Saturday , 27 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Jaji aliyejiuzulu afariki
Habari MchanganyikoTangulizi

Jaji aliyejiuzulu afariki

Jaji Mohamed Chande Othman akimpa mkono wa pole aliyekuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe. Jaji Upendo H. Msuya enzi za uhai wake alipofiwa na mwanaye
Spread the love

ALIYEKUWA  Jaji wa Mahakama Kuu, Upendo Msuya, amefariki dunia  leo Julai 19 katika hospitali ya Kairuki jijini Dar es Salaam, alipokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, anaandika Hamisi Mguta.

Taarifa za awali kutoka ndani ya familia zinaeleza kwamba marehemu amefariki kwa ugonjwa wa kiharusi na kwamba alikuwa amepelekwa hospitali na kurudishwa nyumbani kwa zaidi ya miezi mitatu.

Mei 15 Marehemu Upendo aliacha rasmi kazi ya ujaji baada ya rais Magufuli kuridhia ombi lake hilo ambapo ombi hilo lilikubaliwa pamoja na Aloysius Mujulizi, aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya kurekebisha Sheria Tanzania na Meck Sadick, aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.

Ikumbukwe kuwa kifo kimemfika Upendo ikiwa ni miezi miwili tangu aache kazi ya ujaji.
Tutaendelea kukujulisha zaidi kuhusu utaratibu wa mazishi

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari za SiasaTangulizi

Prof. Lipumba ajitosa kuviunganisha vyama vya siasa Burundi

Spread the love  MWENYEKITI wa Kituo Cha Demokrasia Tanzania (TCD), Prof. Ibrahim...

Habari Mchanganyiko

Wakili: Ukimpa zawadi mwenza marufuku kumpora hata mkiachana

Spread the love  WANANDOA na watu waliko kwenye mahusiano ya kimapenzi, wamekumbushwa...

Habari Mchanganyiko

Majaliwa: Mvua zimesababisha vifo vya watu 155, kuendelea hadi Mei

Spread the love  WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amesema mvua kubwa za El-Nino...

Habari Mchanganyiko

Exim Bank yatoa  vitanda kwa shule ya Jeshi la Polisi Moshi

Spread the love  BENKI ya Exim imekabidhii  seti ya vitanda kwa Shule...

error: Content is protected !!