Tuesday , 16 April 2024
Home Habari Mchanganyiko Bodaboda waanza kuelewa somo
Habari Mchanganyiko

Bodaboda waanza kuelewa somo

Spread the love

MADEREVA wa Bodaboda katika jiji la Dar es Salaam wameonekana kuanza kuelewa umuhimu wa matumizi wa kofia ngumu wakati wa kuendesha usafiri huo, anaandika Mwandishi wetu.

MwanaHALISI Online limeshuhudia kundi la madereva wa bodaboda wakiwa wamevalia kofia hizo katika makutano ya barabara za Morogoro na Kawawa eneo la Magomeni jambo ambalo linaashiria kutii agizo la kuvaa kofia hizo.

Watazame hapa kwenye VIDEO hii…

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

Habari Mchanganyiko

Sekta binafsi yasifu utekelezaji wa Mkumbi

Spread the loveSERIKAL imepongezwa kwa utekelezaji wa mapendekezo ya sekta binafsi kupitia...

Habari Mchanganyiko

Kamati ya bunge yapigia chapuo kilimo ikolojia

Spread the loveSERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo imeshauriwa kushirikiana na wadau wa...

Habari Mchanganyiko

Serikali yapata hasara 113 milioni hospitali kuwapa misamaha wagonjwa wasiostahili

Spread the loveSERIKALI imepata hasara ya kiasi cha Sh. 111.76 milioni, baada...

Habari MchanganyikoMichezo

NBC, Yanga wazindua kadi  za kimataifa za uanachama

Spread the loveBenki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kushirikiana na Klabu...

error: Content is protected !!