Thursday , 18 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Halima Mdee ajieleza mbele ya Kamati ya Bunge
Habari za Siasa

Halima Mdee ajieleza mbele ya Kamati ya Bunge

Spread the love

MBUNGE wa Kawe, Halima Mdee amefika mbele ya Kamati ya Bunge ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kwa ajili ya kuhojiwa kufuatia kauli za kudhalilisha bunge anazodaiwa kuzitoa mitandaoni. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea).

Mdee amewasili mbele ya kamati hiyo bungeni jijini Dodoma leo tarehe 22 Januari 2019.

Mdee ameingia kwenye kikao hicho kujibu tuhuma zinazomkabili za kumuunga mkono Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Profesa Mussa Assad kuhusu kauli aliyoitoa hivi karibuni ya kuliita bunge dhaifu.

Prof. Assad aliitoa kauli hiyo akiwa nje ya nchi wakati akifanyiwa mahojiano na Idhaa ya Kiswahili ya Umoja wa Mataifa (U.N).

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

Habari za Siasa

CCM yamkana mwenyekiti UVCCM aliyetaka wapinzani wapotezwe

Spread the love  CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimejitenga na kauli ya mwenyekiti...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia kutunukiwa udaktari wa heshima Uturuki

Spread the loveBaraza la Chuo Kikuu cha Ankara, ambacho ni cha pili...

error: Content is protected !!