhihaka na kusema ni “dharau...

Tangulizi

Watu 20 wafa ajalini, Rais Samia atoa pole

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ametoa pole kwa familia za watu 20 waliofariki ajalini na wengine 15 kujeruhiwa. Anaripoti Erick Mbawala, TUDARco...

KimataifaMakala & Uchambuzi

Pakistan kinara wa unyanyasaji, utekaji na ubakaji wanawake

  WAKATI Dunia ikihubiri haki na usawa wa kijinsia huko nchini Pakistani wanawake wamekuwa wakifanyiwa ukatili wa kijinsia , kubakwa na kutekwa nyara....

Makala & UchambuziTangulizi

Wakenya wanaamua mwisho wa Odinga au mwanzo wa Ruto, polisi wadakwa na sanduku la kura

  UCHAGUZI Mkuu wa Kenya unafanyika leo kumsaka mrithi wa kiti cha urais kinachotarajiwa kuachwa wazi na Rais Uhur Kenyatta. Mbali na nafasi...

MichezoSokaTangulizi

Simba SC. yang’ara, yawakung’uta 2:0 wahabeshi

KILELE cha Sherehe ya Siku ya Simba ‘Simba Day’ kimetamatika kwa kwa cheko la furaha baada ya kuibuka na ushindi wa bao 2:0...

HabariMichezo

Kagere , Lwanga waagwa kwa Furaha

  Walio kuwa wachezaji wa klabu ya Simba Meddie Kagere pamoja na Thadeo Lwanga wameagwa rasmi leo Agosti 6 2022 katika kilele cha...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mikoa yatakiwa kutenga maeneo makubwa ya kilimo

MIKOA yote nchini imeagizwa kutenga maeneo kwaajili ya kilimo kikubwa cha mazao ambayo yanayostawi katika mikoa hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Maagizo hayo yametolewa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtendaji Ruaha asimulia njama za kutaka kumuua zilivyopangwa

MTENDAJI wa tarafa ya Ruaha, wilayani Ulanga, mkoani Morogoro, George Kayora, ameieleza mahakama jinsi baadhi ya viongozi  wa  ngazi ya kitongoji wilayani Ulanga,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia: Vijana njooni kwenye kilimo

Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania ametoa wito kwa vijana kuwekeza kwenye sekta ya kilimo kutoka na fursa nyingi zilizopo na uboreshwaji...

Habari MchanganyikoTangulizi

Samia: Mwelekeo wa elimu yetu ni kuwapa vijana ujuzi

RAIS wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amesema maboresho ya Miundombinu yanayoendelea katika sekta ya elimu yanalenga kuhakikisha watoto wa...

MichezoSokaTangulizi

Manara, Hersi kizimbani TTF

SEKRETARIETI ya Shirikisho la Mpira wa miguu Tanzania (TFF) imewafungulia mashtaka ya kimaadili Rais wa Yanga Mhandisi Hersi Said na aliyekuwa Msemaji wa...

HabariMichezo

Morrison aomba radhi Mashabiki Yanga

Mshambuliaji wa kimataifa wa raia wa Ghana Bernard Morison ameomba radhi kwa mashabiki wa klabu ya Yanga kwa yale yote yaliotokea kipindi alipoondoka...

MichezoTangulizi

Vipers wavuruga Siku ya Mwananchi, waitandika Yanga 2-0

MABINGWA wa Uganda, Vipers SC wamevuruga sherehe za kilele cha Siku ya Wananchi – Yanga S.C baada ya kuwaadhibu kwa bao 2 -0...

Tangulizi

TEF: Tumetoka shimoni kwa mazungumzo

  MWENYEKITI wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema mafanikio yaliyofikiwa katika kung’oa tasnia ya habari kwenye ‘shimo,’ hayakuhusisha mapambano bali...

HabariTangulizi

Yanga kweli byuti byuti, mashabiki wajitokeza

Klabu ya soka ya Yanga leo Agosti 6 2022 inaadhimisha kilele cha wiki ya mwananchi huku ikiwa na kauli mbiu ya Byuti Byuti...

Habari za SiasaTangulizi

Dk. Mwigulu, Bashungwa wawekwa kikaangoni

  RAIS Samia Suluhu Hassan amewaweka mtegoni Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI),...

Habari za Siasa

Samia azindua mradi wa maji wa Sh. bilioni 2.8

  RAIS Samia Suluhu Hassana amezindua mradi wa maji wenye thamani ya Sh. 2.8 bilioni uliopo katika Kata ya Makongolosi wilayani Chunya mkoani...

HabariTangulizi

Samia ateua 22 kuwa majaji, yumo mwanaye kigogo Chadema

RAIS Samia Suluhu Hassan ameteua maofisa ishirini na wawili (22) kuwa Majaji wa Mahakama Kuu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa iliyotolewa leo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Ma-DC tutaanza kutimuana tena

RAIS Samia Suluhu Hassan amesema hivi karibuni wakuu wa wilaya wataanza kutimuana tena kwa ajili ya usimamizi wa ujenzi wa madarasa 8000 ya...

Habari za Siasa

Samia kuhusu bei ya mafuta: Ni tatizo la dunia nzima

  WANANCHI wa Mbalizi mkoa wa Mbeya nchini Tanzania amemuhoji Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu kupanda kwa bei ya mafuta ambapo amewajibu kuwa...

Habari za Siasa

Samia: Tone moja la maji ni Sh 3,000

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema maji yangeuzwa kwa kuangalia gharama za miradi tone moja la maji lingeuzwa kwa Sh 3,000. Anaripoti Mwandishi...

HabariHabari Mchanganyiko

Kampuni ya NICOL yazidi kupaa, Hisa zake DSE hazikamatiki

  KAMPUNI ya NICOL Investment (PLC), imeendelea kupata faida na hisa zake kuendelea kufanya vizuri katika Soko la Hisa la Dar es Salaam...

ElimuHabari

Hazina yaendelea  kuongoza moko darasa la saba, Yaongoza Kinondoni mfululizo,

SHULE ya Msingi Hazina ya Magomeni jijini Dar es Salaam, imeongoza kwenye matokeo ya mtihani wa utamilifu (Mock), darasa la saba kwa Wilaya...

ElimuMakala & Uchambuzi

Tanzania ya kidijitali: Kuwekeza kwa vijana ni kuwekeza katika mustakabali sahihi

VIJANA wa Tanzania ni rasilimali muhimu zaidi ambayo nchi inatakiwa kuwa nayo katika siku za usoni. Umuhimu wa vijana unatokana na ukweli kwamba...

Habari za Siasa

Hamissi arejeshwa MSCL baada ya kuondolewa TPA

  RAIS Samia Suluhu Hassan amemrejesha Eric Hamissi kuwa Mkurugenzi wa Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL) baada ya kumwondoa Mamlaka ya Usimamizi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hatma mkataba TICTS Septemba

WAZIRI wa Ujenzi na Uchukuzi Profesa Makame Mbarawa amesema hatma ya mkataba Kampuni ya Kimataifa ya Kuhudumia Makasha (TICTS)  itajulikana mwezi Septemba mwaka...

Habari za SiasaTangulizi

Makada 6 Chadema waliokaa mahabusu miaka 3 waachiwa huru

HATIMAYE Mahakama Kuu Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imemuachia huru aliyekuwa diwani wa Chadema katika Kata ya Isengule wilaya ya Tanganyika mkoa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bwege aalikwa kumpigia kampeni Raila Odinga

MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini Selemani Said Bungara (Bwege) amealikwa nchini Kenya kumpigia kampeni mgombea wa Azimio la Umoja, Raila...

Habari za SiasaTangulizi

Marekani yaiasa Z’bar

MAREKANI imeipa nasaha Zanzibar kuendeleza moyo wa maridhiano ya kisiasa kwa kuamini kuwa ni fursa nzuri ya kuimarisha umoja na mshikamano ambao ni...

MichezoTangulizi

Simba, Yanga kukutana Oktoba 23 Ligi Kuu

  MECHI inayo vikutanisha vigogo wa soka la Tanzania Simba na Yanga (Kariakoo Derby) katika Ligi Kuu Tanzania bara msimu wa 2022/23, inatarajiwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Bei ya mafuta yazidi kupaa tena

BEI ya mafuta imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai licha ya Serikali kuendelea kutoa ruzuku ya Sh bilioni 100 kwa...

Habari za Siasa

Tanzania, Zambia zakubaliana kujenga TAZARA kwa kiwango cha SGR

  TANZANIA na Zambia zimekubaliana kuanzisha mradi wa pamoja wa kuboresha reli ya TAZARA kwa kiwango cha kisasa (SGR). Anaripoti Mwandishi Wetu, Dar...

Habari za Siasa

Samia ampa onyo RC Chalamila: Nategemea umekua sasa

  RAIS wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amempa onyo Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila, ambaye amerejesha uongozini baada ya kumwondoa Juni...

HabariMichezo

M-Bet yaijaza mabilioni Simba, waipiku Yanga

  KLABU ya soka ya Simba inayoshiriki Ligi kuu Tanzania Bara, imesaini mkataba wa miaka mitano na kampuni ya kubashiri ya M-Bet kama...

HabariMichezo

Yanga yatangaza viingilio siku ya mwananchi, tiketi VVIP zamalizika ndani ya saa 3

  klabu ya soka ya Yanga yenye makazi yake mitaa ya Jagwani na Twiga jijini Dar es salaam imetangaza rasmi viingilio vyote vitakavyotumika katika ...

Habari za Siasa

Dk. Mpango: Bashe acha ubahili toa hela za utafiti

MAKAMU wa Rais, Dk. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe kuacha ubahili na kuhakikisha wizara hiyo inatoa fedha za kutosha kufanya...

HabariMichezo

Djuma Shaban asalia Yanga kwa mwaka mmoja Zaidi

  Mabjngwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara klabu ya soka ya Yanga, imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja beki wake wa kulia Raia wa...

HabariKimataifa

Mgombea urais alia kunyanyaswa kingono, abwatuka

  UNYANYASAJI wa kingono sasa unaonekana kumuathiri mtu yeyote bila ubaguzi wakiwemo wagombea urais. Inaripoti Mitandao ya Kimataifa… (endelea) Tukio hilo la aina...

Habari

Mume awafungia ndani mke, watoto kwa miaka 17

MWANAMKE wa Brazil amezungumzia masaibu yake ya kufungiwa – pamoja na watoto wake wawili – na mumewe kwa miaka 17, vyombo vya habari...

HabariMichezoTangulizi

Simba wazindua rasmi wiki yao, majibu ya jezi yapatikana

  KLABU ya Soka ya Simba hii leo tarehe 31 Julai 2022, imezindua rasmi wiki yao kuelekea kwenye tamasha kubwa la Siku ya...

HabariTangulizi

Senzo atimka Yanga, Simon Patric achukua mikoba yake

  KAMATI tendaji ya klabu ya Yanga imebadiliki ombi la kutoongeza mkataba ambalo liliwasilishwa na mtendaji Mkuu wa klabu hiyo Senzo Mbatha. Anaripoti...

Habari za Siasa

8000 wajiandikisha kampeni kupinga ukatili wa kijinsia

  JUMLA ya Watanzania 8000 wamejisajili kujiunga na kampeni ya Shujaa wa maendeleo na ustawi wa jamii (SMAUJATA) yenye lengo la kupinga na...

error: Content is protected !!