Saturday , 18 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Msiba wa Ruge wakwamisha kesi ya Halima Mdee

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeahirisha usikilizaji wa kesi ya uchochezi inayomkabili Mbunge wa Kawe, Halima Mdee, kufuatia shahidi wa upande wa mashitaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kiwanda cha Bora chateketea kwa Moto

KIWANDA cha Bora kilichopo maeneo ya Tazara, barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam kinawaka moto. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Taarifa za...

Habari za Siasa

Vurugu za wafugaji, wakulima zafukuta Kongwa

WAKULIMA zaidi ya 70 wakiwemo watoto, wanafunzi pamoja na wanawake wamefanya maandamano ya amani kwa lengo la kuonana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa...

Habari za Siasa

Serikali za Mitaa zaonywa matumizi ya fedha

MAMLAKA za Serikali za Mitaa nchini zimetakiwa kuhakikisha kuwa fedha zote zinazokusanywa katika mapato zinawekwa benki na fedha hizo zitumike katika kutekeleza matumizi...

Habari za SiasaTangulizi

Shahidi akwamisha tena kesi ya Zitto Kabwe

SHAHIDI wa Serikali katika kesi ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Kiongozi wa ACT-Wazalendo amekwamisha tena kesi hiyo kwa kinachodaiwa kuwa amepata dharura iliyomfanya...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge CCM alikoroga, wananchi wamjia juu

EMMANUEL Papian, Mbunge wa Kiteto kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kuukana ukweli mbele ya kadamnasi. Anaripoti Mwandishi...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ruge Mutahaba afariki dunia, Rais Magufuli amlilia

MKURUGENZI wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group, Ruge Mutahaba amefariki dunia leo nchini Afrika Kusini alipokuwa akipatiwa matibabu. Anaripoti Khalifa Abdallah...

Habari za SiasaTangulizi

Kambi Maalim Seif waiangukia mahakama

WABUNGE wa Chama cha Wananchi (CUF), wamelalamikia hatua ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, kuchelewa kutoa maamuzi kwenye mashauri kadhaa yaliyofunguliwa na...

Habari za Siasa

Walevi wa ngono kukiona  

WATU wanaopenda kufanya ngono na wanafunzi wa Shule za Msingi na Sekondari nchini sasa kukamatwa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kazi ya kuanza kukabiliana...

Habari za Siasa

Polisi wapeleka majonzi Chadema

JESHI la Polisi mkoani Morogoro limewasaka, kuwanasa na kisha kuwapandisha kizimbani wabunge wawili kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema). Anaripoti Mwandishi Wetu Morogoro…(endelea).  ...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu anusurika kukamatwa

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, imekataa ombi la serikali kutaka itolewe hati ya kukamatwa mwanasiasa wa upinzani nchini, Tundu...

Makala & UchambuziTangulizi

“Haki inayocheleweshwa ni haki inayonyimwa.”

NI wachache kati ya wananchi wanaokuwa kwenye ukumbi wa mahakama huendelea kutarajia kusikia hukumu ya kesi wanayoifuatilia baada ya kumuona asiyekuwa jaji msikilizaji...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee achomoka mahabusu

HALIMA Mdee, Mbunge wa upinzani katika jimbo la Kawe, jijini Dar es Salaam amepata dhamana leo baada kukaa ndani kwa saa 24. Anaripoti...

Habari za Siasa

Kubenea kutumia Sh. 15 mil, kukarabati soko la Manzese  

MBUNGE wa Ubungo (Chadema), Saed Kubenea, ameahidi kusaidia kiasi cha Sh. 15 milioni ili kufanyia ukarabati wa soko la kuku lililopo katika kata...

Habari za Siasa

Kubenea ashtukia ufisadi wa Mil.100 soko la Manzese

ZIARA  ya Saed Kubenea Mbunge wa Jimbo la Ubungo amebaini ufisaidi wa Sh. 100 milioni kwenye machinjio ya kuku kwenye soko la Manzese....

Habari za Siasa

Zitto aanzisha mashambulizi CCM, serikali

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini ameivaa serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) kwamba ni katili. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kwenye ukurasa...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge mwingine wa upinzani akamatwa

MBUNGE wa upinzani katika jimbo la Kawe, jijini Dar es Salaam, Halima James Mdee, anashikiliwa na jeshi la polisi nchini. Anatuhumiwa kutoa kauli...

Habari za Siasa

Sumaye apokea msaada wa Pikipiki

CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika Kanda ya Pwani, kimekabidhiwa pikipiki nne kwa ajili ya kujiandaa na uchaguzi wa Serikali za Mitaa...

Habari za Siasa

Halima Mdee: Nimeitwa polisi, sijui kuna nini?

HALIMA Mdee, Mbunge wa Kawe na Mwenyekiti  wa Baraza la Wanawake Chadema (BAWACHA), amepokea wito wa Kamanda wa Upelelezi (RCO) Mkoa wa Kipolisi...

Habari za Siasa

Vitambulisho vya ujasiriamali ni bomu-Chadema

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimelalamikia uanzishwaji wa mradi wa serikali wa ugawaji vitambulisho vya wajasiriamali wadogo na kwamba, ni bomu linalosubiriwa...

Habari za SiasaTangulizi

CUF Maalim: Tunahofia Jaji ametishwa

CHAMA cha Wananchi (CUF), kinachoongozwa na Maalim Seif Sharif Hamad, umedai kuwa kuna mkakati unaopangwa na baadhi ya maofisa wandamizi wa serikali, kumshinikiza...

Makala & UchambuziTangulizi

Nani aweza kumuamini tena Prof. Lipumba?

Na Saed Kubenea PROF. Ibrahim Haruna Lipumba, anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi, kuwa ndiye mwenyekiti wa Chama...

Habari za Siasa

Waziri azuia wananchi kumpongeza Rais Magufuli

LUHAGA Mpina Waziri wa Mifugo na Uvuvi,  amepiga marufuku makongamano ya wafugaji ya kumpongeza Rais John Magufuli,  kwa muda mpaka pale kazi waliyopewa...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama kuhitimisha safari ya Prof. Lipumba kisiasa?

KESHO tarehe 22 Februari 2019, Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Msajili wa Vyama vya Siasa, anaweza kuhitimisha...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba azidi kujianika  

MWENYEKITI asiyetambuliwa na wanachama wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba, amemtuhumu Katibu Mkuu wa chama hicho, Maalim Seif Shariff Hamad, kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto kufuata nyayo za Tundu Lissu

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe amefuata nyayo za Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu, kufanya ziara nchini Ujerumani. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Tuhuma za ushirikina zamtisha Waziri Majaliwa

MIGOGORO, kutoelewana na tuhuma za ushirikina kwa wafanyakazi wa serikali zimekuwa zikisababisha kupungua kwa ufanisi katika utendaji kazi ofisini. Anaripoti Mwandishi Maalum … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Kamatakamata; Lijuakali, Kiwanga wawindwa

PETER Lijuakali, Mbunge wa Kilombero na Susan Kiwanga, Mbunge wa Jimbo la Mlimba yote ya mkoani Morogoro wanawindwa na Jeshi la Polisi. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Barrick kulipa kiporo cha dola 300 mil

RAIS John Magufuli amefanya mazungumzo na Afisa Mwendeshaji Mkuu wa Kampuni ya Barrick Gold anayeshughulikia Afrika na Mashariki ya Kati, Dk. Willem Jacobs...

Habari za Siasa

Chadema, serikali wavutana kuhusu Lissu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kutishika na matamshi wanayodai kutolewa na mmoja wa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tano na...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba aanza kupotea

KATIBU Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad, amemzidi kete, Prof. Ibrahim Lipumba, mwenyekiti wa chama hicho anayetambuliwa na Msajili...

Habari za Siasa

Kesi kupinga matokeo ya urais: Tanzania yapewa siku 45 kujitetea  

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imepewa siku 45 na Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu  (ACHPR) kupeleka majibu yake katika...

Habari za Siasa

CUF Lipumba; Tumeathirika

UAMUZI wa kufutwa kwa Bodi ya Chama cha Wananchi (CUF) uliotolewa jana tarehe 18 Februari 2019 na Jaji Benhajj Masoud kutaathiri shughuli za...

Habari za SiasaTangulizi

‘Bao la Mkono’ lamtoa chozi Nape 

NAPE Nnauye, Mbunge wa Jimbo la Mtama mkoani Lindi sasa anajutia kauli yake ‘bao la mkono’ aliyoitoa miaka minne iliyopita. Anaripoti Bupe Mwakiteleko...

Habari za Siasa

Lipumba chali, Maalim Seif aanza kumpekua

PROFESA Ibrahimu Lupumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa ameangukia pua. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Matiko ‘ngoma bado mbichi’

MAHAKAMA ya Rufani leo tarehe 18 Februari 2019 imeanza kusikiliza rufaa ya serikali ya kupinga uamuzi wa Mahakama Kuu wa kusikiliza rufaa ya...

Tangulizi

Rufaa ya Mbowe ulinzi mkali waimarishwa

ULINZI makali umeimarishwa na Jeshi la Polisi na Magereza kwenye Mahakama ya Rufani wakati mahakama hiyo ikijiandaa kutoa uamuzi wa rufaa ya Freeman Mbowe na...

Habari za Siasa

Fatuma Karume: Naachia ngazi TLS

FATUMA Karume, Rais wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) hatogombea tena nafasi hiyo baada ya kustaafu Aprili mwaka huu. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba, Maalim Seif nani kununa leo?

UAMUZI utakaofikiwa leo tarehe 18 Februari 2019 na Jaji Benhajj Masoud wa Mahakama Kuu, Kanda ya Dar es Salaam kuhusu wajumbe halali wa...

Habari za SiasaTangulizi

Hakuna serikali moja – Dk. Shein

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Ali Mohamed Shein amekana kuwepo mpango wa kuupeleka Muungano wa Tanzania kuwa wa...

MichezoTangulizi

Kocha wa Simba afichua siri ya ushindi dhidi ya Yanga

BAADA ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Yanga, kocha mkuu wa Simba, Patrick Aussems, amedai kuwa klabu yake ilistahili kushinda...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda aungana na wanaomgwaya Lissu

MKUU wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, amedai kuwa mwanasiasa mashuhuri nchini kwa sasa, Tundu Lissu, asijadiliwe kwa kuwa hajaweza kupona...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema kuvunja ‘mwiko’ wa JPM

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimepanga kuvunja kauli ya Rais John Magufuli ya kukataza mikutano ya hadhara. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Kimeeleza...

Habari za SiasaTangulizi

Kubenea atoa neno zito, agawa madawati

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Ubungo, Saed Kubenea, amekabidhi madawati 290 yatakayotumika katika shule za Msingi na...

Habari za Siasa

Viongozi Serikali ya mitaa watakiwa kushirikiana na wananchi

MBUNGE wa Bahi, Omary Badwel (CCM) amewataka viongozi wa serikali za mitaa kujenga tabia ya kuwashirikisha wananchi wao pale wanapohitaji kuanzisha miradi mipya....

Habari za Siasa

Mpambano mzito Ndugai vs Zitto

KESI ya kikatiba inayohusu kinga ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) na Mamlaka ya Bunge kuhoji wenye kinga...

Habari za Siasa

Chadema yaibua maswali tata kauli ya Lugola

MSUGUANO kati ya Serikali ya Jamhuri na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kuhusu Tundu Lissu unaendelea ambapo sasa Chadema inahoji maswali matatu...

Habari za Siasa

Chadema: Tundu Lissu ana baraka zetu

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimesema kinakubaliana na ziara anazofanya Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu nje ya nchi. Anaripoti Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Rufaa yawakwamisha Mbowe, Matiko

UAMUZI wa Rufani ya Freeman Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia (Chadema)-Taifa na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime vijijini umekwamisha usikilizwaji wa kesi...

Habari za SiasaTangulizi

Lissu: Ninamashaka na wanaotaka nirejee

MWANASIASA mashuhuri nchini na ambunge wa upinzani katika jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu, ametilia mashaka “uadilifu” wa watu wanaomng’ang’aniza kurejea nyumbani. Anaripoti...

error: Content is protected !!