Saturday , 4 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

MichezoTangulizi

Kipigo cha mvuruga kocha wa JS Saoura

KIPIGO cha bao 3-0 kutoka kwa Simba, kimemvuruga Kocha Mkuu wa JS Saoura, Nabil Neghiz, hali iliyompelekea kushusha lawama kwa mwamuzi wa mchezo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Shein ajigamba kupunguza utegemezi Z’bar

RAIS wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Shein amesema utegemezi wa fedha katika bajeti ya serikali yake umepungua kutoka asilimia  30...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli agoma kuzungumza na wapinzani

RAIS wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, “amegoma” kuzungumza na vingozi wenzake wa vyama vya siasa, akidai kwamba “waweza kumteketeza.” Anaripori Regina Mkonde...

Habari za Siasa

Serikali yawasilisha hoja 10, Mahakama kutoa maamuzi J’tatu

SERIKALI imewasiliasha hoja 10 kesi ya kupinga Muswa wa Sheria ya vyama vya siasa iliyofunguliwa na Zitto Kabwe Kiongozi wa ACT-Wazalendo wa Wenzake....

Habari za Siasa

Rais Magufuli akabidhi ndege zake kwa ATCL

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli ameagiza ndege mbili kati ya tatu zilizo chini yake, kukabidhiwa kwa Shirika la...

Habari za Siasa

Mwanasiasa mkongwe awapa somo watumishi vijana

WATUMISHI wa serikali na taasisi mbalimbali nchini ambao bado ni vijana wametakiwa kufanya kazi zao kwa uhaminifu na uzalendo kwa faida ya jamii...

Habari za Siasa

Kada BAVICHA atoweka, Chadema wahaha kumsaka

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetoa wito kwa Jeshi la Polisi, vyombo vya dola na wananchi kumtafuta Mwenyekiti wa Baraza la Vijana...

Habari za SiasaTangulizi

Sakata la Prof. Assad; Zitto, Spika Ndugai wapambana kimataifa

NI kama vile sakata la Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof....

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Assad: Spika Ndugai aheshimu Katiba ya Nchi

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Asaad, “amemvua nguo” Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

JPM atema nyongo, asema ‘sitoacha kutumbua’

SIKU moja baada ya kufanya mabadiliko madogo serikalini, Rais John Magufuli amesema kuwa, hatokoma kuteua viongozi wapya na au kutengua uteuzi wa viongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai awaombea likizo mawaziri, JPM amgomea

SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Ndugai amewaombea likizo mawaziri na manaibu waziri kwa Rais John Magufuli. Anaripoti Regina...

Habari za Siasa

CCM wajipanga kumrudisha Rais Magufuli 2020

MWENYEKITI wa Jumuiya ya wazazi CCM Taifa, Dk. Edmund Mndolwa amewaagiza wajumbe wa Baraza Kuu la Wazazi kujipanga kikamilifu ili wamrudishe madarakani Rais...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli apangua tena serikali yake

RAIS wa Jamhuri, Dk. John Pombe Magufuli, amefanya mabadiliko madogo katika serikali yake. Ameteuwa waziri mmoja mpya; amehamisha mwingine na ameteuwa makatibu wakuu...

Habari MchanganyikoTangulizi

Tanzania wasaka soko la korosho Algeria

SERIKALI imefanya mazungumzo na Algeria kuhusu masuala ya diplomasia ya kiuchumi, ambapo nchi hiyo imeonyesha nia ya kutaka kununua korosho za Tanzania. Anaripoti...

Habari za Siasa

Spika Ndugai, ang’ang’aniwa mithili ya mpira wa kona

RAIS wa Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS), Fatma Karume na Mbunge wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), wamekosoa kauli ya Spika wa Bunge, Job Ndugai,...

Habari za SiasaTangulizi

Ndugai acharuka Bunge kuitwa dhaifu, ataka pingu zitumike

SPIKA wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai, ameagiza kufika mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka, Mdhibiti...

Habari za Siasa

Wazee wa Chadema: Muswada wa vyama vya siasa, kaburi la demokrasia

MUSWADA wa Vyama vya Siasa waendelea kupingwa na vyama vya upinzani nchi kwa kilichotajwa kuwa kaburi la Demokrasia. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Viwanja 14 kuuzwa kwa mnada Dodoma

HALIMASHAURI ya  Jiji la Dodoma linakusudia kuuza viwanja  maalum 14 kwa njia ya mnada utafanyika siku ya Alhamisi 10 Januari mwaka huu. Anaripoti...

Habari za Siasa

Waziri wa zamani wa Z’bar kuundiwa zengwe la uhaini

SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano inamuandalia Mansour Yussuf Himid mashitaka ambayo akishasomewa mbele ya mahakama atapelekwa gerezani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Mansour...

Habari za SiasaTangulizi

Waitara aanza mbio za kutaka kumng’oa Heche

MBUNGE wa Ukonga (CCM), Mwita Mwaikabe Waitara, ameanza kampeni za “kumdhoofisha” na hatimaye kumng’oa, hasimu wake mkuu kisiasa, mbunge wa Chadema katika jimbo...

Habari za Siasa

Mbunge wa Chadema aanika madudu ununuzi wa korosho

MBUNGE wa Jimbo la Ndanda (Chadema), Cecil Mwambe amevunja ukimya juu ya manyanyaso wanayopata wananchi wa mikoa ya kusini katika mchakato wa Serikali...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama Kuu yazuia ‘njama’ za Serikali

MWANASHERIA Mkuu wa Serikali (AG), amegonga mwamba mahakamani. Ni baada ya jopo la majaji watatu wa Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam,...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto afungua kesi kupinga muswada, yahairishwa mpaka mchana

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe na wenzake wawili, Joran Bashange na Salim Bimani wamefungua kesi Mahakama Kuu ya Tanzania kupinga Muswada...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Safari aongoza jopo la mawakili kuikoa Chadema

MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tanzania Bara, Prof. Abdallah Safari, sasa atakuwa amejitosa rasmi kuokoa chama chake. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto: Wabunge ‘makasuku’ wanatukwamisha Bungeni

KIONGOZI wa Chama cha ACT-Wazalendo ameeleza kuwa wingi wa wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) bungeni kuna kwamisha maslahi ya wananchi kutokana kutumia...

Habari za SiasaTangulizi

Vigogo hawa kutikisa Kisutu leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo inatarajia kusikiliza kesi ya vigogo tisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)....

Habari za SiasaTangulizi

Bulaya amvaa tena Rais Magufuli, amwambia hajamaliza kazi

BAADA Ya Rais John Magufuli kufuta kanuni mpya ya kikokotoo cha mafao ya watumishi wa umma iliyotokana na Sheria ya Mifuko ya Hifadhi...

Habari za SiasaTangulizi

Ester Bulaya amtaka ‘waziri wa kikokotoo ang’oke’

MBUNGE wa Bunda Mjini, Ester Bulaya amemtaka Rais John Magufuli kumfukuza kazi Waziri wa Sera, Bunge, Ajira, Vijana, na Walemavu, Jenista Mhagama, kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Abdul Nondo arejea UDSM

ZIMEBAKI siku mbili kwa Abdul Nondo, Mwenyekiti wa Mtandao wa Wanafunzi Tanzania (TSNP) kurejea chuoni (Chuo Kikuu cha Dar es Salaam-UDSM) baada ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mchungaji: Mkristo kukwepa kodi ni dhambi kubwa

MCHUNGAJI Kiongozi wa kamisa la Evangelisim Assembless Of God Tanzania (EAGT) Ipagala, Evanci Chande amewaonya wakristo wafanyabiashara ambao wamekuwa wakikwepa kulipa kodi ya...

MichezoTangulizi

Matukio ya michezo/sanaa yaliyotikisa 2018

MWAKA 2018 unafikia tamati, katika miezi 12 inayokamilika leo wapo watu wanauaga mwaka kwa machungu yasiyosahaulika kwenye maisha yao milele lakini wapo wanaouona...

Habari za SiasaTangulizi

Chungu na tamu ya siasa 2018

TAMATI ya mwaka 2018 inakaribia, yapo yaliyofurahisha na kuchukiza. mwaka inakwisha huku taifa likibeba matukio mengi. miongozini mwayo yanahuzunisha na hata kuumiza mtu...

Habari za Siasa

Jiji la Dodoma kujiendesha kwa mapato ya ndani

MKURUGENZI  wa Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi amesema kuwa jiji hilo linatarajia ifikapo mwaka 2021 jiji hilo litakuwa likijitegemea kwa mapato ya ndani. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yaanika hali ya uchumi nchini

PAMOJA na watanzania wengi kuendelea kulalamika kwa madai kuwa wana hali mbaya ya kiuchumi serikali imesema kuwa uchumi wa taifa huko imara na...

Habari za SiasaTangulizi

Katibu Mkuu Chadema, wenzake saba ‘wasukumwa ndani’

KATIBU Mkuu wa Chadema, Dk. Vincent Mashinji ‘amesukumwa ndani’ na wenzake saba mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Jeshi la Polisi mkoani humo...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu aagiza wakazi wa Dodoma kulipwa fidia

WAZIRI Mkuu Kasimu Majaliwa amemuagiza Mkurugenzi Jiji la Dodoma, Godwin Kunambi kuweka utaratibu wa kuwafidia watu wanaopisha maeneo yao. Anaripoti Dany Tibason, Dodoma...

Habari za SiasaTangulizi

Kwa heri Pascal Ndejembi, utakumbukwa kwa mengi

WINGU zito limetanda katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Dodoma, kutokana na aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa  Chama hicho Mkoani hapa na Mwenyekiti...

Habari MchanganyikoTangulizi

Kiza kinene kimeikumba nchi

GIZA limetanda katika maeneo yote yanayopata umeme kupitia gredi ya taifa jijini Dar es Salaam na mikoa mingine nchini. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za Siasa

Kikokotoo chaondoka na Mkurugenzi SSRA

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dk. Irene Isaka. Anaripotu Yusuph...

Habari za Siasa

Rais Magufuli ametufanya tutembee kifua mbele – Zitto

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), amesema kuwa hatua ya Rais John Magufuli, kuzuia matumizi ya kanuni mpya za vikokotoo kwa ajili ya wafanyakazi...

Habari za Siasa

Jicho la Rais Magufuli lahamia kwa wastaafu hewa

RAIS John Magufuli amewataka watendaji katika mifuko ya hifadhi ya jamii kuboresha daftari la orodha ya majina ya wastaafu, ili kuondoa mapungufu yaliyopo...

Habari za SiasaTangulizi

Magufuli asalimu amri kwa wafanyakazi

HATIMAYE Rais John Pombe Magufuli, amesikia kilio cha wafanyakazi nchini. Amefuta angalau kwa muda, matumizi ya kanuni mpya ya kikokotoo cha mafao ya...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Magufuli kukata mzizi wa fitina kikokotoo cha mafao

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. John Magufuli leo tarehe 28 Desemba 2018 atakutana na viongozi wa vyama vya wafanyakazi nchini,...

Habari za Siasa

Mrema akubali muswada wa vyama vya siasa, aomba ruzuku

MKONGWE wa Siasa Nchini na Mwenyekiti wa chama cha TLP, Augustino Lyatonga Mrema, ameitaka serikali inapofanya marekebisho ya vyama vya siasa iweze kuangalia...

Habari MchanganyikoTangulizi

Fastjet, serikali sasa hapatoshi

SIRI kuu juu ya kampuni ya ndege ya Fastjet, kusitisha shughuli zake za usafirishaji wa abiria nchini, imefichuka. Anaripoti Regina Mkonde …. (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Nusura ya MV. Nyerere kutokea Mafia

IKIWA ni miezi minne tangu Tanzania kupoteza zaidi ya watu 200 katika Ziwa Victoria kwenye ajali ya MV. Nyerere, watu 75 wamenusurika kufa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Makonda: Bila Neno la Mungu, Magereza, polisi hawatatosha

PAUL Makonda, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam amesema, Magereza na Polisi hawatatosha iwapo Neno la Mungu halitafanya kazi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Chadema waanza kupanga safu yao ya uongozi

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeanza maandalizi ya uchaguzi ndani wa ndani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Wakati harakati hizo zikiendelea Mwenyekiti...

Makala & Uchambuzi

Krisimasi yaweza kuwa mwarobaini wa  uhasama wa kidini?

KILA mwaka, siku kama ya leo – tarehe 25 Desemba – Wakristo duniani kote, huungana kusheherekea sikukuu ya Krisimasi. Anaandika Mwanadishi Maalum … (endelea)....

Habari MchanganyikoTangulizi

Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani

LEO si Sikukuu ya Krismasi ambapo waumini Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) zaidi Mil 6.5 wanatarajia kusomewa waraka huo uliobeba manung’uniko,...

error: Content is protected !!