Friday , 3 May 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

Habari za SiasaTangulizi

Kada Chadema arudi CCM mbele ya Rais Samia, aomba kazi

  ALIYEWAHI kuwa Diwani wa Sombetini kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Ally Bananga, ametangaza kurejea katika chama tawala cha Mapinduzi (CCM),...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania yazungumzia uchunguzi kupotea Azory Gwanda

  MSEMAJI Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Gerson Msigwa, amesema Jeshi la Polisi nchini humo, linaendelea kufanya uchunguzi kuhusu tukio la kupotea kwa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Askofu Dk. Shoo: Walah Rais Samia Mungu amekuweka kwa kusudi, kubali kuponya majeraha

  ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Kiinjili na Kilutheri Tanzania (KKKT), Dk. Fredrick Shoo amemuomba Rais Samia Suluhu Hassan aendelee kusimama katika yale...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya, wenzake wapigwa miaka 30 jela

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Arusha, imemhukumu kifungo cha miaka 30 jela, aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Mkoa wa Kilimanjaro, Lengai...

Habari za SiasaTangulizi

Wabunge CCM wamtwisha zigo Rais Samia, awajibu

  WABUNGE wa chama tawala nchini Tanzania-Chama Cha Mapinduzi (CCM), mkoani Kilimanjaro, wamefikisha kilio cha changamoto za majimbo yao, kwa Rai Samia Suluhu...

Habari za SiasaTangulizi

Ummy Mwalimu: Kuna vidudu mtu wa elimu bila malipo, Ma-RC, DC nimewaminya kidogo!

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI) Ummy Mwalimu amesema kuna vidudu mtu ambao wanaeneza kwamba...

Habari za SiasaTangulizi

Samia azindua barabara Kilimanjaro, mabango ya kero yatawala

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amezindua Barabara ya Sanya Juu- Elerai, iliyopo Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro. Anaripoti Regina Mkonde, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Miradi 49 yenye dosari, Rais Samia atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameagiza mamlaka zifanye uchunguzi taarifa ya ya miradi 49 iliyobainika kuwa na dosari katika Mbio za...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aweka shada la maua kaburi Hayati Magufuli

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameweka shada la maua kaburi la aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Hayati John Pombe Magufuli. Anaripoti...

MichezoTangulizi

Manara kuifikisha Simba Mahakamani

  ALIYEKUWA Afisa Habari wa Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, klabu ya Simba, Haji Manara amepanga kuifikisha klabu hiyo mahakamani kwa kuwadai...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Lumumba aunguruma Chato, ahoji demokrasia

  MCHAMBUZI maarufu wa masuala ya kisiasa na kihistoria katika ukanda wa Afrika Mashariki, Profesa Patrick Lumumba amewataka Watanzania kujihoji kuwa demokrasia ni...

Habari za SiasaTangulizi

Waziri Ummy awapiga ‘stop’ RC, DC, DED kusafiri

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Ummy Mwalimu amewapiga marufuku wakuu wa mikoa, wakuu...

Habari za SiasaTangulizi

Wassira, Butiku wanavyomkumbuka Mwalimu Nyerere

  MWENYEKITI wa Bodi ya Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere, Stephen Wasira amemuelezea Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Nyerere alikuwa kiongozi...

Habari za SiasaTangulizi

Jaji Warioba akemea ubaguzi wa kivyama, ataka amani isiingiliwe 

  MWANASIASA mkongwe nchini Tanzania, Jaji Joseph Sinde Warioba, amekemea watu wanaotaka kuleta ubaguzi katika ukabila, udini, ukanda na uvyama, akisema wanahatarisha amani...

Habari za SiasaTangulizi

Chadema wamtega Msajili wa vyama

  CHAMA cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kimesema hakitashiriki vikao vya majadiliano ya wadau wa vyama vya siasa, vilivyoitishwa na Msajili wa Vyama...

Habari za SiasaTangulizi

Nape: Tumuongezee muda Rais Samia hadi 2030

  MBUNGE wa Mtama mkoani Lindi, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), amempigia chapuo Rais Samia Suluhu Hassan, akitaka aongezewe muda wa kuiongoza Tanzania...

Habari za SiasaTangulizi

ACT-Wazalendo yatoa sababu kushiriki chaguzi

  BAADA ya chama cha siasa nchini Tanzania cha ACT-Wazalendo kuibuka washindi wa Jimbo la Konde-Pemba visiwani Zanzibar, chama hicho kimetosa sababu kuu...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia: Ukilikoroga nakutumbua bila kutazama kabila, Ma-RC miungu watu dawa yachemka

  RAIS SAMIA Suluhu Hassan ameonya watumishi aliowateua kuacha kueneza sumu ya ukabila pindi wanapokosea na kutumbuliwa kwa sababu hateui kwa kuzingatia ukabila....

Tangulizi

Rais Samia: Ndege tano zinakuja, nawahakikishia ujenzi barabara nane Dar unaendelea

  RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali tayari imetumia jumla ya Sh bilioni 596.3 kwa ajili ya ununuzi wa ndege nyingine tano  mbali...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Tunashukuru IMF, tumejadiliana wakatuelewa

RAIS Samia Suluhu Hassan amelishuruku Shirika la Fedha Duniani (IMF) kwa kuielewa Serikali ya Tanzania na kuridhia itumie fedha za maendeleo kwa ustawi...

Tangulizi

Uchaguzo mdogo; ACT- Wazalendo, CCM wagawana majimbo

VYAMA vya ACT – wazalendo na CCM vimegawana majimbo Konde Visiwani Zanziba na Ushetu mkoani Shinyanga katika uchaguzi mdogo uliofanyika jana tarehe 9...

MichezoTangulizi

Tyson Fury amtwanga Wilder kwa mara ya pili, achota bilioni 23

  Bondia Tyson Fury kutoka Uingereza leo tarehe 10 Oktoba, 2021 amemtwanga kwa knock out katika raundi ya 11 bondia Deontay Wilder kutoka...

MichezoTangulizi

Twiga Stars yafanya kufuru COSAFA, Rais Samia aimwagia sifa

  TIMU ya soka ya Wanawake ya Tanzania ‘Twiga Stars’ imenyakua ubingwa wa michuano ya nchi za ukanda wa kusini mwa Afrika (Cosafa)...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Dk. Mwinyi atoboa siri ndege za ATCL kupokewa Zanzibar

  RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Visiwani humo, Dk. Hussein Ali Mwinyi amesema uamuzi wa mapokezi ya ndege mbili...

AfyaTangulizi

Tanzania yapokea chanjo ya corona kutoka China

  TANZANIA leo Ijumaa, tarehe 8 Oktoba 2021, imepokea dozi 576,558 za chanjo dhidi ya ugonjwa unaoambukizwa na virusi vya korona (UVIKO-19) aina...

MichezoTangulizi

Kipigo Stars. Kocha alia na Refa

MARA baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Benin kwa bao 1-0, kocha wa kikosi cha Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ Kim...

AfyaTangulizi

WHO yaidhinisha chanjo ya kwanza ya Malaria, ilisakwa kwa miaka 100

  SHIRIKA la Afya duniani (WHO) limeidhinisha chanjo ya kwanza ya ugonjwa wa Malaria na kusisitiza kuwa inapaswa kutolewa kwa watoto wote Barani...

MichezoTangulizi

NBC yatumia bilioni 2.5 kudhamini ligi kuu

  SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) imeingia mkataba na Benki ya NBC wenye thamani ya Sh.2.5 bilioni bila Kodi ya Ongezeko la Thamani...

Habari za SiasaTangulizi

Profesa Assad: Niliondolewa CAG bila utaratibu

  PROFESA Mussa Assad, aliyewahi kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali ya Tanzania (CAG) amesema, aliondolewa katika wadhifa wa U...

Habari za SiasaTangulizi

Membe amfagilia Rais Samia, ampa ujumbe Majaliwa

  ALIYEWAHI kuwa waziri wa mambo ya nje wa Tanzania, Bernard Membe amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni kiongozi jasiri na mahiri, anatosha...

MichezoTangulizi

Utovu wa nidhamu wamuondoa Mkude kambini Stars

  KIUNGO wa klabu ya Simba Jonas Mkude ameondolewa kwenye kambi ya Timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kutokana na matatizo ya...

Habari MchanganyikoTangulizi

TCRA yabariki ongezeko bei za bando, wasema ni jambo la kawaida

  MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imesema mabadiliko ya bei za bando iliyofanywa na baadhi ya kampuni za simu za mkononi nchini ni...

HabariTangulizi

Mawaziri nane kuvamia vijijini 975

  JUMLA ya Mawaziri nane wa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wanatarajia kuanza ziara ya siku 15 katika vijiji 975 kwa...

HabariTangulizi

Othman ala kiapo kutimiza ndoto ya Maalim Seif

  MAKAMU wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Othman Masoud Othman, amekula kiapo cha kutimiza ndoto ya mrithi wake, Maalim Seif Shariff Hamad ya...

MichezoTangulizi

Tanzania yampa uraia Denis Kibu, rasmi Simba

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani nchini Tanzania, George Simbachawene, amehitimisha sakata la uraia wa Kibu Denis Prosper kwa kutangaza kumpa uraia mchezaji...

Habari za SiasaTangulizi

Zitto ampa ujumbe Jaji Mutungi ‘busara itumike’

  MWENYEKITI wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), Zitto Kabwe amemshauri Msajili wa vyama vya siasa nchini humo, Jaji Francis Mutungi kutoingilia ratiba...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia awaahidi neema Skauti, awapa ujumbe

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, amesema katika kipindi chake cha uongozi, atahakikisha anaimarisha chama cha Skauti nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu,...

MichezoTangulizi

Kagere arejesha furaha msimbazi

BAO pekee lililofungwa dakika ya 69 na mshambuliaji wa Simba, Meddie Kagera dhidi ya Dodoma Jiji limerejesha furaha kwa mabingwa hao watetezi wa...

Tangulizi

Uraia wa Kibu: Zitto amtwisha zigo Majaliwa, Simbachawene

  SAKATA la uraia wa mchezaji mpya wa Simba ya Dar es Salam, Kibu Denis limemuibua Kiongozi wa ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe akimtaka Waziri...

Habari MchanganyikoTangulizi

Hukumu kesi ya Sabaya hadi tarehe 15 Oktoba

  HUKUMU ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha inayomkabili aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya na wenzake wawili iliyokuwa...

Habari za SiasaMakala & UchambuziTangulizi

Taasisi ya Mwalimu Nyerere yapewa zigo kuponya Taifa, wanasiasa watoa nyongo

  TAASISI ya Mwalimu Nyerere (MNF) nchini Tanzania, imeombwa kuandaa kikao cha mariadhiano ambacho kitawakutananisha viongozi wakuu wa vyama vya siasa nchini ili...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa asimulia Ole Nasha alivyofikwa na mauti

  WAZIRI Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa, amesema kifo cha aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Uwekezaji, William Tate Ole Nasha, kilichotokea...

Habari za SiasaTangulizi

Sabaya kusuka, kunyoa kesho

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Arusha nchini Tanzania, kesho Ijumaa tarehe 1 Oktoba 2021, itatoa hukumu ya kesi ya unyang’anyi wa kutumia silaha,...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri ilivyomhoji mke wa mshtakiwa kuhusu Mbowe

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, kwenye kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na...

Habari za SiasaTangulizi

Uamuzi kesi ndogo Mbowe, wenzake 19 Oktoba

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Dar es Salaam, imeahirisha usikilizwa wa kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Tangulizi

Ole Nasha kuagwa kesho Dodoma, kuzikwa Jumamosi Arusha

SERIKALI imesema aliyekuwa Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Uwekezaji, William Tate Ole Nasha ambaye pia alikuwa ni Mbunge wa Ngorogoro (CCM )...

Tangulizi

Kesi ya Mbowe, wezake: Mke wa mshtakiwa ‘tuliwatafuta waume zetu hadi mochwari hatukuwaona’

  LILIAN Furaha Kibona, mke wa mshtakiwa wa pili, Adam Kasekwa, ameieleza Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumi Uchumi, Dar...

MichezoTangulizi

Yanga kuwa vaa Kagera Sugar bila Mwamnyeto

  Klabu ya soka ya Yanga leo 29 Septemba 2021, itanza kutupa karata yake ya kwanza katika Ligi Kuu Tanzania Bara ugenini dhidi...

MichezoTangulizi

Mo Dewji ang’oka Simba, ateua mrithi

  MOHAMED Dewji, Mkurugenzi wa Bodi ya Klabu ya Simba ya jijini Dar es Salaam nchini Tanzania ametangaza kuachia nafasi hiyo na kumteua...

error: Content is protected !!