Saturday , 20 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Serikali yawataka mawakili wasikwamishe uendeshaji kesi
Habari Mchanganyiko

Serikali yawataka mawakili wasikwamishe uendeshaji kesi

Spread the love

NAIBU Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Dk. Evaristo Longopa, amewataka mawakili kutokuwa chanzo cha kukwamisha uendeshaji mashauri, ili haki itendeke kwa wakati. Anaripoti Regina Mkonde, Dar es Salaam…(endelea).

Dk. Longopa ametoa maagizo hayo leo Ijumaa, tarehe 8 Julai 2022, katika hafla ya kukukubali kuwapokea mawakili wapya zaidi ya 300, iliyofanyika jijini Dar es Salaam.

“Ndugu zangu mawakili ninyi mnapaswa kuzingatia sheria, kanuni na taratibu na mhakikishe kwamba haki inatendekea, msiwe chanzo cha kusababisha mashauri kutokamilika kwa kuomba maahirisho yasiyokuwa na sababu ili haki ipatikane kwa wakati,” amesema Dk. Longopa na kuongeza:

“Na msiicheleweshe haki, nawatakia majumu mema naamini mtakuwa mawakili wema na wenye maadili ili tasnia yetu ya sheria iendelee kuheshimika.”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Gardner Habash wa Clouds Fm afariki dunia

Spread the loveALIYEKUWA mtangazaji wa kipindi cha Jahazi kinachorushwa na kituo cha...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wauguzi, madaktari 1000 kugawiwa mitungi ya Oryx Gas

Spread the loveKAMPUNI ya Oryx Gas na Taasisi ya Doris Mollel Foundation...

Habari Mchanganyiko

Tanzania yachaguliwa Makamu wa Rais Tume ya Shirika la Hali ya Hewa Duniani

Spread the love  TANZANIA kupitia Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA)...

Habari Mchanganyiko

NEMC yaonya wanaojenga bila tathmini ya mazingira

Spread the loveBARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC),...

error: Content is protected !!