Friday , 19 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari
Habari za SiasaTangulizi

Pigo lingine Chadema, Ndugai amvua ubunge Nassari

Joshua Nassari
Spread the love

SPIKA wa bunge Job Ndugai amemwandikia barua mwenyekiti wa tume ya uchaguzi Semistocles Kaijage kumtaarifu kuwa Jimbo la Arumeru Mashariki linaloongozwa na Joshua Nasari Chadema,Jimbo hilo lipo wazi. Anaripoti Danson Kaijage, Dodoma … (endelea).

Alisema Jimbo hilo lipo wazi kutokana mbunge huyo kupoteza sifa ya kuwa mbunge kutokana na kitendo chake cha kutohudhuria mikutano mitatu ya bunge mfululizo.

Alisema mikutano hiyo ni mkutano wa 12 wa tarehe 4-14 Desemba mwaka jana mkutano wa 13 wa tarehe 6-16 Novemba 2018 na mkutano wa 14 wa tarehe 29 January had tarehe 9 februari 2019.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

KimataifaTangulizi

Mkuu wa majeshi Kenya afariki, Ruto atangaza maombolezo

Spread the loveRais wa Kenya, William Ruto ametangaza maombezo ya siku tatu...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uturuki zanuia kukuza biashara, uwekezaji

Spread the loveSERIKALI za Tanzania na Uturuki zimekubaliana kuendeleza dhamira ya kuimarisha...

Habari za Siasa

Tume huru ya uchaguzi yatangaza ajira watendaji daftari wapiga kura

Spread the love  TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema yatangaza ruti awamu ya pili maandamano

Spread the love  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema awamu ya...

error: Content is protected !!