MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).
KITABUcha kumbukumbu ya mahabusu (DR) cha Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam, kimeibua maswali baina ya shahidi wa Jamhuri na mawakili...
By Regina MkondeNovember 22, 2021KITABU cha kumbukumbu za mahabusu (DR), cha Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam, kimeendelea kuibua mkanganyiko katika kesi ya uhujumu uchumi,...
By Regina MkondeNovember 22, 2021MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana...
By Kelvin MwaipunguNovember 22, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imekubali kupokea kitabu cha kumbukumbu za...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2021MACHUNGU ya mgawo wa maji kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania yaliyodumu kwa takribani wiki tatu, yanaanza kupungua...
By Mwandishi WetuNovember 22, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu tarehe 22 Novemba 2021, itatoa uamuzi mdogo katika...
By Regina MkondeNovember 22, 2021WAKATI hali ya upatikanaji maji ikizidi kuwa tete katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania, chama tawala nchini humo- Chama Cha Mapinduzi (CCM)...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2021ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini mkoani Lindi, Said Bungara ‘Bwege’, amelazwa katika wodi ya Sewahaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiugua kwa...
By Mwandishi WetuNovember 21, 2021UONGOZI wa klabu ya Simba, umevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza tukio la penalti lilitokea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara,...
By Kelvin MwaipunguNovember 21, 2021SIKU chache baada ya Msanii wa Bongofleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize au Konde Boy kutema cheche kuhusu mapito na changamoto alizokumbana nazo...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake wote nchini kujitokeza kwa wingi katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika mwaka 2022 pamoja...
By Mwandishi WetuNovember 20, 2021MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imejipatia ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting....
By Mwandishi WetuNovember 19, 2021MJADALA juu ya mgawo wa umeme na uhaba wa maji, umeiweka Serikali ya Tanzania njia panda, baada ya baadhi ya viongozi wake...
By Gabriel MushiNovember 19, 2021JOACHIM Tiganga, Jaji anayesikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, ameiahirisha hadi Jumatatu, tarehe 22 Novemba...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021MAWAKILI wa pande mbili katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanachuana katika pingamizi la utetezi...
By Mwandishi WetuNovember 18, 2021UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umepewa ‘diary’ aliyokutwa nayo kizimbani shahidi...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2021PINGAMIZI la utetezi dhidi ya kumkataa shahidi wa Jamhuri katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, limetupiliwa mbali...
By Mwandishi WetuNovember 17, 2021JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF), limekabidhi serikalini mapendekezo ya marekebisho ya sheria mbalimbali zinazogusa tasnia ya habari nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...
By Regina MkondeNovember 16, 2021KLABU ya soka ya Simba inatarajia kufanya mkutano wake mkuu wa mwaka wa wanachama, huku sehemu kubwa ya shughuli hiyo ikiwa imeshakamilika....
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021Milipuko miwili imetokea katikati mwa jiji la Kampala nchini Uganda na kujeruhi watu kadhaa ambao idadi yao haijajulikana. Anaripoti Mwandishi Wetu… (endelea)...
By Mwandishi WetuNovember 16, 2021MAWAKILI wa utetezi na jamhuri katika kesi ya makosa ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameonesha umwamba wa...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imekubali kupokea barua inayomthibitisha Askari Mpelelezi, Ricardo Msemwa, kuwa...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan Hassan amewatakia kheri wanafunzi wa kidato cha nne, walioanza mitihani yao ya Taifa leo Jumatatu tarehe...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021ALIYEKUWA Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam (RC) nchini Tanzania, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kufikishwa mahakamani, wakati wowote kuanzia sasa. Anaripoti...
By Mwandishi WetuNovember 15, 2021RAIS Samia Suluhu Hassan ameuagiza uongozi wa Chuo cha Taifa cha Ulinzi (NDC) kuangalia uwezekano wa kuchukua wanafunzi wenye umri mdogo zaidi...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021ASKARI wa Jeshi la Madagascar wenye silaha wamevamia kambi ya timu ya soka ya Tanzania ‘Taifa Stars’ wakitaka kuwachukua kwa nguvu wachezaji...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021AMIRI Jeshi Mkuu wa Majenzi ya Ulinzi na Usalama nchini Tanzania, Rais Samia Suluhu Hassan leo Jumapili, tarehe 14 Novemba 2021, anazindua Chuo...
By Mwandishi WetuNovember 14, 2021ALIYEKUWA Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania, John Shibuda amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aimarishe hali ya kisiasa na kidemokrasia...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2021MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, ameiomba Serikali itoke hadharani, ili itoe majibu dhidi ya changamoto za mgawo maji na sakata...
By Mwandishi WetuNovember 13, 2021WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amewaagiza Wakuu wa Mikoa (RC) hasa ya mipakani kutozuia wananchi kuingiza mbolea kutoka nje ya nchi...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021KLABU ya Polisi Tanzania, inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara imezindua rasmi jezi zake ambazo watazitumia kwenye msimu huu mpya ulioanza hivi karibuni...
By Mwandishi WetuNovember 12, 2021MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...
By Regina MkondeNovember 12, 2021MAWAKILI wa utetezi katika mashtaka ya ugaidi yanayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wamepinga kupokelewa kwa barua inayomthibitisha askari...
By Regina MkondeNovember 12, 2021ASKARI Mpelelezi (Detective Constable-DC), Ricardo Msemwa, shahidi wa Jamhuri, katika kesi ndogo ya kupinga maelezo ya onyo ya mshtakiwa wa tatu, Mohammed...
By Regina MkondeNovember 12, 2021TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imetupwa nje rasmi kwenye kinyang’anyiro cha kufuzu kwa fainali za kombe la Dunia mara baada...
By Kelvin MwaipunguNovember 11, 2021MKUU wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai wilayani Arumeru, Arusha, SP Jumanne Malangahe, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...
By Regina MkondeNovember 11, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea kitabu cha kumbumbuku za mahabusu,...
By Regina MkondeNovember 11, 2021KITABU cha mahabusu cha Kituo kikuu cha Polisi cha Dar es Salaam, kinachoonesha taarifa za Mohammed Abdillah Ling’wenya, kuwekwa katika mahabusu ya...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021MBUNGE wa Viti Maalum, Halima Mdee ameitaka Serikali kutoa takwimu sahihi kuhusu Watanzania waliofariki kutokana na maambukizi ya homa ya mapafu COVID-...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021MAWAKILI wa utetezi katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameweka pingamizi dhidi ya kitabu cha...
By Regina MkondeNovember 10, 2021SIKU moja baada ya Baraza Kuu la Chama Cha Wananchi (CUF) nchini Tanzania, kuwafukuza wanachama wake nane kwa tuhuma mbalimbali, wahusika wamepanga...
By Mwandishi WetuNovember 10, 2021KESI ndogo ndani ya kesi ya msingi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, imeanza kusikilizwa, Mahakama Kuu, Divisheni...
By Regina MkondeNovember 10, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano mkoani Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwaji wa kesi ya uhujumu uchumi,...
By Regina MkondeNovember 9, 2021MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi nchini Tanzania, Nape Nnauye ametaka uchunguzi maalumu ufanyike katika akaunti ya deni la Taifa katika kipindi cha...
By Kelvin MwaipunguNovember 9, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi nchini Tanzania, imekubali kupokea hati ya ukamataji mali wa washtakiwa Adam Kasekwa na Mohammed...
By Regina MkondeNovember 9, 2021KLABU ya Simba inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara, imefanikiwa kumpata mrithi wa Didier Gomes, ambaye ni Pablo Franco kocha kutoka nchini Hispania...
By Mwandishi WetuNovember 9, 2021MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, imeahirisha usililizwaji wa kesi inayomkabili, Mwenyekiti wa Chadema,...
By Regina MkondeNovember 8, 2021AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ametoa ushahidi wake katika kesi ya uhujumu uchumi yenye mashtaka ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021UPANDE wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, wameipinga hati ya kukamatwa watuhumiwa wawili...
By Mwandishi WetuNovember 8, 2021AFISA wa Polisi nchini Tanzania, Jumanne Malangahe, ameanza kutoa ushahidi katika kesi ya uhujumu uchumi, yenye mashtaka ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa...
By Regina MkondeNovember 8, 2021