Saturday , 10 June 2023
Home Habari Mchanganyiko Jaji aliyejiuzulu afariki
Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji aliyejiuzulu afariki

Jaji Mohamed Chande Othman akimpa mkono wa pole aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Jaji Upendo H. Msuya enzi za uhai wake alipofiwa na mwanaye
Spread the love

ALIYEKUWA  Jaji wa Mahakama Kuu, Upendo Msuya, amefariki dunia  leo Julai 19 katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, anaandika Hamisi Mguta.

Taarifa za awali kutoka ndani ya familia zinaeleza kwamba marehemu amefariki kwa ugonjwa wa kiharusi na kwamba alikuwa amepelekwa hospitali na kurudishwa nyumbani kwa zaidi ya miezi mitatu.

Mei 15 Marehemu Upendo aliacha rasmi kazi ya ujaji baada ya rais Magufuli kuridhia ombi lake hilo ambapo ombi hilo lilikubaliwa pamoja na Aloysius Mujulizi, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania na Meck Sadick, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Ikumbukwe kuwa kifo kimemfika Upendo ikiwa ni miezi miwili tangu aache kazi ya ujaji.
Tutaendelea kukujulisha zaidi kuhusu utaratibu wa mazishi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

MichezoTangulizi

Benki ya NBC yakabidhi kombe la ubingwa wa ligi kuu kwa Yanga

Spread the loveMDHAMINI Mkuu wa ligi ya NBC, Benki ya Taifa ya...

BiasharaTangulizi

TLS wajitosa sakata la ukodishaji wa bandari

Spread the love  CHAMA cha wanasheria Tanzania (TLS), kimejitosa katika sakata la...

BiasharaTangulizi

Ngoma bado mbichi mkataba wa Bandari

Spread the love  SAKATA la mkataba wa uendeshaji, uendelezaji na uboreshaji wa...

BiasharaTangulizi

Mkurugenzi TPA: Mkataba unaweza kuvunjwa

Spread the loveMKURUGENZI Mkuu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA),...

error: Content is protected !!