Wednesday , 1 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

KimataifaTangulizi

Nini kitafuata baada ya Mahakama kuamua hatima matokeo uchaguzi Urais Kenya?

LEO Jumatatu tarehe 5 Septemba, 2022 Mahakama ya Juu ya Milimani ya Kenya inatarajiwa kutoa maamuzi yake kuhusu kesi ya urais iliyosikilizwa kuanzia...

MichezoTangulizi

Wanywa bia Kombe la Dunia wapewa masharti

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA)  limesema uuzaji wa bia hautaruhusiwa ndani ya uwanja wakati mechi ikiwa inaendelea isipokuwa kwa masharti maalumu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Wizara afya fanyeni tathmini hali ya Uviko-19

RAIS Samia Suluhu Hassan ameiagiza Wizara ya Afya kufanya tathmini ya hali ya ugonjwa wa Uviko-19 nchini na kutoa utaratibu kama watu waendelee...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yakubali kusikiliza mapingamizi ya akina Mdee

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam imeamua kusikiliza mapingamizi yaliyowasilishwa mahakamani hapo na Mawakili wa Mbunge wa viti Maalum (Chadema), Halima Mdee...

Habari MchanganyikoTangulizi

Watano wafariki, 54 wajeruhiwa ajali ya basi Shinyanga

  WATU watano wamepoteza maisha huku 54 wakijeruhiwa Katika ajali ya Basi lililogongana na Fuso  uso kwa uso eneo la Ibadakuli Manispaa ya...

Tangulizi

Simba yapata pigo, daktari wao afariki

  Klabu ya soka ya Simba ya Jijini Dar es Salaam leo Septemba 2 2022 imepata pigo baada aliyekuwa daktari wa timu ya...

HabariMichezo

Simba Queen wapewa basi kwa Safari za ndani

  Timu ya Soka ya wanawake ya Simba (Simba Queens) leo  Septemba 2 2022 imepewa basi na kampuni ya  uuzaji wa magari ya...

Habari za Siasa

Rais Samia azindua kituo kipya cha Polisi Kizimkazi

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan leo tarehe 2 Septemba, 2022 ameanza ziara visiwani Zanzibar ambapo pamoja na mambo mengine amezindua kituo kipya...

KimataifaTangulizi

Haya hapa maswali magumu ya Majaji kwa mawakili wa Ruto na IEBC

  KESI ya kupinga uchaguzi wa rais mteule William Ruto katika mahakama ya Juu nchini Kenya leo Ijumaa tarehe 2 Septemba, 2022, imeingia...

Habari za Siasa

Bashungwa: Tozo ni mwarobaini maboresho ya sekta muhimu

  WAZIRI wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi) nchini Tanzania, Innocent Bashungwa, amesema tozo za miamala zimekuwa mwarobaini wa kuboresha...

Habari za Siasa

Mwigulu atetea tozo licha ya kukiri kusababisha maumivu kwa wananchi

  WAZIRI wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba ametetea tozo zinazotozwa kwenye miamala ya kielekroniki licha ya kukiri kuwa anatambua...

Habari MchanganyikoTangulizi

Udanganyifu, magonjwa yasiyo ya kuambukiza tishio NHIF

  WIZARA ya Afya imeeleza chanzo cha kuelemewa kwa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya(NHIF), ni kuongezeka kwa idadi kubwa ya wananchi...

HabariMichezo

Kisinda, Ntibazonkiza wafunga dirisha la usajili Tanzania

  WACHEZAJI wa kimataifa Tuisila Kisinda pamoja na nyota kutoka Burundi Saido Ntibanzokiza wameng’ara dakika za mwisho wakati wa kufungwa kwa dirisha la...

Habari za Siasa

CCM yataka hatua Z’bar

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetoa msimamo madhubuti dhidi ya mwenendo wa ufisadi ndani ya Serikali ya Zanzibar na kutaka hatua za kisheria zichukuliwe...

Habari MchanganyikoTangulizi

Polisi yamwachia kwa dhamana Ofisa wa TRC aliyefukuzwa kazi

JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam leo Jumatano tarehe 31, 2022, limemwachia kwa dhamana laiyekuwa Ofisa wa Shirika la Reli...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo: Madeni ya Serikali yameifilisi NHIF

MSEMAJI wa sekta ya uwekezaji, mashirika ya umma na hifadhi ya jamii wa ACT wazalendo, Mwanaisha Mndeme, amesema kuanzia mwaka 2018 hadi 2022...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyeporwa ‘Range’ na Makonda alipuka, amtaja mtoto wa Malecela, amuangukia Samia

MFANYABIASHARA Patrick Christopher Kamwelwe mkazi wa New York nchini Marekani ameshusha tuhuma nzito dhidi ya aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam,...

Habari MchanganyikoTangulizi

Doreen apokea watoto 3 wa Mrema wa nje ya ndoa

  MJANE wa Marehemu Agustino Mrema amesema hadi sasa ameshapokea watoto watatu wa nje ya ndoa wa mume wake ambao walikuwa hawajapokewa na...

Habari za Siasa

Makosa ya jinai, ajali za barabarani zaongezeka

MKUU wa Jeshi la Polisi Tanzania, IGP Camillius Wambura amesema takwimu zinaonesha makosa ya jinai pamoja na  ajali za barabara zimeongezeka katika kipindi...

Habari za Siasa

Rais Samia aagiza polisi kuimarisha TEHAMA kudhibiti uhalifu

  RAIS Samia Suluhu Hassan amelitaka Jeshi la Polisi nchini kujikita katika matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) kwa lengo la...

Habari za Siasa

Masauni: Vijana wanalipwa kuichafua serikali mitandaoni

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ameliagiza Jeshi la Polisi kuboresha kitengo cha Teknolojia ya Habari na Mawasiliani...

Habari za Siasa

ACT Wazalendo kumjadili mgombea EALA, uchaguzi mkuu

  CHAMA cha ACT-Wazalendo kinatarajia kufanya kikao cha Halmashauri Kuu tarehe 4 Septemba mwaka huu ambapo pamoja na mambo mengine kitaidhinisha jina la...

KimataifaTangulizi

Masuala tisa yatakayoamuliwa na Mahakama ya Juu kuhusu kesi ya uchaguzi Kenya

  MAHAKAMA ya Juu nchini Kenya leo Jumanne tarehe 30, Agosti, 2022 imeanza kusikiliza kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi wa urais uliofanyika...

Habari za Siasa

Rais Samia ateua majaji 52 ndani ya miezi 15

JAJI Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Juma, amesema ndani ya miezi 15 mahakama imepata ongezeko la majaji 52, tisa wakiwa wa Mahakama ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Sabaya, wenzake wakwaa kisiki mahakamani

ALIYEKUWA Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wanne wataendelea kusota gerezani baada ya Mahakama ya Hakimu Mkazi Moshi, Mkoa...

Habari za SiasaTangulizi

Simbachawene aingilia kati mgogoro NCCR-Mageuzi

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, George Simbachawene, ameitaka Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa kushughulikia mgogoro...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kavishe bilionea mpya wa Tanzanite- Mirerani

  MJI mdogo wa Mirerani uliopo katika wilaya Simanjiro mkoani Manyara umeongeza bilione mpya wa madini ya Tanzanite baada ya mchimbaji mdogo Anselim...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mjane wa Mrema aonja joto ya jiwe

MKE wa marehemu Augustine Mrema, mwanasisasa mashuhuri nchini aliyefariki dunia 21 Agosti na kuzikwa juzi Alahmisi, Doreen Kimbi Mrema, ameanza kuonja joto ya...

Habari za Siasa

TARURA yashauriwa kuacha ujenzi wa barabara za uzito wa tani 10

  WAKALA wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wametakiwa kuachana na ujenzi wa barabara za kiwango cha lami zenye uwezo wa kubeba...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyefukuzwa kazi kwa kukosoa tozo akamatwa

TAARIFA zilizotufikia hivi punde Jeshi la Polisi kanda maalum ya Dar es Salaam limemkamata aliyekuwa Meneja wa TRC mkoa wa Dar es Salaam...

Habari za Siasa

Mawakili wabishana Mdee wenzake kuhojiwa, uamuzi Septemba 2

  MAWAKILI wa upande wa waleta maombi wamepinga upande wa washtakiwa (Chadema), kuwahoji Halima Mdee na wenzake saba ambao waliitwa mahakamani leo kwaajili...

Habari za SiasaTangulizi

Mdee, wenzake wafika mahakamani, kesi yaanza kunguruma

  KWA mara ya kwanza Halima Mdee na wenzake sita, ambao ni Wabunge wa Viti Maalum waliofukuzwa uanachama wa Chadema, wamefika mahakamani kuitika...

Habari MchanganyikoTangulizi

TWAWEZA: Tozo imewagawa wananchi

  MATOKEO ya utafiti uliofanywa na Taasisi ya TWAWEZA kati ya tarehe 18 Juni na 12 Julai 2022 kwa wahojiwa 3,000 waliopigiwa simu,...

Habari za Siasa

Nyumba ya James Mapalala yabomolewa kwa amri ya mahakama

  NYUMBA ya mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania, marehemu James Mapalala imebomelewa kwa amri ya mahakama baada ya Mahakama Kuu Tanzania kutupilia mbali kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mdee na wenzake rasmi kesho, Kibatala ajipanga kuwahoji

  MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam inatarajiwa kuanza kusikiliza rasmi shauri la kupinga kuvuliwa uanachama la Halima Mdee na wenzake 18...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mtuhumiwa ufisadi atinga TAKUKURU na gari la Jeshi

MKURUGENZI Mkuu wa zamani wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), Mhandisi Deusdedit Kakoko, anayekabiliwa na tuhuma za ufisadi, ametinga ofisi za Taasisi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mawakili kumtetea bure kigogo TRC, aliyetimuliwa kazi

MAWAKILI kadhaa wamejitokeza kumtetea kisheria aliyekuwa Meneja wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Kanda ya Dar es Salaam, Jonas Afumwisye iwapo atahitaji msaada...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Mchamungu: Mrema alikuwa kiongozi wa kipekee

ASKOFU Msaidizi wa Jimbo Kuu la Dar es Salaam, Henry Mchamungu amesema kuwa Hayati Agustino Mrema alikuwa kiongozi wa kipekee kutokana uweledi aliouonesha...

Makala & UchambuziTangulizi

Uchaguzi mkuu Angola kuzika zama za chama kimoja?

WAPIGA  kura nchini Angola wanapiga kura leo tarehe 24 Agosti, 2022 kumchagua rais mpya. Uchaguzi huo umetajwa kuwa na ushindani mkali kuwahi kushuhudiwa tangu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askari mbaroni kwa kumtesa aliyetuhumiwa kuiba simu

JESHI la Polisi nchini Tanzania limesema linamshikilia askari aliyehusika katika tukio la kumpiga mtuhumiwa tukio ambalo lilionekana katika video iliyosambaa kwenye kitandao ya...

HabariHabari Mchanganyiko

Shirika la Camillians lapata Mafratel wapya, waweka nadhiri ya kwanza

VIJANA watatu wa Kitanzania, wamefanikiwa kujiunga na Shirika la Kanisa Katoliki la Wahudumu wa Wagonjwa (Camillians) Tanzania na kuweka nadhiri zao za  kwanza....

Habari MchanganyikoTangulizi

Wahadzabe wapewa nyama, wakubali kuhesabiwa

HATIMAYE jamii ya kabila la Wahadzabe leo tarehe 23 Agosti, 2022 wamekubali kuhesabiwa baada ya kupatiwa nyama pori na matunda kama walivyokuwa wameomba...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makinda: Asilimia 15 ya kaya zitafikiwa leo

KAMISHNA wa Sensa ya Watu na Makazi mwaka 2022, Anne Makinda amesema iwapo makarani wa sensa wakifanya kazi yao kwa ufanisi na uharaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Aliyeondolewa kesi ya ugaidi adaiwa kutekwa kweupe

WAKATI masikio ya Watanzania yakiwa yamepumzika kusikia taarifa za kutekwa au kuuawa raia na watu wasiojulikana, matukio hayo yanaanza kurejea taratibu. Tukio la...

Tangulizi

Rais Samia: Kaya zote hazitofikiwa siku ya sensa

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wananchi ambao hawatafikiwa kesho tarehe 23 Agosti, 2022 na makarani wa sensa kuhakikisha wanatunza kumbukumbu...

Habari za SiasaTangulizi

Samia: Kosa la jinai karani kutoa taarifa za kaya

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema taarifa zitakazokusanywa na makarani wa sensa nchi nzima ni taarifa za siri kwa mujibu wa sheria ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mzee Mrema kuzikwa Alhamisi

  MWILI wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP) Agustino Lyatonga Mrema unatarajiwa kuzikwa Alhamisi tarehe 25 Agosti, 2022 nyumbani kwake...

ElimuHabari

Mahafali waliosoma nje yafana kwa viwango vya kimataifa

  SERIKALI imepongeza mchango wa Global Education Link (GEL) kwa namna ambavyo imekuwa ikisaidia kuwaunganisha wanafunzi wa Tanzania kusoma taaluma mbalimbali vyuo vikuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Profesa Moshi ampa darasa la uchumi Dk. Mwigulu

MHADHIRI wa uchumi kutoka Chuo kikuu caha Dar Es Salaam, Profesa Humphrey Moshi, amemtaka waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba pamoja...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia, Mbatia wamlilia Mrema

RAIS Samia Suluhu Hassan ametuma salamu za rambirambi kutokana na msiba wa Mwenyekiti wa Chama cha Tanzania Labour Party (TLP), Agustino Mrema kilichotokea...

error: Content is protected !!