Friday , 19 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Kiwanda cha Bora chateketea kwa Moto
Habari MchanganyikoTangulizi

Kiwanda cha Bora chateketea kwa Moto

Spread the love

KIWANDA cha Bora kilichopo maeneo ya Tazara, barabara ya Nyerere jijini Dar es Salaam kinawaka moto. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Taarifa za awali zinaeleza kuwa, kiwanda hicho kinachotengeneza viatu kimeanza kuungua tangu majira ya saa 10 alfajiri ya leo tarehe 28 Februari 2019.

Kikosi cha zimamoto kiko eneo la tukio kinaendelea na jitihada za kuuzima moto huo.

Endelea kufuatilia MwanaHALISI ONLINE kwa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

BiasharaHabari Mchanganyiko

NMB Pesa Akaunti yawavutia wakaguzi wa ndani Afrika

Spread the loveUbunifu wa bidhaa bora wa Benki ya NMB pamoja na...

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari Mchanganyiko

Carbon First, Ruangwa wasaini makubaliano ya biashara ya hewa ukaa

Spread the love  KAMPUNI ya Carbon First Tanzania Limited na Halmashauri ya...

error: Content is protected !!