Wednesday , 24 April 2024
Home Gazeti Habari za Siasa Rais Samia aweka shada la maua kaburi Hayati Magufuli
Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia aweka shada la maua kaburi Hayati Magufuli

Rais Samia Suluhu Hassan akiweka shada la maua katika kaburi la Hayari John Magufuli
Spread the love

 

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameweka shada la maua kaburi la aliyekuwa Rais wa Taifa hilo, Hayati John Pombe Magufuli. Anaripoti Mwandishi Wetu, Geita … (endelea).

Ni leo Alhamisi, tarehe 14 Oktoba 2021, nyumbani kwa Hayati Magufuli, Chato mkoani Geita.

Rais Samia amefika nyumbani kwa Hayati Magufuli akiwa njiani kwenda Uwanja wa Magufuli, kuhudhuria kilele cha mbio za Mwenge wa Uhuru 2021.

Magufuli, alifikwa na mauti saa 12 jioni ya tarehe 17 Machi 2021, katika Hospitali ya Mzena, iliyopo Makumbusho jijini Dar es Salaam na mwili wake, kuzikwa 26 Machi 2021.

Mara baada ya kifo hicho, Samia aliyekuwa Makamu wa Rais, aliapishwa kuwa Rais tarehe 19 Machi 2021.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Mwekezaji amwaga bil. 39 kujenga viwanda 3 vya uchenjuaji

Spread the loveKampuni ya Mineral Access System Limited (MAST) inayoiwakilishwa kampuni ya...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za Siasa

Serikali kuanzisha mradi wa Gridi ya maji ya Taifa

Spread the loveWaziri wa Maji, Jumaa Aweso amesema katika mwaka wa fedha...

error: Content is protected !!