Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Tangulizi Simba yapata pigo, daktari wao afariki
Tangulizi

Simba yapata pigo, daktari wao afariki

Spread the love

 

Klabu ya soka ya Simba ya Jijini Dar es Salaam leo Septemba 2 2022 imepata pigo baada aliyekuwa daktari wa timu ya wakubwa ya wanaume ambaye kwa sasa alikuwa daktari wa timu ya vijana Yassin Gembe amefariki leo mchana katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili. Anaripoti Damas Ndelema…..(endelea)

Taarifa hiyo imetolewa kwenye ukrasa maalimu wa Simba kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram kuthibitisha msimba wa daktari huyo aliyekuwa akihudumu katika timu ya vijana ya wanaume ya Simba baada ya kuhudumu kwenye timu ya wakubwa kwa kipindi kirefu

https://twitter.com/SimbaSCTanzania/status/1565661898858762240

“kwa masikitiko makubwa tunatangaza kifo cha aliyekuwa daktari wa timu ya wanaume (seneor Team) ambaye kwa sasa alikuwa daktari wa timu ya vijana(youth Team) Dkt. Yassin Gembe ambacho kimetokea leo mchana kwenye Hospitali ya Taifa ya Muhimbili” Ilisema taarifa hiyo

Aidha hili ni pigo kwa wanamichezo na jamii kwa ujumla kutokana na uwajibikaji aliokuwa akiuonesha Daktari huyo wakati akihudumu katika tasinia ya michezo enzi za uhai wake kwani amehudumu kwenye klabu ya simba kwa kipindi cha zaidi ya miaka nane kwa mafanikio makubwa kabla mauti hayajamkuta

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!