Thursday , 28 March 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Kamati za Bunge kufanya mapitio Bajeti 2019/20
Habari za Siasa

Kamati za Bunge kufanya mapitio Bajeti 2019/20

Jengo la Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spread the love

KAMATI za Bunge la Jamhuri zitaanza kuketi leo tarehe 12 Machi 2019 kufanya kazi mbalimali ikiwa ni pamoja na kupitia matumizi ya Fedha za Bajeti kwa mwaka wa fedha 2018/19. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Taarifa iliyotolewa na Ofisi ya Bunge imeeleza kuwa, pamoja na mapitio ya bajeti inayokwenda ukingoni (2018/19) pia vikao hivyo vitapata fursa ya kupitia makadirio ya fedha za bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/20.

Pia kamati hizo zitafanya ziara kupita na kukagua miradi mbalimbali ili kuangalia uwekezaji na kujiridhisha thamani ya matumizi ya fedha za umma na matumizi yake.

Vikao vya kamati hizo vitachukua jumla ya siku 18 ambapo vitakoma tarehe 30 Machi 2019 kabla ya kuanza kwa Bunge la Bajeti 2019/20 tarehe 2 Aprili 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaMakala & Uchambuzi

Nani anasema kuna hasara ATCL?

Spread the loveRIPOTI za makusanyo na matumizi ya fedha katika Kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

CAG: Wastaafu, wenza wao chanzo NHIF kufilisika

Spread the loveRIPOTI ya ukaguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu...

Habari za SiasaTangulizi

Vikundi hewa 851 vyalamba bilioni 2.6 mikopo ya halmashauri

Spread the loveVIKUNDI hewa vya wajasirimali wadogo 851 kutoka katika halmashauri 19...

Habari za SiasaTangulizi

Mashirika matano yapata hasara mabilioni ya fedha

Spread the loveMASHIRIKA matano ya Serikali yanayojiendesha kibiashara, yamepata hasara ya mabilioni...

error: Content is protected !!