WADAU wa taasisi za fedha mkoani Kilimanjaro, wameeleza kuwa changamoto ya mabadiliko ya kiuchumi imewasababishia wakose faida katika kipindi cha kuanzia mwaka jana,...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2017MTANDAO wa Vikundi vya Wakulima Tanzania (Mviwata), umeazimia kuishauri Serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Uvuvi kutowatoza gharama wakulima wanaoshirikia maonesho ya...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2017MWENYEKITI wa Bodi ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), Anne Makinda, amewataka Watanzania kutorubuniwa na baadhi ya wanasiasa kuwa hali...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2017SERIKALI imesema kuwa Taifa kwa sasa linajitosheleza kwa chakula kwa asilimia 120 kulingana na tathmini iliyofanyika mwaka huu, anaandika Mwandishi wetu. Kauli hiyo...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2017SERIKALI imeombwa kuwasaidia wamiliki wa shule binafsi mkoani Dodoma kupatiwa mikopo kupitia mifuko ya hifadhi ya jamii ili shule zao ziweze kuchukua wanafunzi...
By Mwandishi WetuAugust 7, 2017SERIKALI kupitia wizara ya kilimo na mifugo imeombwa kuangalia uwezekano wa kuwapatia mashamba wakulima wanaotoa elimu kwenye maonesho ya wakulima ya imo nane...
By Christina HauleAugust 5, 2017MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyama Pori (TAWA), imesema kwamba tatizo la ujangili katika mbuga mbalimbali umepungua hatua iliyosababisha Tembo kuongezeka, anaandika Dany Tibason....
By Danson KaijageAugust 4, 2017MFANYABIASHARA Yusuf Manji na wenzake watatu wamezidi kusota rumande baada ya kesi yake kupigwa kalenda hadi Agost 9, mwaka huu, anaandika Faki Sosi....
By Faki SosiAugust 4, 2017MAONESHO ya Wakulima ya nane nane mwaka huu yanayofanyika mkoani Dodoma yamedorora, anaandika Dany Tibason. Baadhi ya washiriki waliozungumza na MwanaHALISI online katika...
By Danson KaijageAugust 3, 2017SERIKALI mkoani Morogoro kwa kushirikiana na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imevifungia vituo vinne vya kuuza mafuta, kwa kosa la kukiuka agizo la...
By Christina HauleAugust 3, 2017KATIBU Tawala wa Mkoa wa Shinyanga Albert Msovela amewataka wananchi wa kijiji cha Iyenze kata Iyenze wilayani Kahama mkoani Shinyanga kuhakikisha wanawasaidia wanzeo...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2017MGOMO wa wafanyakazi zaidi ya 290 wa Kampuni ya Kimataifa ya Geo Engineering ya China inayotekeleza mradi mkubwa wa ujenzi wa barabara ya...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2017WACHIMBAJI wadogo wa madini wametakiwa kuzingatia taratibu za kitalaam wakati wa uchimbaji ili kuepuka ajali maeneo hayo, anaandika Mwandishi wetu. Haya yamebainishwa na...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2017MADEREVA wa Bodaboda katika jiji la Dar es Salaam wameonekana kuanza kuelewa umuhimu wa matumizi wa kofia ngumu wakati wa kuendesha usafiri huo,...
By Mwandishi WetuAugust 2, 2017SERIKALI imeombwa kuwatambua wafugaji wa Ngamia na kusaidia kuwapunguzia gharama za kuwafuga kwa kuwa wana faida zaidi kuliko wanyama wengine, anaandika Dany Tibason....
By Danson KaijageAugust 2, 2017WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Profesa Jumanne Maghembe amewahimiza viongozi kuanzia ngazi ya mkoa, wilaya hadi vijiji kuhakikisha wanasimamia uwepo wa bei nzuri...
By Christina HauleAugust 2, 2017HATIMAYE hoja zilizotolewa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) zimemuibua msemaji wa serikali wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Hassan Abbas, anaandika...
By Masalu ErastoAugust 1, 2017HALMASHAURI ya jiji la Arusha imekusanya asilimia 60 ya mapato yatokanayo na miradi ya ndani ya maendeleo kwa kipindi cha bajeti ya mwaka...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2017KAYA zipatazo 700 za Kitongoji cha Irmorijo katika Kijiji cha Emairete wilayani Monduli zilizokuwa zinatumia maji ya bwawa zinatarajia kunufaika na mradi wa...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2017MKUU wa Wilaya ya Dodoma Mjini Christina Mndeme amezindua mradi wa maji katika kijiji cha Mhande huku akiwaonya watakaoharibu miundombinu ya mradi huo...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2017WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ametembelea kiwanda cha kampuni ya SBC Tanzania Ltd kinachotengeneza vinywaji baridi pamoja na kiwanda cha kukata na kung’arisha mawe...
By Mwandishi WetuAugust 1, 2017FAMILIA mbili za Kijiji cha Mureru, Kata ya Lalaji, wilayani Hanang’ zimedasi kuishi kwa kuhofia maisha yao baada ya kutengwa na jamii kijijini...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017WATU waliofunga ndoa na kuunganika kuwa kama mwili mmoja na kuepukana na masuala ya kufanya ngono zembe, imebainishwa wao kwa sasa ndio wamekuwa...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017KANISA Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, limewanufaisha kwa elimu ya malezi ya maadili mema zaidi ya vijana 6,000 itakayowawezesha kuwa na utu na...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa, ameiagiza Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) kuwakamata mara moja, kuwahoji na kuwafikisha mahakamani watendaji wakuu 12...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017HALMASHAURI ya wilaya ya Mbarali Mkoani Mbeya imesema kuwa ili kupunguza adha ya Nyumba za kuishi kwa Watumishi wa Halmashauri hiyo,Baraza la Madiwani...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017JIJI la Dar es Salaam linaongoza kwa matukio ya mauaji yatokanayo na watu kujichukulia sheria mkononi yaliyofikia 117 katika kipindi cha nusu mwaka...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017AMRI ya Rais John Magufuli inayodaiwa kusimamisha mchakato mzima wa upanuzi wa mji wa Moshi kuwa Jiji ‘imewavuruga’ Madiwani wa Manispaa hiyo na...
By Mwandishi WetuJuly 31, 2017WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amewapa siku mbili Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela Mkoani Mbeya kumaliza tofauti zao zinazokwamisha utendaji wa Halmashauri...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017ANGELINA Mabula, Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, amemvua madaraka mkuu wa idara ya ardhi wa Wilaya ya Ukerewe, Elia Mtakama, kwa...
By Moses MsetiJuly 29, 2017VIONGOZI wa mkoa wa Songwe wametakiwa kushiriki kikamilifu kutatua migogogro ya ardhi ili kuzuia migogoro kati ya wakulima na wafugaji inayohatarisha usalama wa...
By Mwandishi WetuJuly 29, 2017HATIMAYE Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, imeliamuru Jeshi la Magereza na Mamlaka zinazohusika na mshtakiwa wa IPTL, Harbinder Seth kumpeleka katika Hospitali ya...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017JESHI la Polisi mkoani Mbeya kwa kushirikiana na askari wa TANAPA wamekamata pikipiki sita zikiwa zimepakia nyara za serikali katika pori la hifadhi...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017MKUU wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqqaro ameagiza walimu wakuu wa shule za sekondari kufundisha vipindi mbalimbali vya masomo ili kupunguza mrundikano wa...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017WANAWAKE wanaofanya biashara ya kuuza samaki maeneo ya stendi kuu ya mabasi mjini hapa wameilalamikia Halmashauri ya Mji wa Babati kuwaondoa kwa nguvu...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017SERIKALI imewataka viongozi wa Chama cha Wafugaji nchini pamoja na watetezi wa haki za wafugaji kuhakikisha wanaondoa migogoro ya wafugaji na wakulima ambayo...
By Mwandishi WetuJuly 28, 2017MKUU wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Simon Sirro amewaonya askari polisi kuacha tabia ya kuwabambikia wananchi kesi huku akiahidi kwatimua kazi watakaobainika...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017SERIKALI imewataka viongozi wa dini kuacha kujiingiza kwenye siasa badala yake waendelee kuimarisha amani na mshikamano kwa jamii, anaandika Mwandishi Wetu. Mkuu wa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017MAMLAKA ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imewaondolea hofu watumiaji wa mitandao ya simu wanaotaka kutumia huduma ya laini moja kwa mitandao yote kuwa hatawakosa...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017SAKATA la malipo ya fidia kwa wakazi wanaopisha mradi wa bomba la mafuta vijiji vya Kata ya Chongoleani, limeingia sura mpya baada ya...
By Mwandishi WetuJuly 27, 2017MFANYABIASHARA maarufu katika mtaa wa Swaswa kata ya Ipagala Manispaa ya Dodoma, Charles Kalinga mwenye umri wa miaka 43 amenusurika kifo baada ya...
By Danson KaijageJuly 26, 2017KAMPUNI ya masoko inayojishughulisha na ushauri na mikakati kwa wateja ZECHY Afrika imeandaa tamasha la kusheherekea utamaduni wa mtanzania (Chemichemi Canival) litakalofanyika mwezi...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Dk.Harrison Mwakyembe, amewashukuru viongozi mbalimbali wa serikali na Watanzania wote kwa ujumla waliohusika kufanikisha shughuli nzima...
By Masalu ErastoJuly 26, 2017HALMASHAURI ya Buchosa Wilaya ya Sengerema, Mwanza, inakabiliwa na upungufu wa vifaa vya ofisi, vifaa vya uchoraji ramani na vifaa vya kutayarisha hati...
By Moses MsetiJuly 26, 2017KIKUNDI cha wachimbaji wadogo kinachomiliki mgodi wa dhahabu wa Kapumpa uliopo tarafa ya Kitunda wilaya ya Sikonge Mkoani Tabora kimeongoza kwa kulipa mrabaha...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2017WANANCHI mkoani Mwanza wametakiwa kupenda kushiriki kikamilifu katika kupima Afya na kufanya usafi wa mazingira yanayowazunguka na wanayofanyia kazi ili kuweza kuondokana adha...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2017WANANCHI wa kijiji cha Bulige kata ya Bulige katika halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga wamemkataa mwenyekiti wa kijiji hicho, mtendaji pamoja...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2017BODI ya Mamlaka ya Ngorongoro (NCAA), imesema itakabiliana na changamoto zinazoikabili mamlaka hiyo kufikia dira ya uhifadhi, anaandika Mwandishi Wetu. Kaimu Mwenyekiti mpya...
By Mwandishi WetuJuly 26, 2017WAKILI wa kujitegemea ambaye pia ni mwanachama wa Chama Cha Mawakili Tanzania Bara(TLS), Emmanuel Makene amekilalamikia Chama hicho kuwa hakiwasaidii wanachama wake wakati...
By Masalu ErastoJuly 25, 2017CHAMA cha walemavu Tanzania (CHAWATA), kimeiomba serikali ya awamu ya tano kuwaangalia kwa jicho la tatu katika swala zima la uchumi wao, anaandika Victoria...
By Masalu ErastoJuly 25, 2017