Saturday , 4 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari MchanganyikoTangulizi

Mahakama yamwachia huru Tido Mhando

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu imemwachia huru aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando leo tarehe 25 Januari, 2019...

ElimuTangulizi

NECTA yatangaza matokeo ya kidato cha nne 2018

MATOKEO ya mtihani wa kidato cha nne ya watahiniwa wa shule yanaonesha kuwa idadi ya watahiniwa waliofaulu imeongezeka kwa asilimia 1.29 kutoka asilimia...

Habari za Siasa

Kada wa CCM awavaa Zitto, Lissu, amsifia JPM

MJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi CCM (NEC), Mussa Mwakitinya maarufu kwa jina la ‘Mwana wa Mungu’ amewashambulia wabunge wa upinzani...

Habari za SiasaTangulizi

Muswaada wa Vyama vya Siasa, unavunja Katiba            

MUSWAADA wa Vyama vya Sisasa uliowasilishwa bungeni na serikali kwenye mkutano uliyopita wa Bunge na ambao umeanza kujadiliwa kwenye ngazi ya Kamati, umebeba...

Habari za SiasaTangulizi

JPM ajibu kombora la Mchungaji KKKT

RAIS John Magufuli amejibu hoja iliyoibuliwa na Amani Lyimo, Mchungaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) kwamba, ‘amebana’ demokrasia nchini. Anaripoti Faki...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu ampa ‘live’ JPM kuhusu demokrasia

RAIS John Magufuli ameshauriwa ‘kulegeza’ kidogo demokrasia ili Watanzania wapate afueni kutokana na sasa kujaa hofu. Anaripoti Yusuph Katimba … (endelea). Akizungumza kwenye...

Habari za Siasa

Viongozi wa dini wavutana mbele ya Rais Magufuli

ASKOFU wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Mchungaji Amani Lyimo amevutana na Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat...

Habari za Siasa

Askofu: Mivutano ya dini na serikali iangaliwe

KUMEKUWEPO na mifutano baridi kati ya taasisi za dini na serikali hasa katika utoaji wa huduma za kijamii jambo ambalo linasababisha kuwepo kwa...

Habari za Siasa

Kilio uvunjwaji msikiti UDOM chafikishwa JPM

KILIO kinachotokana na uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma kuamuru kuvunjwa kwa msikiti uliokuwa ukijengwa kwa ajili ya ibada ya waumini wa Dini...

Habari MchanganyikoTangulizi

IGP Sirro amnyoosha Waziri Lugola  

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IJP), Simon Sirro, amefanya mabadiliko madogo kwa makamanda watatu wa mikoa wa polisi. Miongoni mwa waliobadilishwa, ni...

Habari za Siasa

Askofu Gwajima amfananisha Rais Magufuli na Nabii

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Dk. Josephat Gwajima amemfananisha Rais John Magufuli na Nabii. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Akichangia...

Habari za Siasa

Halima Mdee ajieleza mbele ya Kamati ya Bunge

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee amefika mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuhojiwa kufuatia...

Habari za SiasaTangulizi

Imevuja; CAG ‘aliilewesha’ kamati iliyomuhoji

TAARIFA kutoka ndani ya kamati iliyomuhoji Prof. Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) jana Jumatatu, ‘ilibaki mdomo wazi’....

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lamhoji Prof. Assad kwa saa nne 

PROF. Mussa Assad, mkaguzi na mdhibiti mkuu wa hesabu za serikali (CAG), amemaliza kuhojiwa na Kamati ya Haki, Kinga, Maadili na Madaraka ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG awasili bungeni, mfumo wa kumhoji ni huu

PROFESA Mussa Assad, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) amewasili bungeni kuitikia wito uliotolewa na Job Ndugai, Spika wa Bunge...

Habari za Siasa

Yametimia; Prof. Assad atua bungeni na ushahidi wake

MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, tayari yupo Dodoma “kukabiliana” na Kamati ya Kudumu ya Bunge ya...

Habari za SiasaTangulizi

John Shibuda: Muswada wa vyama unamchafua Rais Magufuli 

KATIBU Mkuu wa chama cha ADA-TADEA, John Magale Shibuda, amedai kuwa muswada mpya wa vyama vya siasa uliowasilishwa bungeni na serikali, umelenga “kuichafua...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba amgeuka Jaji Mutungi

MTAFARUKU mkubwa umeibuka ndani ya Kamati ya Bunge ya Katiba na Sheria, kufuatia mwenyekiti wa kamati hiyo, Mohammed Nchengerwa, kuamuru pande mbili zinazopingana...

Habari za Siasa

ACT-Wazalendo yabariki CCM kumsulubu Zitto

WAKATI Wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wakipanga kumsulibu Zitto Kabwe, Chama cha ACT Wazalendo kimebariki mkakati huo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

Habari za Siasa

‘Muswada vyama vya siasa una vionjo vya ugaidi’

MUUNDO wa Muswada wa Sheria ya Vyama vya Siasa, uliowasilishwa bungeni na Serikali ya Jamhuri, unatajwa kusheheni vimelea vya sheria ya ugaidi. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

Tundu Lissu ashitukia njama za kumvua ubunge

MBUNGE wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), katika jimbo la Singida Mashariki, Tundu Lissu, amefichua mpango wa siri wa kutaka kumvua ubunge...

Habari za Siasa

Msajili wa Vyama vya Siasa ‘akaangwa’ bungeni

JAJI Francis Katabazi Mutungi, ameonywa kutojilimbikizia madaraka na kutaka kujiwekea kinga ya kutoshitakiwa mahakamani wakati yeye amebeba roho ya umma. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto azidi kuwavuruga CCM, Wabunge wake waazimia kumkabili

WABUNGE wote wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wameazimia kwa pamoja kuhakikisha wanakabiliana na mbunge wa Kigoma Mjini, Zito Kabwe (ACT-Wazalendo) kwa madai kuwa...

Habari za SiasaTangulizi

Kigogo CUF asota rumande

MJUMBE wa Baraza Kuu la Uongozi la CUF Taifa, Abdallah Khatau leo amefikisha siku ya tano akiwa rumande huku polisi wakigoma kumpa dhamana....

Habari za SiasaTangulizi

Zitto atishiwa kuuwawa

ZITTO Kabwe, Kiongozi Mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo amedai kuwa, anatishiwa kuuwawa. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Zitto amesambaza taarifa huyo kwenye mtandao...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto Kabwe ‘afukuzwa Bungeni’

MBUNGE wa Kigoma Mjini (ACT-Wazalendo), Zitto Zuberi Kabwe, amefurushwa bungeni. Ni baada ya kuamriwa kutoka nje ya Kamati ya Bunge ya Katiba na...

Habari za Siasa

Meya Mwanza atimua waandishi

JAMES Bwire, Meya wa Jiji la Mwanza hana urafiki na waandishi wa habari kwa madai wanabagua. Anaripoti Moses Mseti…(endelea). Pia Bwire ametoa sababu nyingine kuwa,...

Habari za Siasa

JPM akabidhiwa mfumo wa kusimamia mawasiliano, atoa maagizo

RAIS John Magufuli leo tarehe 18 Januari 2019 amekabidhiwa rasmi Mfumo wa Usimamizi wa Mawasiliano ya Simu (TTMS) unaosimamiwa na Mamlaka ya Mawasiliano...

Habari za SiasaTangulizi

Mgogoro wa Spika Ndugai, Prof. Assad watua kwa JPM  

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Tanzania amefikisha kiaina mgogoro unaovuma kwa sasa kati yake na Prof. Mussa Assad, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu...

Habari za SiasaTangulizi

CAG amng’ang’ania Spika Ndugai

PROF. Mussa Assad, Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), apigilia msumali kauli yake kuwa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa...

Habari za SiasaTangulizi

Afya ya Mbowe kizungumkuti Segerea

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimetuma mawakili wake kwenda kufuatilia ukweli kuhusu taarifa za ugonjwa wa Freeman Mbowe, mwenyekiti wa chama hicho...

Habari za Siasa

Wateule wa JPM watwangana Makonde

SIO jambo la kawaida kwa viongozi wa serikali kutwangana Makonde hadharani lakini hii imetokea katika Halmashauri ya Wilaya ya Mwanga mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu awaombea ajira vijana kwa waandisi

WAZIRI Mkuu Kasim Majaliwa amewataka waandisi wanaosimamia majengo kuhakikisha wanatoa ajira kwa vijana ili waweze kunufaika na mradi wa ujenzi unaoendelea  mji wa...

Habari za Siasa

Serikali yamvaa Lissu

SERIKALI ya Tanzania imedai kuwa, Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki ni muongo. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Imeeleza, wakati Lissu akihojiwa na...

Habari za Siasa

Spika Ndugai alia na Zitto

ZITTO Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini ni mwanasiasa anayemsumbua Spika wa Bunge la Jamhuri, Job Ndugai. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Kauli hiyo imetolewa na...

Habari za Siasa

Wadau waanza kutoa maoni Muswada wa Vyama vya Siasa

KAMATI ya Katiba na Sheria ya Bunge la Jamhuri, leo imeanza rasmi kupokea maoni ya wadau juu ya muswada wa sheria vya vyama...

Habari za Siasa

Mbowe mgonjwa, ashindwa kufika mahakamani

MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe, ni mgonjwa, hali iliyopelekea kushindwa kufika mahakamani. Anaripoti Faki Sosi … (endelea). Hayo...

Habari za SiasaTangulizi

Sera za Lissu Ulaya hizi hapa

TUNDU Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki yupo ziarani Ulaya na sasa ameanza kueleza sera zake pale atakapochaguliwa na Watanzania kuwa rais wao. Anaripoti...

Habari za SiasaTangulizi

CCM: Msajili wa Vyama vya Siasa adhibitiwe

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) jana kimepitia na kudadavua Muswada wa Sheria wa Vyama vya Siasa na kubaini udhaifu wake. Anaripoti Faki Sosi …...

Habari za SiasaTangulizi

Kambi ya Upinzani wajipanga kumng’oa Spika Ndugai

KAMBI rasmi ya upinzani Bungeni imepanga msimamo wa kumng’oa Spika wa Bunge, Job Ndugai iwapo hatabadilisha  msimamo wake wa kutangaza kuwa Bunge limesitisha...

KimataifaTangulizi

Al-Shabab yaja na idadi waliouwawa Nairobi, Al-Qaeda washangilia

KUNDI la kigaidi la Al Shabab linalojinasibisha na Uislam lililofanya mashambulizi jana kwenye moja ya jengo kubwa katika Mji Mkuu wa Kenya, Nairobi...

Habari za Siasa

‘Nimejiuzulu Chadema kulinda maisha yangu’

RAPHAEL Mwaitege, Katibu wa Chadema wilayani Mbeya Mjini amejivua uanachama pamoja na nyadhifa zote alizokuwa nazo ndani ya chama hicho, kwa ajili ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mkapa atikiswa, Benk M yafungwa

RAIS mstaafu Benjamin William Mkapa, ameaza “kuonja joto ya jiwe,” baada ya serikali kupitia Benki Kuu ya taifa (BoT), kuifuta rasmi benki ya...

Habari za SiasaTangulizi

Spika Ndugai azidi kumng’ng’ania CAG

JOB Ndugai, Spika wa Bunge la Jamhuri, amezidi kuchochea mgogoro wa kikatiba unaofukuta sasa, kati ya Bunge na Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa...

Habari za Siasa

Mbunge Chadema amvaa Spika Ndugai, ampa kazi ngumu

NAIBU waziri Kivuli wa Nishati na Madini na Mbunge wa Viti Maalumu, Jesca Kishoa (Chadema) amemtaka Spika wa Bunge, Job Ndigai kumuita mwanasheria...

Habari za Siasa

Mahakama yawabwaga wapinzani kesi ya muswada

MAHAKAMA Kuu Tanzania imetulia mbali shauri la kupinga Muswada Sheria ya Vyama vya siasa iliyonguliwa na Zitto Kabwe, Salumu Biman na Joran Bashange....

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Matiko waitwa Mahakama ya Rufaa

KESI ya kupinga kurejeshewa dhamana iliyofunguliwa na serikali dhidi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasim na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe na Mwekahazina wa...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto aibua madai mapya CAG & Ndugai

ZITTO Zuberi Kabwe, mbunge wa Kigoma Mjini na kiongozi mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, ameamua sasa “kulipasua jipu.” Anandika Faki Sosi … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge wamburuza Spika Ndugai kortini

SAKATA kati ya Spika wa Bunge, Job Ndugai na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Prof. Mussa Assad, limeanza kuchukua...

Habari za SiasaTangulizi

Askofu Bagonza: Muswada wa Vyama vya Siasa, ni wa Msajili si wa wananchi.

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli (KKKT), Dayosisi ya Karagwe, Dk. Benson Bagonza, amedai muswada wa vyama vya siasa, “umeandaliwa mahususi...

error: Content is protected !!