Categorizing posts based on type of post
HATUA ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutangaza kumvua ubunge mbubge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Arumeru Mashariki,...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2019SPIKA wa bunge Job Ndugai amemwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Joshua...
By Danson KaijageMarch 14, 2019PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa, ameeleza sababu za kufanyika kwa mkutano mkuu wa...
By Hamisi MgutaMarch 14, 2019VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe 14 Machi 2019 wamesomewa upya mashtaka yao kutokana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...
By Faki SosiMarch 14, 2019MADAI ya Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki kwamba, amesitishiwa mshahara na stahili zake zingine za kibunge yameshindwa kupatiwa ufafanuzi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Madai...
By Regina MkondeMarch 14, 2019MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekuja juu baada ya Bunge la Jamhuri kufuta mshahara na posho zake zote. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2019FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, anakumbana na misukosuko mfululizo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Uongozi wa Wilaya...
By Mwandishi WetuMarch 14, 2019RAIS John Magufuli amemkaribisha Rais wa Urusi, Vladmir Putin na wawekezaji kutoka nchi hiyo, kuja kutembelea Tanzania pamoja na kutafuta fursa mbalimbali za...
By Regina MkondeMarch 14, 2019PROFESA Ibrahim Lipumba ametwaa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Miongoni mwa majukumu ya leo...
By Bupe MwakitelekoMarch 13, 2019DIANA Simba, mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) leo tarehe 13 Machi 2019, amejitokeza na kumwaga sera kwamba, anaweza kuongoza chama hicho bila...
By Regina MkondeMarch 13, 2019MBUNGE wa Hai, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko wote Chadema wamekuwa kuvutio katika ukumbi wa Pius Msekwa kwa kushangiliwa...
By Danson KaijageMarch 12, 2019MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) amesema kuwa mpango uliowasilishwa leo na Waziri wa Fedha na Mipango kwa wabunge wote wa...
By Danson KaijageMarch 12, 2019WAZIRI Mkuu Kassm Majaliwa amewataka mawaziri wote kuhakikisha wanahudhuria katika vikao vya kamati za kudumu za bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....
By Danson KaijageMarch 12, 2019SIMU iliyopigwa na Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ‘iliwapoza’...
By Masalu ErastoMarch 12, 2019KAMATI za Bunge la Jamhuri zitaanza kuketi leo tarehe 12 Machi 2019 kufanya kazi mbalimali ikiwa ni pamoja na kupitia matumizi ya Fedha...
By Danson KaijageMarch 12, 2019WAKATI wengine wakimtete Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 na kuamua kuhamia CCM tarehe 1 Machi 2019, Umoja...
By Danson KaijageMarch 11, 2019KEJELI na maneno ya dhihaka yaliyovurumishwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa Edward Lowassa wakati akihamia Chadema, sasa yamebadilika. Anaripoti...
By Mwandishi WetuMarch 11, 2019CHAMA cha Wananchi (CUF) bado kinapita kwenye tanuri la moto ambapo, Maalim Seif Shariff Hamad, katibu mkuu wa chama hicho jana tarehe 11...
By Regina MkondeMarch 11, 2019KESI ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini imekwama baada ya kiongozi huyo mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na wadhamini wake...
By Faki SosiMarch 11, 2019MIKAKATI inayofanywa na Kambi ya Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambiliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ina lengo...
By Faki SosiMarch 11, 2019NDEGE ya kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka Jumapili asubuhi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...
By Mwandishi WetuMarch 10, 2019ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Light House Christian Center Dar es Salaam, Dk. Rejoice Ndalima amewakemea baadhi ya watu ambao wanajiita watumishi wa...
By Danson KaijageMarch 10, 2019MGOGORO ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) unachochewa na waliopo nje ya chama hicho hivyo kuwa na wakati mgumu kumalizwa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Siku...
By Regina MkondeMarch 9, 2019VIJANA kwa wazee mkoani Arusha leo tarehe 9 Machi 2019 wamejitokeza kumpokea Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
By Mwandishi WetuMarch 9, 2019SAED Kubena, Mbunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam ameahidi kukarabati ofisi za walimu ili kutatua kero zao za kufanyia kazi...
By Mwandishi WetuMarch 8, 2019KATIKATI ya mgogoro wa makundi mawili ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Wakala wa Usajili, Udhamini na Ufilisi (Rita) imesajili majina manane kuunda...
By Masalu ErastoMarch 8, 2019HATUA ya Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema kurejea CCM imetajwa kwamba ni usaliti kwa waliomwamini na kumpigia kura kwenye Uchaguzi Mkuu...
By Regina MkondeMarch 8, 2019NAWAKARIBISHA katika safu hii ya Jamvi la Babu Jongo. Babu yenu niko salama na pia namshukuru Muumba kwa kunijaalia afya na uwezo wa...
By Yusuf AboudMarch 8, 2019JESHI la Polisi limezuia vyama vya ACT-Wazalendo na Chadema kufanya maazimisho ya siku ya wanawake katika mikoa ya Katavi na Geita. Anaripoti Regina...
By Regina MkondeMarch 8, 2019MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imewarejesha uraiani wabunge wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (Hai) na Esther...
By Faki SosiMarch 7, 2019KUREJEA kwa Hamis Mgeja katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana tarehe 6 Machi 2019, hakukuwashtua wengi. Anaripoti...
By Regina MkondeMarch 7, 2019SAFARI ya mwisho ya Ephrahim Kibonde, mtangazaji na Mahiri wa Clouds FM aliyekuwa akitangaza kipindi cha Jahazi, ilishika kasi siku ya mazishi ya...
By Bupe MwakitelekoMarch 7, 2019SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7...
By Bupe MwakitelekoMarch 7, 2019PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ameanza kumtumia Edward Lowassa...
By Regina MkondeMarch 6, 2019MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu ya uamuzi wa rufaa ya mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Demokrasia na...
By Faki SosiMarch 6, 2019ALIYEKUWA kada wa miaka mingi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hamis Mgeja, ambaye miaka miwili iliyopita, alikihama chama hicho na kutimkia Chama cha...
By Kelvin MwaipunguMarch 6, 2019HAMISI Mgeja, swahiba wa Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu, leo tarehe 6 Machi 2019 ametangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Kelvin Mwaipungu...
By Kelvin MwaipunguMarch 6, 2019MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji wa rufaa ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...
By Faki SosiMarch 5, 2019MBUNGE wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu, “amempasha,” Prof. Palamagamba Kabudi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lissu...
By Mwandishi WetuMarch 5, 2019SAKATA la kutekwa mfanyabiashara bilionea nchini, Mohammed Dewj limeibuka tena Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya Rais John Magufuli kuibua maswali upya. Anaripoti...
By Regina MkondeMarch 4, 2019SHUGHULI ya kuwaapisha Profesa Palamagamba Kabudi na Dk. Augustine Mahiga Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Machi 2019, imebeba ujumbe kwa Tundu Lissu, Mbunge...
By Regina MkondeMarch 4, 2019WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa, yuko mbioni kueleza ulimwengu, kilichomsukuma kuondoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kurejea Chama...
By Mwandishi WetuMarch 4, 2019MVUA kubwa imenyesha jiji Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumapili na bado inaendelea “kupiga” katika maeneo kadhaa jijini hapa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 3, 2019HATUA ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana tarehe Mosi Machi 2019, kumeibua mjadala mpana uliobeba...
By Bupe MwakitelekoMarch 2, 2019WAZIRI mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa, ametangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Lowassa aliondoka CCM katikati ya mwaka 2015, kufuatia chama hicho...
By Mwandishi WetuMarch 2, 2019WAZIRI Mkuu Mstaafu wa serikali ya awamu ya nne, Edward Lowassa amerejea CCM akitokea Chadema. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Lowassa amerejea CCM...
By Regina MkondeMarch 1, 2019HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepitisha bajeti ya Sh. 180 bilioni kwa lengo la utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa Mwaka ujao wa...
By Danson KaijageMarch 1, 2019MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, imetupilia mbali maombi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga Mahakama Kuu, kusikiliza maombi ya kurejeshewa dhamana kwa wabunge...
By Faki SosiMarch 1, 2019NIA na dhamira ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kuwa mlezi wa Ruge Mutahabu, mwanahabari aliyekuwa mtayarishaji wa vipindi vya Clouds Media Group (CMG) yamekatizwa. Anaripoti Mwandishi...
By Mwandishi WetuMarch 1, 2019HATMA ya rufaa ya Freeman Mbowe, Mwenyekti wa Chadema Taifa na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini itajulikana kesho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....
By Faki SosiFebruary 28, 2019