Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa ‘Nimejiuzulu Chadema kulinda maisha yangu’
Habari za Siasa

‘Nimejiuzulu Chadema kulinda maisha yangu’

Bendera ya Chadema
Spread the love

RAPHAEL Mwaitege, Katibu wa Chadema wilayani Mbeya Mjini amejivua uanachama pamoja na nyadhifa zote alizokuwa nazo ndani ya chama hicho, kwa ajili ya kunusuru maisha yake. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mwaitege ametangaza uamuzi huo leo tarehe 15 Januari 2019 wakati akizungumza na wanahabari na kudai kwamba, baadhi ya wanachama wenzake wamekuwa wakimtishia maisha yake.

Kutokana na vitisho hivyo, Mwaitege amesema ameamua kupumzika siasa. Hata hivyo, Mwaitege amesema amevutiwa na sera za chama cha CCM.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!