Saturday , 10 June 2023
Home Gazeti Habari za Siasa Chadema, serikali wavutana kuhusu Lissu
Habari za Siasa

Chadema, serikali wavutana kuhusu Lissu

Tundu Lissu, Makamu Mwenyekiti wa Chadema
Spread the love

CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kimeeleza kutishika na matamshi wanayodai kutolewa na mmoja wa mawaziri katika Serikali ya Awamu ya Tano na kwamba, yanatishia usalama wa Tundu Lissu. Anaripoti Faki Sosi… (endelea).

Akizungumza na waandishi wa habari leo tarehe 20 Februari 2019 Patrick Ole Sosopi, Mwenyekiti wa Baraza Vijana la Chadema (Bavicha) amesema, matamshi hayo yanazidisha mashaka kuhusu shambulio la Lissu ambaye ni Mbunge wa Singida Mashariki.

Sosipi amedai kuwa, kauli ya kutaka kumzamisha Lissu kama mtumbwi baada ya kuponea chupuchupu na kuanza kufanya ziara Ulaya na Marekani huku akiendelea na matibabu nchini Ubelgiji, inaleta taswira hasi.

Lissu ambaye pia ni Mnadhimu Mkuu wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni alishambuliwa tarehe 7 Septemba 2017 eneo la Area ‘D’ Dodoma.

 Tazama hapa video yote……

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za Siasa

Lussu: Mkataba wa DP bandarini si wa miaka 100

Spread the loveMAKAMU Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema hakuna ukweli wowote...

Habari za SiasaTangulizi

Maulid Mtulia: Kutoka ubunge hadi U-DAS

Spread the love ALIYEKUWA mbunge wa Kinondoni, kupitia vyama vya The Civil...

Habari za Siasa

Lusinde: CCM hatuliachii ng’o jimbo la Moshi Mjini

Spread the loveMJUMBE wa Halmashauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi (NEC), Livingston...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali ya Mapinduzi Zanzibar: Bakharesa hajavamia shamba letu

Spread the love  IKULU Visiwani Zanzibar, imeeleza kuwa eneo la kiwanda cha...

error: Content is protected !!