Thursday , 28 March 2024
Home Habari Mchanganyiko Wachimbaji madini wapewa somo
Habari Mchanganyiko

Wachimbaji madini wapewa somo

Wachimbaji wadogo wa Dhahabu
Spread the love

WACHIMBAJI wadogo wa madini wametakiwa kuzingatia taratibu za kitalaam wakati wa uchimbaji ili kuepuka ajali  maeneo hayo, anaandika Mwandishi wetu.

Haya yamebainishwa na Mkuu wa mkoa wa Mara Charles Mlingwa wakati wa ufunguzi wa mkutano mkuu wa tatu wa Shirikisho la Vyama vya Wachimbaji Madini Tanzania (FEMATA),  jijini Mwanza.

Amesema suala la usalama migodini ni muhimu na lazima lizingatiwe katika hatua za mwanzo za uchimbaji.

Amesema ni lazima kuchukua tahadhari katika maeneo ya migodini na kwamba wasiochukua hatua hizo za kulinda usalama serikali itaifungia.

Kwa upande wake Rais wa FEMATA, John Wambura  amesema bado wanakabiliwa na changamoto nyingi zikiwemo za elimu duni ya uchimbaji, uongezaj thamani na uchenjuaji wa madini.

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Mtandao watetezi wa haki za mazingira Tanzania waundwa

Spread the loveMTANDAO wa watetezi wa haki za mazingira nchini Tanzania, umeundwa...

Habari MchanganyikoHabari za Siasa

Kapinga kuongoza usambazaji wa mitungi ya gesi 10,000 ya Taifa Gas

Spread the loveNaibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ameahidi kuongoza kwa ufanisi...

BiasharaHabari Mchanganyiko

Wafanyabiashara, wawekezaji China waridhia kuwekeza bil. 800 katika sekta 5 nchini

Spread the loveUJUMBE wa wafanyabiashara na wawekezaji wakubwa kutoka Jimbo la Changzhou...

Habari Mchanganyiko

Bil. 4.42 kumaliza uhaba maji kata 2 Musoma Vijijini

Spread the loveWANANCHI wa kata za Busambara na Kiriba, Jimbo la Musoma...

error: Content is protected !!