Thursday , 25 April 2024
Home Gazeti Habari Rais Samia ateua DC, ahamisha 2
HabariTangulizi

Rais Samia ateua DC, ahamisha 2

Spread the love

RAIS wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Dadi Horace Kolimba kuwa Mkuu wa Wilaya (DC) ya Karatu mkoani Arusha. Anaripoti Mwandishi Wetu…(endelea).

Uteuzi huo, umetangazwa leo Jumamosi, tarehe 4 Desemba 2021, na Jaffar Haniu, Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais Ikulu.

Kolimba anakwenda kuchukua nafasi ya Abbas Juma Kayanda ambaye amehamishiwa Wilaya ya Moshi, Mkoa wa Kilimanjaro.

Kayanda amekwenda kuchukua nafasi ya Said Mtanda ambaye Rais Samia amemhamishia Wilaya ya Arusha.

Mtanda amekwenda kujaza nafasi iliyokuwa wazi, kufuatilia aliyekuwa mkuu wa wilaya hiyo, Sophia Mjema, kuteuliwa na Rais Samia kuwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Biteko ataja vipaumbele 7 bajeti nishati 2024/25

Spread the love  NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto...

Habari za SiasaTangulizi

Mpwa wa Magufuli mbaroni kwa kusambaza picha za utupu

Spread the loveJESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limewakamata...

Habari za SiasaTangulizi

Shibuda amlima waraka mzito Bulembo

Spread the loveMKONGWE wa siasa nchini, John Shibuda amemshukia kada maarufu wa...

Habari za SiasaTangulizi

Rais Samia ataja mikakati ya kufikia trilioni 2 biashara Uturuki, Tz

Spread the loveWakati Tanzania na Uturuki zikidhamiria kuongeza kiwango cha biashara hadi...

error: Content is protected !!