Thursday , 9 May 2024

Habari Mchanganyiko

Habari Mchanganyiko

Wananchi wamtimua kazi mwenyekiti wa kijiji

WANANCHI wa kijiji cha Bulige kata ya Bulige katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamemkataa mwenyekiti wa kijiji hicho, mtendaji pamoja...

Habari Mchanganyiko

Bodi mpya NCAA yaahidi kutatua changamoto

BODI ya Mamlaka ya Ngorongoro (NCAA), imesema itakabiliana na changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo kufikia dira ya uhifadhi, anaandika Mwandishi Wetu. Kaimu Mwenyekiti mpya...

Habari Mchanganyiko

Wakili Makene alilia fedha za ada ya TLS

WAKILI wa kujitegemea ambaye pia ni mwanachama wa Chama Cha Mawakili Tanzania Bara(TLS), Emmanuel Makene amekilalamikia Chama hicho kuwa hakiwasaidii wanachama wake wakati...

Habari Mchanganyiko

Wenye ulemavu waiangukia serikali ya JPM

CHAMA cha walemavu Tanzania (CHAWATA), kimeiomba serikali ya awamu ya tano kuwaangalia kwa jicho la tatu katika swala zima la uchumi wao, anaandika Victoria...

Habari Mchanganyiko

Mrisho Gambo ‘awapiga mkwara’ wafugaji

MKUU wa Mkoa Arusha, Mrisho Gambo amesema mwananchi yeyote atakayeshindwa kutoa ushirikiano wa kujua idadi ya mifugo aliyo nayo atatiwa nguvuni, anaandika Mwandishi...

Habari Mchanganyiko

Wanawake wapewa somo la unyonyeshaji

WANAWAKE wamehimizwa kunyonyesha watoto kwa kipindi kinachoshauriwa kitaalamu ili kuwaepusha na madhara ya utapiamlo na udumavu wa akili, anaadika Mwandishi Wetu. Mratibu wa...

Habari Mchanganyiko

Waziri Manyanya avutiwa ujenzi wa madarasa

NAIBU Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhandisi Stella Manyanya amewataka wanafunzi wa shule za msingi na sekondari kuwa wazalendo kwa nchi yao...

Habari Mchanganyiko

‘Mifupa ya binadamu yazagaa Mwanza’

ANGELINA Mabula, NAIBU Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, ameitaka halmashauri ya Jiji la Mwanza na Manispaa ya Ilemela, kuhakikisha zinamaliza uhaba wa...

Habari Mchanganyiko

Prof. Mbarawa awatoa hofu wananchi Shinyanga

WAZIRI wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, amewatoa hofu wananchi wa Kata ya Ibadakuli Manispaa ya Shinyanga kwamba hakuna mtu atakayechukuliwa...

Habari Mchanganyiko

Bendera azifunda halmashauri zake Manyara

HALMASHAURI ya Wilaya ya Simanjiro, imeendelea kupata hati safi kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali nchini (CAG), kwa mwaka...

Habari MchanganyikoTangulizi

Ugonjwa wa ajabu watesa wanafunzi Tanga

WANAFUNZI wanaosoma shule ya sekondari ya Kwamkabara kata ya Kwamkabara wilayani Muheza mkoani Tanga wamepatwa na ugonjwa wa ajabu unaosababisha kuanguka hovyo, anaandika...

Habari Mchanganyiko

Lukuvi awabana watumishi sekta ya ardhi

SERIKALI imewaagiza Maofisa ardhi wa Manispaa ya Iringa pamoja na halmashauri zote nchini kufanya kazi kwa weledi pamoja na kutatua kero za wananchi...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa atangaza neema mkoani Songwe

WAZIRI Mkuu,  Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga Sh. Bilioni 1.669 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya maji katika wilaya ya Ileje mkoani...

Habari Mchanganyiko

Vijana 40 wakumbukwa kiuchumi Morogoro

MAKUNDI mawili ya vijana wapatao 40 kutoka wilaya ya Kilosa mkoani hapa wamepatiwa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya Sh. 10 milioni...

Habari Mchanganyiko

AMDT imejipanga kuwafikia wakulima 500,000

TAASISI ya kuendeleza mifumo ya masoko kwenye kilimo nchini (AMDT), imepanga kuwafikia wakulima 500,000 wa zao la alizeti wa mikoa 12 ya Tanzania...

Habari Mchanganyiko

NSSF kukusanya Sh. trilioni 1.3 kwa mwaka

SHIRIKA la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) linatarajia kukusanya kiasi cha Sh.trilioni 1.3 kwa mwaka wa fedha 2018/2019, anaadika Christina Haule. Mkurugenzi...

Habari Mchanganyiko

Watu 45 watiwa mbaroni mkoani Dodoma

JESHI la Polisi Mkoani Dodoma linawashikilia watu 45 kwa tuhuma mbalimbali pamoja na kukamata silaha, mali za wizi na madawa ya kulevya katika...

Habari Mchanganyiko

Jela kwa ujangili wa meno ya tembo

MAHAKAMA ya Wilaya ya Manyoni, imewahukumu kifungo cha miaka 25 jela kila mmoja majangili wawili baada ya kutiwa hatiani kwa makosa mbalimbali ikiwemo...

Habari Mchanganyiko

Mabadiliko katika sekta ya madini

Wizara ya Nishati na Madini imefanya mabadiliko kufuatia kupitishwa kwa sheria mpya ‘the written laws (miscellaneous amendmend ) Act 2017  iliyofanyiwa marekebisho kadhaa...

Habari Mchanganyiko

Bonde la Wami Ruvu kutangazwa hifadhi

WIZARA ya Maji na Umwagiliaji kupitia Bonde la Wami Ruvu inakusudia kutangaza  eneo hilo kama  hifadhi ya vyanzo vikuu vya maji nchini, anaandika...

Habari Mchanganyiko

ALAT kuhamia mkoani Dodoma mwezi ujao

JUMUIYA ya Tawala ya Mitaa (ALAT) Tanzania inatarajia kuhamia mkoani  Dodoma ifikapo tarehe 1 mwaka huu, ikiwa ni  sehemu ya kutekeleza agizo la Rais John...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar yanasa 44 wizi wa magari

JESHI la Polisi Kanda maalum Dar es salaam limewakamata watuhumiwa 44 wa wizi wa vifaa vya magari pamoja na vifaa hivyo vya magari,  katika oparesheni...

Habari Mchanganyiko

Chama cha wapangaji waibua madai mapya

CHAMA cha Wapangaji   Tanzania (Tanzania Tenants Association), kimeiomba serikali kuweka chombo maalum kwa ajili ya kulinda maslahi ya wapangaji, anaandikaCatherine Kayombo. Akizungumza na wanahabari,...

Habari Mchanganyiko

Muuguzi aliyebaka kutimuliwa  kazi 

SAKATA la  Muuguzi anayedaiwa kumbaka binti mwenye miaka 18 limeingia katika sura mpya, baada ya serikali kuingilia kati na kuomba Baraza la Wauguzi...

Habari Mchanganyiko

Kesi ya Manji yapigwa kalenda

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam imeahirisha kesi inayomkabili Yusuph Manji, Mwenyekiti wa Klabu ya Yanga, anaandika Hamisi Mguta. Manji...

Habari MchanganyikoTangulizi

Baada ya kufungiwa vituo vyake, Diallo aburuzwa mahakamani

ANTONY Diallo, Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Sahara Media Group (SMG), inayomiliki kituo cha televisheni Star TV, Redio Free Africa (RFA) na Kiss...

Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji aliyejiuzulu afariki

ALIYEKUWA  Jaji wa Mahakama Kuu, Upendo Msuya, amefariki dunia  leo Julai 19 katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa baada...

Habari Mchanganyiko

Magari mapya yaja Zimamoto

JESHI la Zimamoto na Uokoaji nchini limetengewa Sh. 3 bilioni kwa ajili ya kununulia vitendeakazi zikiwemo gari za kuzima moto na madawa ya...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara Ubungo wacharuka

MFANYABIASHARA ambaye pia ni Naibu katibu wa Wafanyabiashara kituo kikuu cha mabasi Ubungo jijini Dar es salaam, John Shayo ametangaza kuuburuza mahakamani uongozi...

Habari Mchanganyiko

Viongozi, Wanachama CCWT wazidi kuvutana

BAADHI ya wajumbe na wanachama wa Chama cha Wafugaji Tanzania (CCWT) wameendelea kuvutana na uongozi wa juu chama hicho wakitaka viongozi kuachia madaraka...

Habari Mchanganyiko

BAKWATA yampinga “Mtume wa uongo” Pwani

BARAZA Kuu la Waislamu Tanzania (Bakwata) limewataka waumini wake na watanzania wote nchini kumpuuza mtu mmoja aliyejitokeza huko mkoani Pwani, akidai kuwa yeye...

Habari Mchanganyiko

Sirro abadilisha makamanda wa polisi

MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro, amefanya mabadiliko ya makamanda wa polisi katika maeneo kadhaa, anaandika Catherine Kayombo. Miongoni mwa...

Habari Mchanganyiko

Polisi Dar wakamata watuhumiwa 200

JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es salaam, limewakamata watuhumiwa mbalimbali wanaojihusisha na makosa mbalimbali ya kiuhalifu yakiwemo makosa ya kutumia madawa ya...

Habari Mchanganyiko

Asilimia 80 ya watanzania wanategemea kilimo

IMEELEZWA asilimia 80 ya watanzania nchini wanategemea kilimo kutokana na watu wengi kuendesha maisha yao ya kila siku na wengine kujipatia kipato kupitia...

Habari Mchanganyiko

Channel Ten yawekwa kiporo

JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limekiweka kiporo kituo cha Televisheni cha Channel Ten kwa kukiuka makubaliano ya kutoandika wala kutangaza habari zinazomuhusu Mkuu...

Habari Mchanganyiko

ACACIA yakubali kuilipa serikali

ACACIA Mining Limited imekubali kuilipa serikali mrabaha wa asilimia sita (6%) baada ya sheria ya madini kubadilishwa, anaandika Victoria Chance. Kampuni hiyo inayomiliki...

Habari Mchanganyiko

Risiti za mafuta kaa ya moto kwa vituo

CHRISTINA Mndeme, Mkuu wa Wilaya ya Dodoma Mjini amevifungia vituo nane vya mafuta visivyofuata sheria za utendaji wilayani hapo ikiwemo kutokuwa na mashine...

Habari Mchanganyiko

TCRA yavuna Sh. 9.6 bil kutoka kampuni za simu

MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imekusanya Sh. 9.6 bilioni kutoka kwa kampuni za simu za mkononi kutokana na faini walizotakiwa kulipa baada ya...

Habari Mchanganyiko

Ufaransa yakubali kumaliza tofauti na Marekani

EMMANUEL Macron, Rais wa Ufaransa ameafiki uamuzi wa Donald Trump, Rais wa Marekani kijitoa katika mkataba wa mabadiliko ya tabia nchi wa Ufaransa,...

ElimuHabari Mchanganyiko

Veta yaanzisha kozi ya makanikia

CHUO cha Ufundi Stadi (VETA) kimeanzisha kozi itakayozalisha wahitimu watakaosaidia kuchakata na kung’arisha madini ya vito, anaandika Jovina Patrick. Kozi hiyo inakuja kipindi...

Habari Mchanganyiko

Sirro afanya uteuzi mwingine

SIMON Sirro, Mkuu wa  Jeshi la Polisi nchini (IGP) amefanya mabadiliko ya kamanda wa kikosi cha usalama Barabarani pamoja na kamanda wa polisi...

Habari Mchanganyiko

‘Boda to boda’ kuzinduliwa kesho

SHIRIKA lisilo la kiserikali la Foundation For Civil Society (FSC) kesho linatarajia kuzindua kampeni ya “Chungulia Fursa Boda to Bado,” anaandika Victoria Chance....

Habari Mchanganyiko

Mahakama ya Kisutu yamwachia huru Kamishna wa TRA

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, imemuachia huru aliyekuwa Kamishna wa TRA, Tiagi Masamaki na wenzake watano waliokuwa wakishtakiwa na makosa ya uhujumu uchumi...

Habari Mchanganyiko

Kampuni ya ulinzi watuhumiwa kwa wizi UDOM

KAMPUNI binafsi ya ulinzi la Stemo Security imedaiwa kujiingiza katika vitendo vya kiharifu badala ya kufanya kazi zake za ulinzi wa mali za...

ElimuHabari Mchanganyiko

Kesi ya Lusako bado

KESI ya Alphonce Lusako, mwanafunzi wa zamani wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam anayehangaikia haki yake ya kikatiba ya kujiendeleza kielimu baada...

Habari Mchanganyiko

Mashine ya kuzalisha mkaa wa kutengeneza yazinduliwa

KAMPUNI ya Kuja na Kushoka Tools Manufactures Group kimezindua mashine ya kutengeneza mkaa unatokana na taka na kukaushia zao la tumbaku, anaandika Irene...

Habari Mchanganyiko

Rc Mongella achukua hatua kiwandani

SERIKALI mkoani Mwanza, imekipa siku 10 kiwanda cha ngozi cha Mwanza Tanneries kilichopo Wilaya ya Ilemela jijini hapa, kuhakikisha kinaondoa vyuma chakavu mara...

Habari Mchanganyiko

Sherehe za miaka 60 tangu Aga Khan kusimikwa uimamu kuanza kesho

KESHO kunatarajiwa kuanza kwa sherehe za maadhimisho ya miaka 60 tangu  Mtukufu Aga Khan alipochaguliwa kuwa imamu Mkuu wa dhehebu la Shia Ismailia ulimwenguni, tukio...

Habari Mchanganyiko

Wafanyabiashara ‘kufunga’ biashara zao

WAFANYABIASHARA wa maduka ya nguo za jumla na rejareja katika Jiji la Mwanza, wametishia kufunga biashara zao kutokana na Kiomoni Kibamba, Mkurugenzi wa...

Habari Mchanganyiko

Mtandao wa wanafunzi wampinga Rais Magufuli

KAULI ya Rais John Magufuli kuwataka wanafunzi wote wa kike wa shule za msingi na sekondari watakaopata ujauzito kutorejea mashuleni imeendelea kupingwa na...

error: Content is protected !!