Friday , 3 May 2024
Home Habari Mchanganyiko Prof. Hoseah awakabidhi mawakili wapya zigo la migogoro ya wananchi
Habari MchanganyikoTangulizi

Prof. Hoseah awakabidhi mawakili wapya zigo la migogoro ya wananchi

Spread the love

RAIS wa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS), Profesa Edward Hoseah, amewataka mawakili wapya, kuwasaidia wananchi katika kutatua migogoro inayowakabili.Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Prof. Hoseah ametoa wito huo leo Ijumaa, tarehe 8 Julai 2022, jijini Dar es Salaam, katika hafla ya kuwakubali na kuwapokea mawakili wapya 335.

“Tuna kanda 21, ningependa nitumie wasaa huu mtakapotawanyika tukumbuke kurudisha fadhila kwa Watanzania, na kurudisha fadhila ni kutatua migogoro. Mwaka huu tunajikita sehemu zote za kanda na makao makuu ya TLS, kwamba msaada wa kisheria kwa Watanzania wote tuutoe maana ni wajibu na jukumu letu,” amesema Prof. Hoseah.

Aidha, Prof. Hoseah amewataka mawakili hao kufuata maadili yao ya taaluma yao ya sheria pamoja na kutumia mihuri ya kielektroniki ili kutokomeza changamoto ya mawakili vishoka..”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari MchanganyikoTangulizi

Kimbunga “HIDAYA” chaendelea kuimarika, wananchi wapewa tahadhari

Spread the loveMAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) inaendelea kutoa taarifa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Chadema waendelea kulilia katiba mpya

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimeendelea kudai upatikanaji wa...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kumshtaki Rais Samia

Spread the loveCHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimetishia kumfungulia kesi ya...

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB yang’ara maonesho OSHA

Spread the loveBenki ya NMB imebeba tuzo ya kampuni bora kwenye sekta...

error: Content is protected !!