Tuesday , 5 December 2023
Home Habari Mchanganyiko Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani
Habari MchanganyikoTangulizi

Ujumbe wa manung’uniko, kilio kusomwa makanisani

Askofu Mkuu wa KKKT Askofu Dk. Frederick Shoo
Spread the love

LEO si Sikukuu ya Krismasi ambapo waumini Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) zaidi Mil 6.5 wanatarajia kusomewa waraka huo uliobeba manung’uniko, majonzi kulingana na hali ilivyo kwa sasa. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea).

Waraka huo uliotolewa na Mkuu wa KKKT, Askofu Frederick Shoo utasomwa leo kwenye makanisa hayo ukijikita katika kuishauri serikali kusimamia haki ili hupunguza manung’uniko kwa Wananchi.

Ujumbe huo unaonesha namna wananchi wanavyopoteza matumaini huku wakijaa manung’uniko kutokana na hali zao za maisha.

Umeeleza namna jamii inavyopita kwenye changamoto kubwa ikiwa ni pamoja na vitendo vya ubakaji, ukeketaji pia ndoa za utoni na kila aina ya mateso.

Dk. Shoo ameeleza kuwa, matatizo mengine yanatokana na umasikini wa Wananchi unaosababisha kuibuka kwa manung’uniko na hofu katika maisha ya Watanzania hivyo kuoelekea kukosa matumaini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

TMA yaagizwa kutangaza mafanikio yao kikanda, kimataifa

Spread the love  KATIBU Mkuu Wizara ya Uchukuzi, Prof. Godius Kahyarara ameiagiza...

Habari Mchanganyiko

NMB yasaidia waathirika wa mafuriko, maporomoko Hanang

Spread the loveWaathirika wa maporomoko ya tope Wilayani Hanang, mkoani Manyara, waliopoteza...

Habari Mchanganyiko

TPF-NET Arusha yaonya jamii ya wafugaji zinazoendeleza ukatili wa watoto na wanawake

Spread the love  MTANDAO wa Polisi wanawake wa Arusha kuelekea siku 12...

Habari Mchanganyiko

Taasisi ya Mwalimu Nyerere, Greyhorse zasaini mkataba wa bil.7.4

Spread the loveTAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) imesaini mkataba wa miaka 10...

error: Content is protected !!