Thursday , 7 December 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Kikokotoo chaondoka na Mkurugenzi SSRA
Habari za Siasa

Kikokotoo chaondoka na Mkurugenzi SSRA

Spread the love

RAIS John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Dk. Irene Isaka. Anaripotu Yusuph Katimba…(endelea).

Taarifa iliyotolewa na Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu imeeleza kuwa, Dk. Irene atapangiwa kazi nyingine.

Hatua hiyo imechukuliwa na Rais Magufuli muda mchache baada ya kufanya mkutano na wawakilishi wa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii, serikali na vyama vya wafanyakazi ambapo alionesha kutoridhishwa na mfumo mpya wa kikokotoo.

Mfumo wa awali ukiruhusu mstaafu kuchukua asilimia 50 kwa mkupuo kisha zilizobaki akiendela kupewa kidogo kidogo.

Mfumo wa Sasa ulijielekeza kutoa kwa mkupuo asilimia 25 jambo ambalo lilikuwa likilalamikiwa.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Bashungwa: Katesh kutafanyiwa usafi wa hali ya juu

Spread the loveWAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema kazi ya kuondoa tope...

AfyaHabari za Siasa

RAS Songwe: Tumepigwa… mkurugenzi nakupa siku 21

Spread the loveKATIBU tawala mkoani Songwe, Happines Seneda ametoa siku 21 kwa...

Habari za Siasa

Dk. Biteko: Viongozi tuache alama nzuri katika utendaji wetu

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari za SiasaTangulizi

Chanzo maporomoko yaliyoua 65 Hanang, chatajwa

Spread the loveSERIKALI imesema kumeguka kwa sehemu ya Mlima Hanang ambao ilikuwa...

error: Content is protected !!