Saturday , 18 May 2024

Gazeti

Categorizing posts based on type of post

Habari za SiasaTangulizi

Utata mtupu Nassari kuvuliwa ubunge

HATUA ya Spika wa Bunge, Job Ndugai, kutangaza kumvua ubunge mbubge wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), katika jimbo la Arumeru Mashariki,...

Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari

SPIKA wa bunge Job Ndugai amemwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Joshua...

Habari za Siasa

Prof. Lipumba aeleza ‘jeuri’ ya kufanya mkutano mkuu

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa, ameeleza sababu za kufanyika kwa mkutano mkuu wa...

Habari za Siasa

Mbowe, wenzake wapangiwa hakimu mwingine, wasomewa mashataka upya

VIONGOZI waandamizi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) leo tarehe 14 Machi 2019 wamesomewa upya mashtaka yao kutokana na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu...

Habari za SiasaTangulizi

Bunge lakwepa kufafanua madai mshahara wa Lissu

MADAI ya Tundu Lissu, Mbunge wa Singida Mashariki kwamba, amesitishiwa mshahara na stahili zake zingine za kibunge yameshindwa kupatiwa ufafanuzi. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Madai...

Habari za Siasa

Bunge lamwadhibu Lissu, lasitisha msharaha wake

MBUNGE wa Singida Mashariki, Tundu Lissu amekuja juu baada ya Bunge la Jamhuri kufuta mshahara na posho zake zote. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari za SiasaTangulizi

Baada ya mahabusu; Mbowe akutana na janga jingine

FREEMAN Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Taifa, anakumbana na misukosuko mfululizo. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Uongozi wa Wilaya...

Habari za Siasa

JPM asaka wawekezaji Urusi

RAIS John Magufuli amemkaribisha Rais wa Urusi, Vladmir Putin  na wawekezaji kutoka nchi hiyo, kuja kutembelea Tanzania pamoja na kutafuta fursa mbalimbali za...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba atwaa uenyekiti CUF

PROFESA Ibrahim Lipumba ametwaa nafasi ya uenyekiti wa chama hicho kwa mara nyingine. Anaripoti Bupe Mwakiteleko … (endelea). Miongoni mwa majukumu ya leo...

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba apata upinzani uenyekiti CUF

DIANA Simba, mwanachama wa Chama cha Wananchi (CUF) leo tarehe 13 Machi 2019, amejitokeza na kumwaga sera kwamba, anaweza kuongoza chama hicho bila...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe, Ester Matiko wageuka kivutio bungeni

MBUNGE wa Hai, Freeman Mbowe na Mbunge wa Tarime Mjini, Ester Matiko wote Chadema wamekuwa kuvutio katika ukumbi wa Pius Msekwa kwa kushangiliwa...

Habari za Siasa

Kubenea ang’ata na kupuliza mpango wa Maendeleo ya Taifa

MBUNGE wa Jimbo la Ubungo, Saed Kubenea (Chadema) amesema kuwa mpango uliowasilishwa leo na Waziri wa Fedha na Mipango kwa wabunge wote wa...

Habari za Siasa

Waziri Mkuu awachimba mkwara mawaziri wake

WAZIRI Mkuu Kassm Majaliwa amewataka mawaziri wote kuhakikisha wanahudhuria katika vikao vya kamati za kudumu za bunge. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Simu ya Prof. Lipumba ‘yakimbiza polisi’ 

SIMU iliyopigwa na Prof. Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ‘iliwapoza’...

Habari za Siasa

Kamati za Bunge kufanya mapitio Bajeti 2019/20

KAMATI za Bunge la Jamhuri zitaanza kuketi leo tarehe 12 Machi 2019 kufanya kazi mbalimali ikiwa ni pamoja na kupitia matumizi ya Fedha...

Habari za SiasaTangulizi

UVCCM wamnanga Lowassa

WAKATI wengine wakimtete Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema kwenye Uchaguzi Mkuu 2015 na kuamua kuhamia CCM tarehe 1 Machi 2019, Umoja...

Habari za Siasa

UVCCM wabadili gia kwa Lowassa

KEJELI na maneno ya dhihaka yaliyovurumishwa na Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) kwa Edward Lowassa wakati akihamia Chadema, sasa yamebadilika. Anaripoti...

Habari za Siasa

Maalim Seif aendesha kikao mpaka saa 7 usiku

CHAMA cha Wananchi (CUF) bado kinapita kwenye tanuri la moto ambapo, Maalim Seif Shariff Hamad, katibu mkuu wa chama hicho jana tarehe 11...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto atokomea, mahakama yaamuru ‘ajisalimishe’

KESI ya uchochezi inayomkabili Zitto Kabwe, Mbunge wa Kigoma Mjini imekwama baada ya kiongozi huyo mkuu wa Chama cha ACT-Wazalendo na wadhamini wake...

Habari za SiasaTangulizi

Siri zavuja mgogoro Lipumba Vs Maalim Seif?

MIKAKATI inayofanywa na Kambi ya Profesa Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa CUF anayetambiliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini ina lengo...

KimataifaTangulizi

Ndege ya Ethiopia yapata ajali, 157 wahofiwa kufariki

NDEGE ya kampuni ya Ethiopia aina ya Boeing 737 iliyokuwa ikisafiri kutoka Adis Ababa kuelekea Nairobi imeanguka Jumapili asubuhi. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu akemea ‘wachungaji feki’ wanaoharibu Ukristo

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Light House Christian Center Dar es Salaam, Dk. Rejoice Ndalima amewakemea baadhi ya watu ambao wanajiita watumishi wa...

Habari za SiasaTangulizi

Kambi Maalim Seif ‘wamwaga mboga’

MGOGORO ndani ya Chama cha Wananchi (CUF) unachochewa na waliopo nje ya chama hicho hivyo kuwa na wakati mgumu kumalizwa. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea). Siku...

Habari za SiasaTangulizi

Edward Lowassa alakiwa Arusha

VIJANA kwa wazee mkoani Arusha leo tarehe 9 Machi 2019 wamejitokeza kumpokea Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo...

Habari za Siasa

Kubenea kufuta machozi walimu Shule za Msingi Mburahati, Karume

SAED Kubena, Mbunge wa Jimbo la Ubungo jijini Dar es Salaam ameahidi kukarabati ofisi za walimu ili kutatua kero zao za kufanyia kazi...

Habari za Siasa

RITA yapitisha Bodi ya Wadhamini CUF Lipumba

KATIKATI ya mgogoro wa makundi mawili ndani ya Chama cha Wananchi (CUF), Wakala wa Usajili, Udhamini na Ufilisi (Rita) imesajili majina manane kuunda...

Habari za SiasaTangulizi

Halima Mdee: Lowassa anavuja damu ya usaliti

HATUA ya Edward Lowassa, aliyekuwa mgombea urais kupitia Chadema kurejea CCM imetajwa kwamba ni usaliti kwa waliomwamini na kumpigia kura kwenye Uchaguzi Mkuu...

Makala & Uchambuzi

Gombaneni lakini kunyimana hapana!  

NAWAKARIBISHA katika safu hii ya Jamvi la Babu Jongo. Babu yenu niko salama na pia namshukuru Muumba kwa kunijaalia afya na uwezo wa...

Habari za Siasa

Chadema, ACT wapigwa ‘stop’ kuadhimisha siku ya wanawake

JESHI la Polisi limezuia vyama vya ACT-Wazalendo na Chadema kufanya maazimisho ya siku ya wanawake katika mikoa ya Katavi na Geita. Anaripoti Regina...

Habari za SiasaTangulizi

Mahakama yawarejesha Mbowe, Matiko uraiani

MAHAKAMA Kuu kanda ya Dar es Salaam, imewarejesha uraiani wabunge wawili wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe (Hai) na Esther...

Habari za Siasa

Makamba: Ningeshangaa Mgeja kubaki Chadema

KUREJEA kwa Hamis Mgeja katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) jana tarehe 6 Machi 2019, hakukuwashtua wengi. Anaripoti...

Tangulizi

Namna Kibonde alivyoanza safari ya kifo chake

SAFARI ya mwisho ya Ephrahim Kibonde, mtangazaji na Mahiri wa  Clouds FM aliyekuwa akitangaza kipindi cha Jahazi,  ilishika kasi siku ya mazishi ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

Msiba mwingine Clouds; Ephraim Kibonde afariki

SIKU tatu baada ya kufariki Ruge Mutahana, aliyekuwa Mkurugenzi wa Vipindi na Uzalishaji wa Clouds Media Group (CMG), Ruge Mutahaba, leo tarehe 7...

MpyaSiasa

Prof. Lipumba amtumia Lowassa kujiimarisha

PROFESA Ibrahim Lipumba, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) anayetambuliwa na Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, ameanza kumtumia Edward Lowassa...

Habari za Siasa

Hatma ya Mbowe, Matiko Kesho

MAHAKAMA Kuu, Kanda ya Dar es Salaam, inatarajia kutoa hukumu ya uamuzi wa rufaa ya mwenyekiti wa taifa wa Chama cha Demokrasia na...

Habari za Siasa

Nimewakimbia Chadema, hawashauriki – Mgeja

ALIYEKUWA kada wa miaka mingi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Hamis Mgeja, ambaye miaka miwili iliyopita, alikihama chama hicho na kutimkia Chama cha...

Habari za SiasaTangulizi

Mgeja amfuata Lowassa CCM

HAMISI Mgeja, swahiba wa Edward Lowassa, Waziri Mkuu Mstaafu, leo tarehe 6 Machi 2019 ametangaza kurejea  katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Anaripoti Kelvin Mwaipungu...

Habari za Siasa

Mbowe kusaka dhamana kesho Mahakama Kuu

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Dar es Salaam kuendelea na usikilizwaji  wa rufaa ya Freeman Mbowe Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema)...

Habari za SiasaTangulizi

Mbunge Tundu Lissu amvaa Prof. Kabudi 

MBUNGE wa Singida Mashariki (CHADEMA) na Mnadhimu wa Kambi Rasmi ya upinzani bungeni, Tundu Lissu, “amempasha,” Prof. Palamagamba Kabudi. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Lissu...

Habari za Siasa

Sakata la Mo; Magufuli aibua maswali magumu, Mambosasa njia panda

SAKATA la kutekwa mfanyabiashara bilionea nchini, Mohammed Dewj limeibuka tena Ikulu jijini Dar es Salaam baada ya Rais John Magufuli kuibua maswali upya. Anaripoti...

Habari za Siasa

Ujumbe wa Lissu kutoka Ikulu

SHUGHULI ya kuwaapisha Profesa Palamagamba Kabudi na Dk. Augustine Mahiga Ikulu jijini Dar es Salaam leo tarehe 4 Machi 2019, imebeba ujumbe kwa Tundu Lissu, Mbunge...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa kuanika kilichomkimbiza Chadema

WAZIRI Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa, yuko mbioni kueleza ulimwengu, kilichomsukuma kuondoka ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na kurejea Chama...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mvua yaleta kizazaa Dar

MVUA kubwa imenyesha jiji Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo Jumapili na bado inaendelea “kupiga” katika maeneo kadhaa jijini hapa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Dk. Mashinji: Lowassa anajua anachokifanya, Prof. Lipumba acheeeka

HATUA ya Waziri Mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa kutangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM) jana tarehe  Mosi Machi 2019, kumeibua mjadala mpana uliobeba...

Habari za SiasaTangulizi

Kilichomng’oa Lowassa Chadema hiki hapa

WAZIRI mkuu aliyejiuzulu, Edward Ngoyai Lowassa, ametangaza kurejea katika Chama Cha Mapinduzi (CCM). Lowassa aliondoka CCM katikati ya mwaka 2015, kufuatia chama hicho...

Habari za SiasaTangulizi

Lowassa aitosa Chadema, arudi CCM

WAZIRI Mkuu Mstaafu wa serikali ya awamu ya nne, Edward Lowassa amerejea CCM akitokea Chadema. Anaripoti Regina Mkonde … (endelea). Lowassa amerejea CCM...

Habari za Siasa

Jiji la Dodoma latenga bajeti ya Bil 180

HALMASHAURI ya Jiji la Dodoma imepitisha bajeti ya Sh. 180 bilioni kwa lengo la utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa Mwaka ujao wa...

Habari za SiasaTangulizi

BREAKING NEWS: Mbowe aibwaga Serikali Mahakama ya Rufaa

MAHAKAMA ya Rufaa ya Tanzania, imetupilia mbali maombi ya Mkurugenzi wa Mashitaka (DPP), kupinga Mahakama Kuu, kusikiliza maombi ya kurejeshewa dhamana kwa wabunge...

Habari za SiasaTangulizi

Kifo kilivyokatisha mpango wa Rais Kikwete kwa Ruge

NIA na dhamira ya Rais Mstaafu, Jakaya Kikwete kuwa mlezi wa Ruge Mutahabu, mwanahabari aliyekuwa mtayarishaji wa vipindi vya Clouds Media Group (CMG) yamekatizwa. Anaripoti Mwandishi...

Habari za Siasa

Fundo rufaa ya Mbowe, Matiko kufunguliwa

HATMA ya rufaa ya Freeman Mbowe, Mwenyekti wa Chadema Taifa na Ester Matiko, Mbunge wa Tarime Mjini itajulikana kesho. Anaripoti Faki Sosi … (endelea)....

error: Content is protected !!