Sunday , 28 April 2024

Tangulizi

MAIN STORY: Minimum – a picture, video, audio and pull-quote. It might also include a picture gallery, a text box (2 paragraphs – linking to a profile), a time line, a fact file (list of bullet points), Q&A, a map and embedded tweet(s).

HabariTangulizi

Rais Samia ateua DC, ahamisha 2

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dadi Horace Kolimba kuwa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Karatu mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Uteuzi...

HabariTangulizi

Rais Samia: Machinga tuendelee kuvumiliana

RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa rai kwa wafanya biashara wadogo wadogo ‘machinga’ kuwa wavumilivu katika kipindi hiki kwa kuwa kazi ya kuwaondoa barabarani...

Habari MchanganyikoTangulizi

Rais Samia: Sitakubali gari bovu liangushiwe awamu ya sita

  RAIS Samia amesema kuna makundi yaliyopo ndani ya serikali ambayo yanaendekeza ubadhirifu na kugeuka kusema kwamba ufisadi na mambo ya hovyo yamerudi...

Tangulizi

Rais Samia awa mbogo, atumbua vigogo bandari, shirika la meli

  MOTO umewaka ndani ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) pamoja na Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC), baada ya Rais Samia...

Tangulizi

Kilichojiri kesi ya Makonda, hati ya mashtaka yabadilishwa

  MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kinondoni, Dar es Salaam, nchini Tanzania, imekubali ombi la mwandishi mwandamizi wa habari nchiniwanahabari mkongwe, Saed Kubenea, kuondoa...

Habari za SiasaTangulizi

Ndani ya saa 24 Makonda, kutinga mahakamani

  ALIYEKUWA mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Christian Makonda, anatarajiwa kutinga mahakamani, kesho Ijumaa, tarehe 3 Desemba 2021, ili kujibu...

Habari za SiasaTangulizi

Majaliwa azindua sherehe za uhuru, atoa maagizo mazito

  WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amezindua rasmi maadhimisho ya sherehe za uhuru wa miaka 60 Tanzania Bara na kuwataka Watanzania kuchukua tahadhari dhidi...

Habari za SiasaTangulizi

Mbatia aonyesha njia sakata la sukari

  MWENYEKITI wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia, amesema ili nchi iondokane na upungufu wa sukari, inahitajika uongozi madhubuti katika kusimamia uzalishaji wake....

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wafunga ushahidi, uamuzi Desemba 14

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar ea Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa kesi ndogo ya kupinga...

MichezoTangulizi

Rais Samia aipongeza Tembo Warriors kufuzu kombe la dunia, atoa maagizo

  RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameitumia salamu za pongeza timu ya taifa ya soka la wenye ulemavu ‘Tembo Warriors’ kwa kufuzu...

MichezoTangulizi

Messi awabwaga, Lewandowski, Salah tuzo Ballon d’Or

  MSHAMBULIAJI wa Psg na timu ya Taifa ya Argentina Lionel Messi, ametangazwa kuwa mshindi wa tuzo ya Ballon d’Or ya  mchezaji bora...

Tangulizi

Wazee wa kichaga wamtaka Mbunge kufuta kauli

BAADHI ya wazee wa kabila la Wachagga wamelaani kauli ya Mbunge wa jimbo la Vunjo Dkt Charles Kimei aliyoitoa hivi karibuni Bungeni ya...

Tangulizi

Kesi ya Makonda: Serikali, Mahakama mtegoni

  HATUA ya kufunguliwa kesi mahakamani, kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania, Paul Makonda na mtu binafsi, kumeelezwa...

Tangulizi

Kina Mbowe wakwaa kisiki tena

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, jijini Dar es Salaam, imekataa kupokea barua ya utetezi katika kesi ndogo...

Tangulizi

Rais Samia atua Chato, kumpokea Mseven

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amewasili Uwanja wa Ndege wa Chato mkoani Geita. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea). Amewasili saa 3 asubuhi ya leo...

MichezoTangulizi

Simba yaipiga 3-0 Red Arrows, Morrison usipime

  TIMU ya Simba ya Tanzania imeibuka na ushindi wa 3-0 dhidi ya Red Arrows ya Zambia katikap Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijini...

Habari za SiasaTangulizi

Tanzania, Uganda zakubaliana mambo saba, ‘Bomba la mafuta chakula kipo mezani’

  SERIKALI za Tanzania na Uganda zimekubaliana mambo saba katika nyanja mbalimbali kwa lengo la kuimarisha uhusiano pamoja na ushirikiano wa nchi hizo...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jenerali Mabeyo:Vita ya ugaidi ngumu

  MKUU wa Majeshi ya Ulinzi nchini, Jenerali Venance Mabeyo, amewaomba wananchi watoe ushirikiano kwa vyombo vya ulinzi na usalama katika kukabiliana na...

Habari za SiasaTangulizi

Makonda aburuzwa mahakamani, kesi Desemba 3

  HATIMAYE Paulo Christian Makonda,  ameburuzwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kinondoni, jijini Dar es Salaam, kujibu mashitaka ya jinai yanayomkabili.  Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Hatima pingamizi la Serikali J3

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi, Mawasiliano jijini Dar es Salaam, imepanga kutoa uamuzi wa pingamizi la Jamhuri...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wamtega Jaji Tiganga

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi ya uhujumu uchumi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe ba wenzake, wameiomba Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa...

Habari MchanganyikoTangulizi

Maaskofu wa KKKT Shoo, Malasusa wafikishwa kortini

  VIONGOZI wawili wa madhehebu ya Kikristo, Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), Askofu Dk. Fredrick Shoo na Mkuu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Serikali yazidi kuikomalia barua ya kina Mbowe

  MAWAKILI wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi, inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umemaliza kuwasilisha hoja zao za kupinga...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Mshtakiwa aeleza alivyokamatwa, kuteswa na kubadilishwa jina

  MOHAMED Abdillah Ling’wenya, ambaye ni mshtakiwa wa tatu katika kesi ya ugaidi inayomkabili yeye na wenzake watatu akiwemo, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri waweka pingamizi barua ya kina Mbowe isipokelewa

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umeweka pingamizi dhidi ya kupokelewa kwa...

Habari za SiasaTangulizi

Jamhuri wafunga ushahidi, kina Mbowe waanza kujitetea

  UPANDE wa Jamhuri katika kesi ndogo ndani ya kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umefunga ushahidi...

Tangulizi

Washiriki Miss EA kuanza kambi wiki hii

  Dar es Salaam. Joto la mashindano ya kimataifa ya urembo ya Miss East Africa 2021 limeanza kupanda ambapo washiriki wa mashindano hayo...

ElimuTangulizi

Waliofaulu darasa la saba 2021 wachaguliwa kujiunga kidato cha kwanza 2022

  JUMLA ya wanafunzi 907,802 waliofaulu mtihani wa darasa la saba mwaka huu wamechaguliwa kujiunga na kidato cha mwaka mwaka 2022. Anaripoti Mwandishi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe watumia kalenda kumhoji shahidi

  MAWAKILI wa utetezi, katika kesi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake, katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na...

Habari za SiasaTangulizi

Bosi kituo cha Polisi Tazara awakana kina Mbowe

  INSPEKTA Rugawa Issa Maulid (42), Kaimu Mkuu wa Kituo cha Polisi Tazara, amekata kufikishwa kituoni hapo kwa watuhumiwa wa kesi ya ugaidi...

ElimuTangulizi

Waliopata ujauzito kurudi shule

  SERIKALI imesema imeamua kuondoa vikwazo vya elimu hususani kwa wasichana ambao wamekatisha masomo yao kwa kukumbwa na matatizo mbalimbali ikiwamo kupata ujauzito....

KimataifaTangulizi

Malawi wamteua Tyson kuwa balozi wa bangi

  BONDIA mstaafu raia wa Marekani, Mike Tyson ameteuliwa na Serikali ya Malawi kuwa balozi wa bangi nchini humo. Anaripoti Mwandishi Wetu …...

MichezoTangulizi

GSM yamwaga fedha Ligi Kuu, yaingia udhamini wa Bil 2

  KAMPUNI ya Gsm imeingia mkataba wa miaka miwili wa udhamini mweza wa Ligi Kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu...

Habari za SiasaTangulizi

Mbowe alivyowasalimia kortini, nao wamwombea

  KESI ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, inaendelea leo Jumanne, tarehe 23 Novemba 2021. Anaripoti Regina Mkonde…(endelea)....

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kitabu cha mahabusu chakutwa na kipisi cha pini

  KITABUcha kumbukumbu ya mahabusu (DR) cha Kituo Kikuu cha Polisi, Dar es Salaam, kimeibua maswali baina ya shahidi wa Jamhuri na mawakili...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe: Kitabu cha kumbukumbu mahabusu chaibua mjadala

  KITABU cha kumbukumbu za mahabusu (DR), cha Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam, kimeendelea kuibua mkanganyiko katika kesi ya uhujumu uchumi,...

MichezoTangulizi

CAS yatupilia mbali rufaa ya Yanga kwa Morrison

MAHAKAMA ya kimataifa ya usuluhishi wa michezo ‘CAS’ imetupilia mbali Rufaa ya klabu ya Yanga, dhidi ya mchezaji Bernad Morrison Raia wa Ghana...

Habari za SiasaTangulizi

Mapingamizi ya kina Mbowe yaendelea kutupwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Makosa ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam nchini Tanzania, imekubali kupokea kitabu cha kumbukumbu za...

Habari MchanganyikoTangulizi

Matumaini mapya mgawo wa maji Dar

  MACHUNGU ya mgawo wa maji kwa wakazi wa Jiji la Dar es Salaam nchini Tanzania yaliyodumu kwa takribani wiki tatu, yanaanza kupungua...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe kuendelea leo, uamuzi wa pingamizi wasubiriwa

  MAHAKAMA Kuu, Divisheni ya Rushwa na Uhujumu Uchumi jijini Dar es Salaam, leo Jumatatu tarehe 22 Novemba 2021, itatoa uamuzi mdogo katika...

Habari za SiasaTangulizi

CCM ‘yalia’ hujuma, yaipa rungu Takukuru

  WAKATI hali ya upatikanaji maji ikizidi kuwa tete katika baadhi ya maeneo nchini Tanzania, chama tawala nchini humo- Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Habari MchanganyikoHabari za SiasaTangulizi

Bwege alazwa Muhimbili

  ALIYEKUWA Mbunge wa Kilwa Kusini mkoani Lindi, Said Bungara ‘Bwege’, amelazwa katika wodi ya Sewahaji, Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akiugua kwa...

MichezoTangulizi

Penalti ya Fei Toto, Simba wataka uchunguzi ufanyike

UONGOZI wa klabu ya Simba, umevitaka vyombo vya ulinzi na usalama kuchunguza tukio la penalti lilitokea kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara,...

Tangulizi

Kumekucha! Harmonize awavuruga WCB

  SIKU chache baada ya Msanii wa Bongofleva, Rajab Abdul maarufu Harmonize au Konde Boy kutema cheche kuhusu mapito na changamoto alizokumbana nazo...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataka wanawake kujitokeza kuhesabiwa, kushiriki uchaguzi CCM

  RAIS Samia Suluhu Hassan ametoa wito kwa wanawake wote nchini kujitokeza kwa wingi katika zoezi la sensa linalotarajiwa kufanyika mwaka 2022 pamoja...

MichezoTangulizi

Simba yaipiga Ruvu 3-1, aliyeitoboa Yanga, aitoboa Simba

  MABINGWA watetezi wa ligi kuu Tanzania Bara, Simba ya jijini Dar es Salaam, imejipatia ushindi mnono wa 3-1 dhidi ya Ruvu Shooting....

Habari za SiasaTangulizi

Mgao wa maji, umeme Tanzania: Ni mwendo wa matamko

  MJADALA juu ya mgawo wa umeme na uhaba wa maji, umeiweka Serikali ya Tanzania njia panda, baada ya baadhi ya viongozi wake...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe yaahirishwa hadi J3, Jaji asema…

  JOACHIM Tiganga, Jaji anayesikiliza kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, ameiahirisha hadi Jumatatu, tarehe 22 Novemba...

Habari za SiasaTangulizi

Kesi ya Mbowe wanavyochuana kortini

  MAWAKILI wa pande mbili katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, wanachuana katika pingamizi la utetezi...

Habari za SiasaTangulizi

Kina Mbowe wapewa ‘diary’ ya shahidi, kesi yaendelea

  UPANDE wa utetezi, katika kesi ya ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe na wenzake watatu, umepewa ‘diary’ aliyokutwa nayo kizimbani shahidi...

error: Content is protected !!