Saturday , 2 December 2023
Home Habari Mchanganyiko AWA watamba kupunguza majangili wa Tembo
Habari Mchanganyiko

AWA watamba kupunguza majangili wa Tembo

Tembo
Spread the love

MAMLAKA ya Usimamizi wa Wanyama Pori (TAWA), imesema kwamba tatizo la ujangili katika mbuga mbalimbali umepungua hatua iliyosababisha Tembo kuongezeka, anaandika Dany Tibason.

Hatua hiyo imetokana na kutolewa elimu mbalimbali kuhusu umuhimu wa wanyama hao kwa nchi pamoja na kuimarisha vikosi vya ulinzi.

Hayo yamesemwa na Ofisa Habari na Mahusiano wa mamlaka hiyo, lielezwa na Afisa habari na Mahusiano wa Mamlaka hiyo, Twaha Twaibu alipozungumza na waandishi wa habari katika viwanja vya maonesho ya kilimo na mifugo katika manispaa ya Dodoma.

“Tumeboresha zaidi mazingira ya maonesho ya nane nane kwa sasa tumeleta wanyama tofauti na miaka mingine kwa sasa tumeleta, Mamba,Tusi ambao wanaonekana zaidi Ikulu, Nyati, Ndege aina aina ya Taji Korongo wanaotumika katika nembo ya bendera ya nchini Uganga,”

Leave a comment

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Related Articles

AfyaHabari Mchanganyiko

GGML waungana na Biteko kuanika mbinu za mapambano dhidi ya Ukimwi

Spread the loveNaibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Habari MchanganyikoTangulizi

Mwalimu jela miaka mitatu kwa rushwa

Spread the loveMAHAKAMA ya Hakimu Mfawidhi, wilaya ya Igunga, mkoani Tabora imemhukumu...

Habari Mchanganyiko

Waziri Bashungwa aagiza wahandisi kujengewa uwezo

Spread the loveWAZIRI wa Ujenzi, Innocent Bashungwa ameiagiza Bodi ya Usajili wa...

Habari Mchanganyiko

Heche ataka mawakili vijana kuamka sakata Mpoki

Spread the loveMWENYEKITI wa Mawakili Vijana Tanzania kutoka Chama cha Mawakili wa...

error: Content is protected !!